Kikwete seeks more doctors from China
>President Jakaya Kikwete has asked China to avail Tanzania with more doctors to curb the crippling shortage of health staff.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen11 Jan
Kikwete seeks more aid from China
10 years ago
Daily News26 Feb
Kikwete, Lungu meeting seeks to fortify Tazara
Zambia Daily Mail
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete and his Zambian counterpart, Edgar Chagwa Lungu, have met in Lusaka Zambia to discuss how to fortify operation of the ailing Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA). The two heads of state, according to a statement ...
President Lungu describes talks with Tanzanian President as successfulLusaka Times
Lungu, Kikwete to revamp TAZARAZambia Daily Mail
Tanzanian President Set to Visit LusakaZambia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_1-m92vFiY/VEfvv28F9pI/AAAAAAAGsu8/EIOL0J-eCVk/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Taswira za siku ya kwanza ya Ziara ya Rais Kikwete na mama salma kikwete nchini China
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_1-m92vFiY/VEfvv28F9pI/AAAAAAAGsu8/EIOL0J-eCVk/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ETB4-wqRnzw/VEfvwxxoFaI/AAAAAAAGsvM/LbM_T6UeIBs/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Habarileo27 Oct
Kikwete aomba madaktari China
TANZANIA imeiomba Jamhuri ya Watu wa China kuongeza idadi ya madaktari wake, inaowatuma Tanzania kama msaada kutoa huduma ya tiba kama njia ya kuzidi kusaidia kukabiliana na upungufu wa madaktari nchini.
10 years ago
Habarileo25 Oct
China inatuhamasisha kuendelea - Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa maendeleo ya haraka ya Jamhuri ya Watu wa China ni hamasa kubwa na ya kutosha kwa nchi za Afrika kuwa nazo katika kuendelea katika kipindi kifupi kama zitaongozwa na sera sahihi za mageuzi ya kiuchumi.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-qs1AajsLNY0/VE5sjroJjkI/AAAAAAAABuU/ekolL1zhhTk/s72-c/220px-Jakaya_Kikwete.jpg)
Kikwete aweka historia China
Na mwandishi wetu
RAIS Jakaya Kikwete amesababisha mageuzi makubwa kwa namna Jamhuri ya Watu wa China inavyowapokea viongozi wageni kutoka nje kwa kuwa kiongozi wa kwanza duniani kupokewa rasmi na pikipiki za polisi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-qs1AajsLNY0/VE5sjroJjkI/AAAAAAAABuU/ekolL1zhhTk/s1600/220px-Jakaya_Kikwete.jpg)
Mbali na kupokewa kwa pikipiki, msafara wa Kikwete pia uliongozwa na pikipiki hizo kwa muda wote wa ziara, tofauti na mapokezi ya viongozi wengine katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Rais Kikwete, ambaye aliwasili China wiki iliyopita kuanza ziara rasmi ya siku sita nchini humo,...
11 years ago
Habarileo05 Mar
Rais Kikwete atuma rambirambi China
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Rais wa China, Xi Jinping, kutokana na vifo vya watu 28 vilivyosababishwa na shambulio la kigaidi hivi karibuni na kujeruhi wengine zaidi ya 130.
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Kikwete aibukia ‘Sauzi’ mkutano wa China-Afrika
10 years ago
Vijimambo13 Nov