Tanzania imejiandaaje kunufaika na mafuta?
Baadhi ya wananchi na wasomi wana hofu kuwa hata kama mafuta yataanza kuchimbwa nchini, itakuwa ndoto kwa taifa kuondokana na umaskini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nqqwi-P4Www/XusMi8PnJUI/AAAAAAALuX0/k0WRPcszNeMyM2-WobGzHwoiFBPN3aSyQCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
BASHUNGWA AWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUENDELEA KUNUFAIKA KUSHUKA KWA BEI YA MAFUTA"
Na Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amezielekeza FCC, EWURA, WMA kufanya ukaguzi na kuwachukulia hatua wafanyabiashara na waagizaji wa mafuta wanaoficha bidhaa hiyo kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu yatakapoadimika au kupanda bei.
Waziri Bashungwa aliyasema Juni 17, 2020 jijini Dar es salaam katika kikao kazi na Watendaji wa Mamlaka za Tume ya Ushindani (FCC), Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Wakala...
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
TFF imejiandaaje kwa ligi msimu ujao?
WAKATI Ligi Kuu soka Tanzania Bara inafikia ukingoni msimu uliopita, yaliandikwa na kusemwa mengi
Mwandishi Wetu
9 years ago
Habarileo09 Oct
Tanzania kunufaika na MEFMI
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi za Afrika zitakazonufaika na Chombo cha kutoa Mafunzo ya Usimamizi wa masuala ya Uchumi kwa Watendaji wa nchi wanachama wa chombo hicho (MEFMI) kwa Afrika Mashariki na Kusini.
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Tanzania yazidi kunufaika na uwekezaji
Na Enock Bwigabe, TUDARCO
KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kimesema Tanzania imepata uwekezaji wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 zitakazochangia katika uboreshaji wa utalii na masuala ya uhifadhi nchini.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana, ilisema uwekezaji huo ulithibitishwa mwanzoni mwa mwezi huu kupitia Kamati ya Uendeshaji ya Uwezeshaji ya Taifa (NISC) iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo,...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
WEF yaitaja Tanzania kunufaika kiuchumi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ghjB2AxuVOM/VNM8nNr_41I/AAAAAAAHB5o/CJqc0pHwHyw/s72-c/001.AFANDE%2BPRISCA.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAENDELEA KUNUFAIKA NA MAFUNZO YA JINSIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ghjB2AxuVOM/VNM8nNr_41I/AAAAAAAHB5o/CJqc0pHwHyw/s1600/001.AFANDE%2BPRISCA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lRVC53SbDJk/VNM8nZszfhI/AAAAAAAHB5g/hWAuCJvqSFY/s1600/002.AFANDE%2BPRISCA.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9kxJypUeLlU/VOtc8ZV7ziI/AAAAAAAHFds/0X2U1ex9FU8/s72-c/2120_b.jpg)
FURSA MILIONI 885 ZA CHINA,TANZANIA KUNUFAIKA NAZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-9kxJypUeLlU/VOtc8ZV7ziI/AAAAAAAHFds/0X2U1ex9FU8/s1600/2120_b.jpg)
Gavana wa Benki Kuu nchini,Profesa Beno Ndulu amesema kazi milioni 885 za nchi ya jamhuri ya watu wa China wameshindwa kuziendesha,hivyo Tanzania inaweza kufaidika na kazi hizo katika kuongeza pato la taifa kwa sekta ya viwanda.
Profesa Ndulu ameyasema hayo leo katika warsha ya kujadili chamgamoto na jinsi ya kukabiliana nazo kwa ukuaji wa Uchumi kutokana na rasilimali zilizopo nchini.
Amesema pato la taifa katika sekta ya viwanda limezidi kukua kwa dola za...
10 years ago
Michuzi18 Nov
Vijana Tanzania kunufaika na siku ya idadi ya watu - UNFPA
![tanzania unfpa youth](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/J_YqL_2DkSxoyk1hh7ut2n8CDRsyLuUvXc46gnt1rccf2kHM6YGPX-RnllApgmtX1VYXwTKbjbqzSFK6LHwVAmGZXfiqzeDN7bpTHt2nVN7TgrI8ARhJq-5DxZgIuzrLAZqZ8Eb9E4T0K14VApLGvRz8XjXd=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/11/tanzania-unfpa-youth.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Tanzania kunufaika na uwekezaji wa mabilioni ya Marekani katika umeme
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika mazungumzo na Mtendaji Mkuu na Mtawala Mkuu wa zamani wa Shirika la Maendeleo ya Misaada ya Kimataifa la Marekani (USAID), Bwana Raj Shah. (Picha na Maktaba).
*Ni moja ya nchi tatu tu za Afrika zitakazonufaika kwa sasa
*India nayo italengwa na mpango huo wa sekta binafsi
*Walioubuni wasema umasikini haufutiki bila umeme wa kutosha
Tanzania ni moja ya nchi tatu tu za Afrika ambazo zitanufaika na uwekezaji wa...