Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe na ramli — Kikwete

IMG_7716

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba mara baada ya kutunukiwa Digrii ya Heshima ya Uzamivu (PhD Honoris Causa) katika mahafali hayo ya pili ya Taasisi hiyo jijini Arusha mwishoni mwa wiki. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

IMG_7719

-Pia asema kuwa ubishi wa siasa hauwezi kutoa majawabu ya changamoto za maendeleo

-Asisitiza umuhimu wa internet akielezea kuwa elimu ya sayansi haipatikani kwenye magazeti

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea ramli-JK

Sehemu ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela iliyoko Tengeru, ArushaRAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa kamwe Tanzania, kama ilivyo nchi nyingine yoyote duniani, haiwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe ama ramli bila kuwekeza kwenye maendeleo ya sayansi na teknolojia.

 

9 years ago

Mwananchi

Hatuwezi kuendelea kwa misaada, mikopo

Hivi karibuni nilitembelea vijiji vipatavyo 20 vya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa kuangalia shughuli mbalimbali za uchumi pamoja na changamoto zinazowakabili wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkenya anayeendesha maisha kwa kutegemea urefu wa kucha

>Inaweza kuonekana kuwa ni kitu cha ajabu kwa binadamu wa kawaida kukaa bila kukata kucha kwa mwaka moja, lakini kumbe inawezekana kabisa mtu kufuga kucha kwa muda wa miaka 12.

 

10 years ago

Habarileo

Watano watiwa mbaroni kwa upigaji ramli

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Zuberi MwombejiWATU watano wa kijiji cha Mheza kilichopo Kata ya Mhinduro wilayani Mkinga wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa wakipiga ramli za uchonganishi zilizolenga kufichua wachawi.

 

11 years ago

Habarileo

Lusinde: Hatuwezi kuruhusu kuzaliwa kwa Tanganyika

Livingstone LusindeMBUNGE wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM) amesema kama wazee wa zamani walimwogopa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere katika kudai Serikali ya Tanganyika, ‘basi imekula kwao.’

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatuwezi kuudumisha Muungano wetu kwa propaganda, mipasho

JANA Aprili 26, 2014 Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ulifikisha miaka 50. Ni jambo la kujivunia. Rais Jakaya Kikwete alihutubia taifa kwa kupitia kwa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sitta afanya mazingaombwe

HATIMAYE Bunge Maalum la Katiba limepitisha Rasimu ya Katiba mpya inayopendekewa baada ya kupata theluthi mbili ya kura zinazotakiwa kwa pande zote mbili za Muungano, Bara na Visiwani kwa mujibu...

 

10 years ago

Habarileo

China inatuhamasisha kuendelea - Kikwete

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa maendeleo ya haraka ya Jamhuri ya Watu wa China ni hamasa kubwa na ya kutosha kwa nchi za Afrika kuwa nazo katika kuendelea katika kipindi kifupi kama zitaongozwa na sera sahihi za mageuzi ya kiuchumi.

 

10 years ago

Mwananchi

Hiki kiini macho au mazingaombwe?

Mchezo wa ligi ya mabingwa mieleka duniani ulikamata hisia za wengi enzi za akina Hulk Hogan na John Seiner. Ilikuwa vigumu sana kumtoa mtu wa rika yoyote kwenye TV mara shindano lilipoanza. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani