Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEF yaitaja Tanzania kunufaika kiuchumi

Mkutano wa Jukwaa la Kimataifa la Uchumi (WEF) umeitaja Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zitakazonufaika na miradi 16 barani Afrika ambayo imepewa kipaumbele kutokana na kuzishirikisha sekta binafsi katika ujenzi wa miundombinu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wakulima wa Tangawizi Same kunufaika kiuchumi

Na Zephania Renatus,

Same.

Tatizo la ukosefu wa barabara lililokuwa likiwakabili wakulima wa zao la Tangawizi kufikisha mazao yao kiwandani katika kata ya Mamba Myamba wilayani Same Mkoani Kilimanjaro huenda likamalizika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu, baada ya serikali kwa kushirikiana na benki ya maendeleo ya afrika kutenga kiasi cha shilingi bilioni 2. ili kukamilisha ujenzi wa barabara hizo.

 

Barabara hizo mbili zenye urefu wa kilimota 13.9 zinazopita katika vijiji nne vya...

 

11 years ago

GPL

TANZANIA PRESIDENT JAKAYA KIKWETE AT DAVOS 2014 WEF

Tanzania President Jakaya Kikwete at Davos WEF 2014 on Raising awareness of the global water crisis.

 

9 years ago

Bongo5

Website maarufu ya Marekani Buzzfeed yaitaja Tanzania nchi ya 8 katika nchi 20 zinazovutia duniani

enhanced-7309-1430834722-9

Website maarufu ya Marekani, Buzzfeed imeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya nane katika orodha yake ya nchi 20 zinazovutia zaidi duniani.

enhanced-7309-1430834722-9

Afrika Kusini imekata nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo.

Kuhusu Tanzania website hiyo imeandika:

Land of the Serengeti, Lake Victoria, Lake Natron and Lake Manyara, the Ngorongoro Crater, Zanzibar, the Spice Islands, Dar Es Salaam and a million more, Tanzania is almost beyond belief.

Mount Kilimanjaro rises over 3 miles above the surrounding plains, making...

 

11 years ago

Habarileo

JK apangiwa mikutano mikuu 5 WEF

RAIS Jakaya Kikwete amewasili kwenye Mji Mkuu wa Nigeria, Abuja, juzi, kuhudhuria Kongamano la Uchumi Duniani (WEF) kwa Bara la Afrika lililoanza jana.

 

9 years ago

Habarileo

Tanzania kunufaika na MEFMI

TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi za Afrika zitakazonufaika na Chombo cha kutoa Mafunzo ya Usimamizi wa masuala ya Uchumi kwa Watendaji wa nchi wanachama wa chombo hicho (MEFMI) kwa Afrika Mashariki na Kusini.

 

9 years ago

Mtanzania

Tanzania yazidi kunufaika na uwekezaji

Dan Friedkin, Chairman and CEO of Friedkin Companies shaking hands with our President recentlyNa Enock Bwigabe, TUDARCO

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kimesema Tanzania imepata uwekezaji wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 zitakazochangia katika uboreshaji wa utalii na masuala ya uhifadhi nchini.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana, ilisema uwekezaji huo ulithibitishwa mwanzoni mwa mwezi huu kupitia Kamati ya Uendeshaji ya Uwezeshaji ya Taifa (NISC) iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo,...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania imejiandaaje kunufaika na mafuta?

Baadhi ya wananchi na wasomi wana hofu kuwa hata kama mafuta yataanza kuchimbwa nchini, itakuwa ndoto kwa taifa kuondokana na umaskini.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Nigeria security fears ahead of WEF

The Nigerian government is under pressure to tackle unrest days before a World Economic Forum event in the capital.

 

10 years ago

Michuzi

Vijana Tanzania kunufaika na siku ya idadi ya watu - UNFPA


Vijana kutoka Tanzania.(Picha ya UNFPA/TanzaniaTarehe 18 Novemba kila mwaka ni siku ya kimataifa ya idadi ya watu. Siku hii hutumiwa kufahamu idadi ya watu duniani na  huku takwimu hizo zikitumiwa kupanga  mikakati ya ustawi wa watu  duniani kote. Maudhui ya siku hiyo mwaka huu ni ustawi wa vijana kundi ambalo ni nguvu kazi katika jamii.Shirika la idadi ya watu duniani UNFPA ndilo linaloratibu kazi hiyo ambapo nchini Tanzania shirika hilo hilo linatarajia kuitumia siku hiyo kuwanufaisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani