Hatuwezi kuudumisha Muungano wetu kwa propaganda, mipasho
JANA Aprili 26, 2014 Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ulifikisha miaka 50. Ni jambo la kujivunia. Rais Jakaya Kikwete alihutubia taifa kwa kupitia kwa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWASTAAFU WAHIMIZWA KUUDUMISHA MUUNGANO NA UHIFADHI WA MAZINGIRA
Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ametoa rai hiyo jana wakati alipokuwa akizungumza katika hafla ya kuwaaga wastaafu wapatao 12 wa kada ya maafisa katika ofisi hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam.
Mheshimiwa Samia alisema wastaafu hao...
10 years ago
Michuzi26 Sep
Mahojiano na kipindi cha Makutano Show kuhusu kura ya uhuru wa Uskochina somo kwa Muungano wetu
11 years ago
Mwananchi13 Mar
‘Kero zisivunje Muungano wetu’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVt7OqUrwAs/XqWkjjMTtVI/AAAAAAALoTA/1F0yYNUWFb0vob5bvL1wkOrMuozBj8goACLcBGAsYHQ/s72-c/4d70f2eb-b5a3-4d7b-9a0c-c3af4d755cb0.jpg)
MUUNGANO WETU NI FAHARI YETU
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVt7OqUrwAs/XqWkjjMTtVI/AAAAAAALoTA/1F0yYNUWFb0vob5bvL1wkOrMuozBj8goACLcBGAsYHQ/s640/4d70f2eb-b5a3-4d7b-9a0c-c3af4d755cb0.jpg)
Na Emmanuel J. Shilatu
Ni miaka 56 imetimia tangu jahazi lililowabeba Watanganyika na Wazanzibar liweke historia ya kung’oa nanga mara baada ya Jamhuri Muungano wa Tanzania kuzaliwa rasmi mnamo April 26,1964. Hii ilitokana na ujasiri, ushupavu na nia ya dhati waliyokuwa nayo waasisi wa Muungano huu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Tanganyika) na Abeid Aman Karume (Zanzibar).
Hatua hiyo ilifikiwa kutokana na mtiririko wa kimazingira na mahusiano ambayo yalishabihiana kama sio kufanana...
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Muungano wetu ni wa hiari au shuruti?
KWA mujibu wa sensa ya idadi ya watu na makazi ya mwaka 2012, vijana ni zaidi ya asilimia 60 ya watu wote takribani milioni 45. Kwa tafsiri ya takwimu hizo...
10 years ago
Mwananchi17 May
Kwa nini Bunge ligeuzwe uwanja wa mipasho?
10 years ago
Habarileo16 Sep
'Muungano wetu ni zaidi ya thamani ya fedha'
BUNGE la Katiba limeelezwa kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliasisiwa kutokana na kuwepo faida kubwa ya uchumi wa wananchi na usalama wa nchi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3PI09fN*DSO9Z08aEPISDquz5H--NWIDT0J6AgLh5ZLVdB35ECX9yqlQk0MWYNmuUFH0If*yup1f5sJUbCcXmsq/750_400_768dc99af4cdacd4db6dbfaef5194a44.jpg?width=650)
MUUNGANO WETU NA WATU WANAOUTAKA NA WASIOUTAKA
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Muungano na Utanzania wetu ni kipi kinatangulia-2