China inatuhamasisha kuendelea - Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa maendeleo ya haraka ya Jamhuri ya Watu wa China ni hamasa kubwa na ya kutosha kwa nchi za Afrika kuwa nazo katika kuendelea katika kipindi kifupi kama zitaongozwa na sera sahihi za mageuzi ya kiuchumi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-I7om-77pzno/VgIiqqT3VLI/AAAAAAAATPQ/Xeeo1cTex3s/s640/1.jpg)
TANZANIA NA CHINA KUENDELEA KUDUMISHA USHIRIKIANO
10 years ago
Habarileo24 Nov
China kuendelea kusaidia uzalishaji wataalamu
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imesema itaendelea kuongeza ufadhili na kutoa utaalamu kwa Tanzania katika nyanja mbalimbali za maendeleo ikiwemo ya kilimo ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa mazao yatakayosaidia kuinua pato kwa mkulima mdogo na kukuza uchumi wa Taifa.
10 years ago
Habarileo28 Mar
China yaahidi kuendelea kuisaidia Zanzibar
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imeahidi kuendelea kuunga mkono Zanzibar katika kuimarisha miradi yake ya maendeleo na ushirikiano wa muda mrefu ulioasisiwa na viongozi wake wakuu.
10 years ago
Mwananchi23 Nov
China sasa kuendelea kusaidia sekta ya kilimo
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-I7om-77pzno/VgIiqqT3VLI/AAAAAAAATPQ/Xeeo1cTex3s/s72-c/1.jpg)
TANZANIA NA CHINA KUENDELEA KUDUMISHA USHIRIKIANO KUPITIA UTAMADUNI
![](http://4.bp.blogspot.com/-I7om-77pzno/VgIiqqT3VLI/AAAAAAAATPQ/Xeeo1cTex3s/s640/1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Tanzania na China kuendelea kudumisha ushirikiano kupitia UTAMADUNI
Makamu wa Rais wa Makampuni ya StarTimes, Bi. Guo Ziqi (kushoto) akipokea zawadi ya kinyago kilichochongwa na wasanii wa Tanzania kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC- wa kwanza kulia) Bw. Clement Mshana wakati wa uzinduzi wa Maonyesho ya Filamu na Tamthiliya za Beijing kupitia kwenye Luninga ya mwaka 2015. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki ikiwa ni jitihada za kukuza filamu pamoja na uhusiano wa kiutamaduni baina ya nchi hizo...
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
China na Tanzania kuendelea kushirikiana katika Sanaa za michoro, ikiwemo ya Tingatinga
Balozi wa China nchini Tanzania Dr. Lu Younq ing akiongea na baadhi ya wasanii wa sanaa ya uchoraji wa Tingatinga katika hafla ya utoaji wa Tuzo la Mashindano ya Kimataifa ya Uchoraji wa Tingatinga Tanzania iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. Tuzo hizo zimetolewa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China. (Picha na Benjamin Sawe- WHVUM)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Bi....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_1-m92vFiY/VEfvv28F9pI/AAAAAAAGsu8/EIOL0J-eCVk/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Taswira za siku ya kwanza ya Ziara ya Rais Kikwete na mama salma kikwete nchini China
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z_1-m92vFiY/VEfvv28F9pI/AAAAAAAGsu8/EIOL0J-eCVk/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ETB4-wqRnzw/VEfvwxxoFaI/AAAAAAAGsvM/LbM_T6UeIBs/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe na ramli — Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba mara baada ya kutunukiwa Digrii ya Heshima ya Uzamivu (PhD Honoris Causa) katika mahafali hayo ya pili ya Taasisi hiyo jijini Arusha mwishoni mwa wiki. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
-Pia asema kuwa ubishi wa siasa hauwezi kutoa majawabu ya changamoto za maendeleo
-Asisitiza umuhimu wa internet akielezea kuwa elimu ya sayansi haipatikani kwenye magazeti
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...