Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatuwezi kuendelea kwa misaada, mikopo

Hivi karibuni nilitembelea vijiji vipatavyo 20 vya Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa kuangalia shughuli mbalimbali za uchumi pamoja na changamoto zinazowakabili wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea ramli-JK

Sehemu ya Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela iliyoko Tengeru, ArushaRAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa kamwe Tanzania, kama ilivyo nchi nyingine yoyote duniani, haiwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe ama ramli bila kuwekeza kwenye maendeleo ya sayansi na teknolojia.

 

10 years ago

Dewji Blog

Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe na ramli — Kikwete

IMG_7716

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba mara baada ya kutunukiwa Digrii ya Heshima ya Uzamivu (PhD Honoris Causa) katika mahafali hayo ya pili ya Taasisi hiyo jijini Arusha mwishoni mwa wiki. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).

IMG_7719

-Pia asema kuwa ubishi wa siasa hauwezi kutoa majawabu ya changamoto za maendeleo

-Asisitiza umuhimu wa internet akielezea kuwa elimu ya sayansi haipatikani kwenye magazeti

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...

 

11 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA ASHUKURU BENKI YA MAENDELEO YA ULAYA KWA MIKOPO NA MISAADA INAYOITOA KWA NCHI ZA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP)

Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa nchi za ACP Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akishukuru Benki ya Maendeleo ya Ulaya (EIB) kwa kutoa  mikopo ya gharama nafuu na kusaidia Maendeleo ya nchi za ACP. Balozi Kamala ameitaka Benki hiyo kuongeza kiwango cha mikopo inayotoa katika nchi za ACP kutoka asilimia 10 ya mikopo inayotoa sasa hadi asilimia 20. 
Kamati ya Mabalozi wa nchi za ACP leo imekutana na Uongozi wa Benki ya Maendeleo ya Ulaya, Luxembourg...

 

10 years ago

Mwananchi

Tz kuendelea kunufaika na misaada

Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi zitakazoendelea kunufaika na misaada kutoka nchi za Marekani, Austria, Sweden na Ujerumani kupitia wataalamu wake wakiwamo wahandisi wasiokuwa na mipaka.

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA MIKOPO YAANZA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO KUTOKA KWA WANAFUNZI KWA MWAKA WA MASOMO 2015-2016

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo, Bw. George Nyatega
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.
Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unapatikana katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu, Mei 4, 2015...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MISAADA NA MIKOPO YA FINEXPO YA SERIKALI YA UBELIGIJI

Balozi WA Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Misaada na Mikopo ya FINEXPO ya Serikali ya Ubeligiji baada ya kumaliza kikao nao ofisini kwao Brussels leo. Balozi Kamala ameshauriana nao kuhusu miradi mbalimbali ya Tanzania inayoweza kufadhiliwa na Kamati ya FINEXPO.

 

11 years ago

Michuzi

NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu

 Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni tatu yaani Fair Deal Auto Private Ltd inayosambaza pikipiki za miguu miwili na mitatu aina ya Bajaji, kampuni ya Car & General Limited Ltd inayosambaza pikipiki za miguu mitatu aina ya TV’S King pamoja na kampuni ya Quality Motors inayosambaza pikipiki za miguu miwili aina ya Honda wameingia ubia ili kuwawezesha wananchi kupata mikopo nafuu ya kumiliki pikipiki za miguu miwili na mitatu.   Hii yote ni katika kuendeleza azma ya NMB inayolenga kubuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani