FURSA MILIONI 885 ZA CHINA,TANZANIA KUNUFAIKA NAZO
![](http://4.bp.blogspot.com/-9kxJypUeLlU/VOtc8ZV7ziI/AAAAAAAHFds/0X2U1ex9FU8/s72-c/2120_b.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Gavana wa Benki Kuu nchini,Profesa Beno Ndulu amesema kazi milioni 885 za nchi ya jamhuri ya watu wa China wameshindwa kuziendesha,hivyo Tanzania inaweza kufaidika na kazi hizo katika kuongeza pato la taifa kwa sekta ya viwanda.
Profesa Ndulu ameyasema hayo leo katika warsha ya kujadili chamgamoto na jinsi ya kukabiliana nazo kwa ukuaji wa Uchumi kutokana na rasilimali zilizopo nchini.
Amesema pato la taifa katika sekta ya viwanda limezidi kukua kwa dola za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3y60phYAntY/VCkTkhCUU7I/AAAAAAAGmbE/SGMABOkJGHA/s72-c/CN1.jpg)
Tanzania yaendelea kunufaika na uhusiano mwema ulipo baina yake na Taifa la China.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3y60phYAntY/VCkTkhCUU7I/AAAAAAAGmbE/SGMABOkJGHA/s1600/CN1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6O56ILHt-5I/VCkTlKRSMoI/AAAAAAAGmbU/98s3W3RNqEY/s1600/CN2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fFkimxOxAFw/VCkTlDR0M5I/AAAAAAAGmbI/EzkL7ssG8WI/s1600/CN3a.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC) chasajili miradi 885
Meneja Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Pendo Gondwe (katikati), akieleza kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na usajili wa miradi 885 wakati wa mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Ofisa Mwandamizi Huduma kwa Wawekezaji Kituo hicho, Patrick Chove na kulia ni Ofisa Habari wa Idara ya Habari (MAELEZO), Frank Mvungi.(Picha na Maktaba).
Frank Mvungi-Maelezo
Kituo cha uwekezaji Tanzania chasajili (TIC)...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Wnh49ymr4yE/VXXBsTp26LI/AAAAAAAC54M/v_0P5Ihf278/s72-c/China%2BPix%2B1.jpg)
WATAALAM WA BIASHARA NA VIWANDA TANZANIA KUTEMBELEA CHINA KUSAKA FURSA ZA KIBIASHARA ZAIDI.
Hatua hiyo inakuja miezi michache baada ya ziara ya Rais Jakaya Kikwete nchini ambapo serikali ya China ilikubali kusaidia Tanzania katika maendeleo na uendeshaji wa Viwanda nchini.
Akizungumza wakati wa sherehe ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--I0FqnOl0i8/VZOU1dM2D8I/AAAAAAAHmHQ/4EMmq8jci-0/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
Airtel Fursa Yatumia zaidi ya milioni 3 kumpiga tafu mjasiliamali mwingine - Airtel Fursa wiki hii kuwafaidisha mamia ya vijana Mwanza
![](http://4.bp.blogspot.com/--I0FqnOl0i8/VZOU1dM2D8I/AAAAAAAHmHQ/4EMmq8jci-0/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NLAxHtDkgT4/VZOU4trpdDI/AAAAAAAHmHg/UKCqdnXBI8o/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Kaya milioni moja kunufaika na Tasaf
WASTANI wa kaya milioni moja ambazo zinaishi katika hali duni ya umasikini nchini, zimelengwa kuwezeshwa katika kujikimu kimaisha katika utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya masikini unaotekelezwa na Mfuko wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zo7KFqYiomQ/VXXA_vuS4jI/AAAAAAAHdE4/sYwJp4cOhI4/s72-c/unnamed%2B%252897%2529.jpg)
CHUO KIKUU CHA NELSON MANDELA KUNUFAIKA NA USHIRIKIANO KUTOKA CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zo7KFqYiomQ/VXXA_vuS4jI/AAAAAAAHdE4/sYwJp4cOhI4/s640/unnamed%2B%252897%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6dvvDJGxgQY/VXXA_zbs3gI/AAAAAAAHdE8/1FkNwoyToZc/s640/unnamed%2B%252898%2529.jpg)
10 years ago
GPLBALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA KUKAGUA ENEO LA KUJENGA CHUO CHA KISASA CHA UFUNDI (VETA) NA KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MKOA
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
FURSA: Kopa na BAYPORT ‘online’ ujishindie Milioni 1
WATEJA wa taasisi ya Kifedha ya Bayport inayojihusisha na mambo ya mikopo wanaweza kujishindia jumla ya Sh Milioni moja, endapo wataamua kukopa kwa njia ya mtandao wa www.kopabayport.co.tz nuliozinduliwa rasmi jana, jijini Dar es Salaam.
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport Financial Services, Ngula Cheyo, pichani, akisisitiza jambo katika moja ya matukio ya kikazi ya taasisi hiyo nchini Tanzania.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport, Ngula...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmNGI*NjgGIQGQFvPRXfAig8UC4VYvHxgcTeNWAA3nAHPipyChTZdgBGTi-Z8FCZRRkMUfSvAxEbcUnR*6ZbjT7q/17.jpg?width=650)
AIRTEL FURSA YATUMIA ZAIDI YA MILIONI 3 KUMPIGA TAFU MJASILIAMALI MWINGINE