Tz kuendelea kunufaika na misaada
Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi zitakazoendelea kunufaika na misaada kutoka nchi za Marekani, Austria, Sweden na Ujerumani kupitia wataalamu wake wakiwamo wahandisi wasiokuwa na mipaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Hatuwezi kuendelea kwa misaada, mikopo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nqqwi-P4Www/XusMi8PnJUI/AAAAAAALuX0/k0WRPcszNeMyM2-WobGzHwoiFBPN3aSyQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BASHUNGWA AWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUENDELEA KUNUFAIKA KUSHUKA KWA BEI YA MAFUTA"
Na Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amezielekeza FCC, EWURA, WMA kufanya ukaguzi na kuwachukulia hatua wafanyabiashara na waagizaji wa mafuta wanaoficha bidhaa hiyo kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu yatakapoadimika au kupanda bei.
Waziri Bashungwa aliyasema Juni 17, 2020 jijini Dar es salaam katika kikao kazi na Watendaji wa Mamlaka za Tume ya Ushindani (FCC), Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Wakala...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7Kht1uFNsz93xamcEC0o4MxHaMYdhdXUTYuv4mFat2isLgzUgrqR9nFcUfULnuif3osoQYdPtTkrpyTADqCTC97C/001.VODASHOP.jpg?width=650)
WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM KUENDELEA KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA MAWASILIANO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k3cBIFaWRtk/XrmRF6RIO2I/AAAAAAALp1U/ZSFE1fd_lF4pWYDRRlKLk_aHxlSmFU45QCLcBGAsYHQ/s72-c/Liquid-Telecom-Gen-Z-report.jpg)
KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-k3cBIFaWRtk/XrmRF6RIO2I/AAAAAAALp1U/ZSFE1fd_lF4pWYDRRlKLk_aHxlSmFU45QCLcBGAsYHQ/s320/Liquid-Telecom-Gen-Z-report.jpg)
KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19
Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Wakulima 4,900 kunufaika
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Wakulima wa kahawa kunufaika
9 years ago
Habarileo09 Oct
Tanzania kunufaika na MEFMI
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi za Afrika zitakazonufaika na Chombo cha kutoa Mafunzo ya Usimamizi wa masuala ya Uchumi kwa Watendaji wa nchi wanachama wa chombo hicho (MEFMI) kwa Afrika Mashariki na Kusini.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Tanzania imejiandaaje kunufaika na mafuta?
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Tanzania yazidi kunufaika na uwekezaji
Na Enock Bwigabe, TUDARCO
KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kimesema Tanzania imepata uwekezaji wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 zitakazochangia katika uboreshaji wa utalii na masuala ya uhifadhi nchini.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana, ilisema uwekezaji huo ulithibitishwa mwanzoni mwa mwezi huu kupitia Kamati ya Uendeshaji ya Uwezeshaji ya Taifa (NISC) iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo,...