Walimu hawahitaji mazingaombwe ya ahadi
WIKI iliyopita nilizungumzia kuhusu kukamilika vyumba vya madarasa na maabara katika shule za sekondari nchini, lakini nikagusia uhaba wa walimu unavyoathiri wanafunzi wa masomo ya sayansi.
Shule zinaongezeka kila kukicha, mwaka jana tu zilisajiliwa shule 106, kati ya hizo shule za awali zilikuwa mbili, za msingi 53 na sekondari 17 hizo ni za serikali, zisizo za serikali zilikuwa 32.
Kwa mujibu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa jumla ya vyuo vya ualimu...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 May
Ahadi ya JK kwa walimu
AHADI ya Rais Jakaya Kikwete ya kushughulikia changamoto za walimu kabla ya kumaliza muda wa uongozi wake mwishoni mwa mwaka huu, inatarajiwa kuanza kutekelezwa mwezi ujao.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Wazawa hawahitaji upendeleo, bali kuwezeshwa
NILIMSIKILIZA Rais Jakaya Kikwete akizungumza katika kongamano kuhusu gesi asilia Jumanne iliyopita. Kwa hakika alijitahidi kujenga hoja kwanini serikali haiwezi kuwapendelea wazawa katika suala la uwekezaji katika gesi asilia. Nimemuelewa,...
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Sitta afanya mazingaombwe
HATIMAYE Bunge Maalum la Katiba limepitisha Rasimu ya Katiba mpya inayopendekewa baada ya kupata theluthi mbili ya kura zinazotakiwa kwa pande zote mbili za Muungano, Bara na Visiwani kwa mujibu...
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Hiki kiini macho au mazingaombwe?
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
USULUHISHI BUNGE LA KATIBA MAZINGAOMBWE MATUPU
9 years ago
Mwananchi04 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Hatuwezi kuendelea kwa kutegemea mazingaombwe na ramli — Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba mara baada ya kutunukiwa Digrii ya Heshima ya Uzamivu (PhD Honoris Causa) katika mahafali hayo ya pili ya Taasisi hiyo jijini Arusha mwishoni mwa wiki. (Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
-Pia asema kuwa ubishi wa siasa hauwezi kutoa majawabu ya changamoto za maendeleo
-Asisitiza umuhimu wa internet akielezea kuwa elimu ya sayansi haipatikani kwenye magazeti
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu