Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe na ramli — Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba mara baada ya kutunukiwa Digrii ya Heshima ya Uzamivu (PhD Honoris Causa) katika mahafali hayo ya pili ya Taasisi hiyo jijini Arusha mwishoni mwa wiki. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
-Pia asema kuwa ubishi wa siasa hauwezi kutoa majawabu ya changamoto za maendeleo
-Asisitiza umuhimu wa internet akielezea kuwa elimu ya sayansi haipatikani kwenye magazeti
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Dec
Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea ramli-JK
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa kamwe Tanzania, kama ilivyo nchi nyingine yoyote duniani, haiwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe ama ramli bila kuwekeza kwenye maendeleo ya sayansi na teknolojia.
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Hatuwezi kuendelea kwa misaada, mikopo
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Mkenya anayeendesha maisha kwa kutegemea urefu wa kucha
10 years ago
Habarileo28 Apr
Watano watiwa mbaroni kwa upigaji ramli
WATU watano wa kijiji cha Mheza kilichopo Kata ya Mhinduro wilayani Mkinga wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa wakipiga ramli za uchonganishi zilizolenga kufichua wachawi.
11 years ago
Habarileo01 Mar
Lusinde: Hatuwezi kuruhusu kuzaliwa kwa Tanganyika
MBUNGE wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM) amesema kama wazee wa zamani walimwogopa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere katika kudai Serikali ya Tanganyika, ‘basi imekula kwao.’
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Hatuwezi kuudumisha Muungano wetu kwa propaganda, mipasho
JANA Aprili 26, 2014 Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ulifikisha miaka 50. Ni jambo la kujivunia. Rais Jakaya Kikwete alihutubia taifa kwa kupitia kwa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Sitta afanya mazingaombwe
HATIMAYE Bunge Maalum la Katiba limepitisha Rasimu ya Katiba mpya inayopendekewa baada ya kupata theluthi mbili ya kura zinazotakiwa kwa pande zote mbili za Muungano, Bara na Visiwani kwa mujibu...
10 years ago
Habarileo25 Oct
China inatuhamasisha kuendelea - Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa maendeleo ya haraka ya Jamhuri ya Watu wa China ni hamasa kubwa na ya kutosha kwa nchi za Afrika kuwa nazo katika kuendelea katika kipindi kifupi kama zitaongozwa na sera sahihi za mageuzi ya kiuchumi.
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Hiki kiini macho au mazingaombwe?