Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete seeks more doctors from China

>President Jakaya Kikwete has asked  China to avail Tanzania with more doctors to curb the crippling shortage of health staff.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Kikwete seeks more aid from China

>President Jakaya Kikwete has pleaded to China to continue supporting development projects in Tanzania, one of them being  construction of houses for army officers.

 

10 years ago

Daily News

Kikwete, Lungu meeting seeks to fortify Tazara


Zambia Daily Mail
Kikwete, Lungu meeting seeks to fortify Tazara
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete and his Zambian counterpart, Edgar Chagwa Lungu, have met in Lusaka Zambia to discuss how to fortify operation of the ailing Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA). The two heads of state, according to a statement ...
President Lungu describes talks with Tanzanian President as successfulLusaka Times
Lungu, Kikwete to revamp TAZARAZambia Daily Mail
Tanzanian President Set to Visit LusakaZambia...

 

10 years ago

Michuzi

Taswira za siku ya kwanza ya Ziara ya Rais Kikwete na mama salma kikwete nchini China

 Rais Dkt. Jakaya Kikwete na Mwenyekiti wa China National Offshore Oil Corporation Bwana Wang Yilin wakizindua rasmi mtambo mpya wa utafutaji wa mafuta na gesi baharini, Uzinduzi huo ulifanyika kwenye Makao Makuu ya Shirika hilo huko Beijing tarehe 22.10.2014. Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiongoza ujumbe wa Tanzania unaozuru nchini China wakiangalia vifaa mbalimbali vinavyotumiwa na Shirika la  CNOOC la China katika kazi ya utafutaji wa mafuta na gesi baharini wakati walipotembelea Makao Makuu...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aomba madaktari China

TANZANIA imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuongeza idadi ya madaktari wake, inaowatuma Tanzania kama msaada kutoa huduma ya tiba kama njia ya kuzidi kusaidia kukabiliana na upungufu wa madaktari nchini.

 

10 years ago

Habarileo

China inatuhamasisha kuendelea - Kikwete

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa maendeleo ya haraka ya Jamhuri ya Watu wa China ni hamasa kubwa na ya kutosha kwa nchi za Afrika kuwa nazo katika kuendelea katika kipindi kifupi kama zitaongozwa na sera sahihi za mageuzi ya kiuchumi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kikwete aweka historia China


Na mwandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje kwa kuwa kiongozi wa kwanza duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi.

Mbali na kupokewa kwa pikipiki, msafara wa Kikwete pia uliongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara, tofauti na mapokezi ya viongozi wengine katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Rais Kikwete, ambaye aliwasili China wiki iliyopita kuanza ziara rasmi ya siku sita nchini humo,...

 

11 years ago

Habarileo

Rais Kikwete atuma rambirambi China

Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Rais wa China, Xi Jinping, kutokana na vifo vya watu 28 vilivyosababishwa na shambulio la kigaidi hivi karibuni na kujeruhi wengine zaidi ya 130.

 

9 years ago

Mwananchi

Kikwete aibukia ‘Sauzi’ mkutano wa China-Afrika

Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ameibukia kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China jijini Johannesburg, Afrika Kusini.

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani