Sitta afanya mazingaombwe
HATIMAYE Bunge Maalum la Katiba limepitisha Rasimu ya Katiba mpya inayopendekewa baada ya kupata theluthi mbili ya kura zinazotakiwa kwa pande zote mbili za Muungano, Bara na Visiwani kwa mujibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Hiki kiini macho au mazingaombwe?
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Walimu hawahitaji mazingaombwe ya ahadi
WIKI iliyopita nilizungumzia kuhusu kukamilika vyumba vya madarasa na maabara katika shule za sekondari nchini, lakini nikagusia uhaba wa walimu unavyoathiri wanafunzi wa masomo ya sayansi.
Shule zinaongezeka kila kukicha, mwaka jana tu zilisajiliwa shule 106, kati ya hizo shule za awali zilikuwa mbili, za msingi 53 na sekondari 17 hizo ni za serikali, zisizo za serikali zilikuwa 32.
Kwa mujibu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa jumla ya vyuo vya ualimu...
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
USULUHISHI BUNGE LA KATIBA MAZINGAOMBWE MATUPU
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe na ramli — Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba mara baada ya kutunukiwa Digrii ya Heshima ya Uzamivu (PhD Honoris Causa) katika mahafali hayo ya pili ya Taasisi hiyo jijini Arusha mwishoni mwa wiki. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
-Pia asema kuwa ubishi wa siasa hauwezi kutoa majawabu ya changamoto za maendeleo
-Asisitiza umuhimu wa internet akielezea kuwa elimu ya sayansi haipatikani kwenye magazeti
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...