Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete’s pick for new CAG draws widespread praise

The appointment of Prof Mussa Assad as the new Controller and Auditor General (CAG) has been warmly received by a broad cross-section of Tanzanians who agree he is qualified to execute the demanding duties of the office.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

DSE expected to pick up as 2015 draws to a close

The performance of the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) is seen improving towards the end of the year as brokers anticipate increased foreign participation.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Zanzibar Wins Donor Praise, Shein Commends CAG


Zanzibar Wins Donor Praise, Shein Commends CAG
AllAfrica.com
Zanzibar — THE National Audit Office (NAO) has been commended for the good work it has been doing, Zanzibar President Dr Ali Mohammed Shein said on Thursday, as the Isles won praise from development partners. "Keep up the good work, I am pleased ...

 

9 years ago

TheCitizen

Scientists shower Kikwete with praise for his support

As President Jakaya Kikwete ends his second and last term of office in the next couple of weeks, he appears determined to leave a mark in science—for his inspiration as a non-scientist who is curious in science issues and his commitment to matters of research and development.

 

10 years ago

StarTV

Rais Kikwete amwapisha rasmi CAG.

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

 

Rais Jakaya Kikwete amemwapisha rasmi mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali.

 

Baadhi ya maafisa wa Serikali wamesifu hatua hiyo kuchukuliwa mapema kutokana na unyeti wa ofisi ya CAG wakidai kuwa itaongeza nguvu kwenye shughuli za udhibiti wa hesabu za serikali tofauti na awali ambapo ofisi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na kaimu mdhibiti na mkaguzi mkuu.

 

Baada ya kula kiapo kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijibi Dar es Salaam, CAG huyu mpya...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete apokea Ripoti ya CAG Dar

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Musa Assad akieleza jambo kabla hamjamkabidhi Ripoti yake Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Musa Assad akimkabidhidhi Ripoti yake Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikifungua Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali muda mfupi baada ya kukabidhiwa na Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete amteua Profesa Assad kuwa CAG Mpya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete apokea Ripoti ya CAG, ikulu jijini Dar leo



Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Musa Assad akizungumza wakati wa kukabidhi Ripoti yake Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leoMdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Musa Assad akimkabidhidhi Ripoti yake Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali muda mfupi baada ya kukabidhiwa na Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Jakaya Kikwete amwapisha CAG mpya leo , Ikulu Jiji Dar

Picha na 1.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimwapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad, leo Ikulu jijini Dar es salaam.

Picha na 2

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad akisaini hati ya kiapo chake mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete mara baada ya kuapishwa leo Ikulu jijini Dar es salaam.

Picha na 3

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto)...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AMTEUA PROF MUSSA ASSAD KUWA CAG MPYA, KUAPISHWA KESHO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014. Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne, Desemba 2, saa nne asubuhi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani