WEF yaitaja Tanzania kunufaika kiuchumi
Mkutano wa Jukwaa la Kimataifa la Uchumi (WEF) umeitaja Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zitakazonufaika na miradi 16 barani Afrika ambayo imepewa kipaumbele kutokana na kuzishirikisha sekta binafsi katika ujenzi wa miundombinu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Jan
Wakulima wa Tangawizi Same kunufaika kiuchumi
Na Zephania Renatus,
Same.
Tatizo la ukosefu wa barabara lililokuwa likiwakabili wakulima wa zao la Tangawizi kufikisha mazao yao kiwandani katika kata ya Mamba Myamba wilayani Same Mkoani Kilimanjaro huenda likamalizika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu, baada ya serikali kwa kushirikiana na benki ya maendeleo ya afrika kutenga kiasi cha shilingi bilioni 2. ili kukamilisha ujenzi wa barabara hizo.
Barabara hizo mbili zenye urefu wa kilimota 13.9 zinazopita katika vijiji nne vya...
11 years ago
GPL26 Jan
TANZANIA PRESIDENT JAKAYA KIKWETE AT DAVOS 2014 WEF
9 years ago
Bongo505 Jan
Website maarufu ya Marekani Buzzfeed yaitaja Tanzania nchi ya 8 katika nchi 20 zinazovutia duniani
![enhanced-7309-1430834722-9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/enhanced-7309-1430834722-9-300x194.jpg)
Website maarufu ya Marekani, Buzzfeed imeitaja Tanzania kuwa ni nchi ya nane katika orodha yake ya nchi 20 zinazovutia zaidi duniani.
Afrika Kusini imekata nafasi ya kwanza kwenye orodha hiyo.
Kuhusu Tanzania website hiyo imeandika:
Land of the Serengeti, Lake Victoria, Lake Natron and Lake Manyara, the Ngorongoro Crater, Zanzibar, the Spice Islands, Dar Es Salaam and a million more, Tanzania is almost beyond belief.
Mount Kilimanjaro rises over 3 miles above the surrounding plains, making...
11 years ago
Habarileo08 May
JK apangiwa mikutano mikuu 5 WEF
RAIS Jakaya Kikwete amewasili kwenye Mji Mkuu wa Nigeria, Abuja, juzi, kuhudhuria Kongamano la Uchumi Duniani (WEF) kwa Bara la Afrika lililoanza jana.
9 years ago
Habarileo09 Oct
Tanzania kunufaika na MEFMI
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi za Afrika zitakazonufaika na Chombo cha kutoa Mafunzo ya Usimamizi wa masuala ya Uchumi kwa Watendaji wa nchi wanachama wa chombo hicho (MEFMI) kwa Afrika Mashariki na Kusini.
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Tanzania yazidi kunufaika na uwekezaji
Na Enock Bwigabe, TUDARCO
KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC), kimesema Tanzania imepata uwekezaji wenye thamani ya Dola za Marekani milioni 100 zitakazochangia katika uboreshaji wa utalii na masuala ya uhifadhi nchini.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana, ilisema uwekezaji huo ulithibitishwa mwanzoni mwa mwezi huu kupitia Kamati ya Uendeshaji ya Uwezeshaji ya Taifa (NISC) iliyokuwa chini ya Uenyekiti wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo,...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Tanzania imejiandaaje kunufaika na mafuta?
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74631000/jpg/_74631233_74631205.jpg)
VIDEO: Nigeria security fears ahead of WEF
10 years ago
Michuzi18 Nov
Vijana Tanzania kunufaika na siku ya idadi ya watu - UNFPA
![tanzania unfpa youth](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/J_YqL_2DkSxoyk1hh7ut2n8CDRsyLuUvXc46gnt1rccf2kHM6YGPX-RnllApgmtX1VYXwTKbjbqzSFK6LHwVAmGZXfiqzeDN7bpTHt2nVN7TgrI8ARhJq-5DxZgIuzrLAZqZ8Eb9E4T0K14VApLGvRz8XjXd=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/11/tanzania-unfpa-youth.jpg)