Kikwete’s pick for new CAG draws widespread praise
The appointment of Prof Mussa Assad as the new Controller and Auditor General (CAG) has been warmly received by a broad cross-section of Tanzanians who agree he is qualified to execute the demanding duties of the office.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen08 Dec
DSE expected to pick up as 2015 draws to a close
10 years ago
AllAfrica.Com05 Dec
Zanzibar Wins Donor Praise, Shein Commends CAG
AllAfrica.com
Zanzibar — THE National Audit Office (NAO) has been commended for the good work it has been doing, Zanzibar President Dr Ali Mohammed Shein said on Thursday, as the Isles won praise from development partners. "Keep up the good work, I am pleased ...
9 years ago
TheCitizen14 Oct
Scientists shower Kikwete with praise for his support
10 years ago
StarTV03 Dec
Rais Kikwete amwapisha rasmi CAG.
Na Lilian Mtono,
Dar es Salaam.
Rais Jakaya Kikwete amemwapisha rasmi mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali.
Baadhi ya maafisa wa Serikali wamesifu hatua hiyo kuchukuliwa mapema kutokana na unyeti wa ofisi ya CAG wakidai kuwa itaongeza nguvu kwenye shughuli za udhibiti wa hesabu za serikali tofauti na awali ambapo ofisi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na kaimu mdhibiti na mkaguzi mkuu.
Baada ya kula kiapo kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijibi Dar es Salaam, CAG huyu mpya...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Ripoti ya CAG Dar
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Rais Kikwete amteua Profesa Assad kuwa CAG Mpya
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vsBqaDgtALc/VRVVleogMkI/AAAAAAAHNn8/HFB-bUl5Wrs/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
Rais Kikwete apokea Ripoti ya CAG, ikulu jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-vsBqaDgtALc/VRVVleogMkI/AAAAAAAHNn8/HFB-bUl5Wrs/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Profesa Musa Assad akizungumza wakati wa kukabidhi Ripoti yake Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-GY_QfLXd-dI/VRVVlXBNmUI/AAAAAAAHNn0/8AyQRTXlba8/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tFBq45YIjfw/VRVVlkaxH4I/AAAAAAAHNn4/QUmrngD10xk/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Rais Jakaya Kikwete amwapisha CAG mpya leo , Ikulu Jiji Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimwapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad, leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad akisaini hati ya kiapo chake mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete mara baada ya kuapishwa leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto)...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MjNY3FB6OV8-IjSdz6QHhRWMjTZd9jkAylaz6MPf3G1p4SrPelgytLvxSAgOXCsxIyNojbVhvRPX3CGGR0t5is8/IKULULEO.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMTEUA PROF MUSSA ASSAD KUWA CAG MPYA, KUAPISHWA KESHO