Naondoka nikijivunia medani ya diplomasia, endelezeni - JK
RAIS Jakaya Kikwete amesema anajivunia katika utawala wake alivyokuza diplomasia na nchi mbalimbali na kutaka watendaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kumsaidia Rais na mawaziri wanaokuja kukuza uhusiano aliouacha.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 May
Kikwete: Naondoka
SITTA TUMA NA BENJAMIN MASESE
RAIS Jakaya Kikwete jana alitangaza rasmi kuwa kipindi chake cha urais kitakoma Oktoba, mwaka huu, baada ya kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu na kuapishwa kwa rais wa Serikali ya Awamu ya Tano.
Amesema anajiandaa kumkabidhi mrithi wake orodha ya miradi yote ya maendeleo na mikakati yake ambayo atakuwa hajaikamilisha katika kipindi chake cha miaka 10 ya kuwa madarakani.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana, wakati akitoa hotuba mbele ya maelfu ya wananchi...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Endelezeni miradi yenu kwa jamii
11 years ago
GPLBoban: Naondoka Coastal
10 years ago
GPLMrisho Ngassa: Nimerudi Yanga kuaga, naondoka
10 years ago
MichuziZoezi la Medani la Operesheni Maliza Matata monduli, arusha
Madhara ya shambulio hilo la mazoezi Kabaaaaang!
5 years ago
MichuziWATAALAMU WA AFYA ENDELEZENI USIMAMIZI SHIRIKISHI WA AFYA MAZINGIRA SHULENI NA KWENYE JAMII-DKT.GWAJIMA
Naibu Katibu Mkuu akizungumza na uongozi pamoja na wananchi mara baada yakukagua kituo hicho cha Afya kilicho pokea kiasi cha Mil.200 kwaajili ya ujenzi huo (Picha zote na OR-TAMISEMI)
Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, anayeshughulikia Afya, Dkt. Dorothy Gwajima akipata chakula na kuhakiki ubora wa chakula...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AONGOZA UFUNGAJI WA ZOEZI LA MEDANI LA MAADHIMISHO YA MIAKA 50
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA UFUNGAJI WA ZOEZI LA MEDANI LA MAADHIMISHO YA MIAKA 50
5 years ago
MichuziSTANBIC BANK INAJIVUNIA KUWA MDAU MKUBWA WA MEDANI YA SOKA DUNIANI
NA MWAMVUA MWINYI, BAGAMOYO .
TAASISI ya kifedha ya Stanbic imejivunia,kuwa wadau wakubwa katika medani ya soka, wakigusia michuano mikubwa ya kombe la Dunia na Ligi Kuu ya nchini Uingereza.
Hatua hiyo ambayo benki hiyo imekuwa ikiichukua katika medani ya michezo hususani soka, imeelezwa kuwa kivutio kikubwa kwa mamilioni ya wapenda soka kutokana na kujitangaza kupitia mashindano hayo.
Hayo yalielezwa na meneja wa benki ya Stanbic nchini ,Richard Chenga kwa niaba ya Mkurugenzi, akizungumza na...