Kilimo bora cha chikichi ni utajiri kwa mkulima
CHIKICHI hutoa mafuta ya mawese na hulimwa zaidi katika Mkoa wa Kigoma. Zao hili lina soko kubwa duniani, hivyo kama litaendelezwa vizuri linaweza kuwasaidia wakulima wadogo kuondoka katika wimbi la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zTavWnyQlFw/XpqDkCtiIfI/AAAAAAALnTw/3mOGapC3RPYoU9IAjSToPumhEf_31adigCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
TIC yahimiza uwekezaji wa Kilimo cha Chikichi
Na Mwandishi Wetu, Kigoma.
Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kushirikiana na Kampuni ya Trolle Meesle Tanzania Limited ya Mkoani Kigoma inaandaa mafunzo kwa ajili ya kuwajengea uwezo wakulima wanachama wa vyama vinane vya ushirika vyenye wanachama 1,850 wanaojishughulisha na kilimo cha michikichi Mkoani humo.![](https://1.bp.blogspot.com/-zTavWnyQlFw/XpqDkCtiIfI/AAAAAAALnTw/3mOGapC3RPYoU9IAjSToPumhEf_31adigCLcBGAsYHQ/s640/New%2BPicture.png)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Bw. Geoffrey Mwambe (Wa Kwanza Kushoto) akipata ufafanuzi kutoka kwa Mwekezaji wa Kampuni Trolle Meesle Tanzania Limited Bw....
Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kushirikiana na Kampuni ya Trolle Meesle Tanzania Limited ya Mkoani Kigoma inaandaa mafunzo kwa ajili ya kuwajengea uwezo wakulima wanachama wa vyama vinane vya ushirika vyenye wanachama 1,850 wanaojishughulisha na kilimo cha michikichi Mkoani humo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-zTavWnyQlFw/XpqDkCtiIfI/AAAAAAALnTw/3mOGapC3RPYoU9IAjSToPumhEf_31adigCLcBGAsYHQ/s640/New%2BPicture.png)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania Bw. Geoffrey Mwambe (Wa Kwanza Kushoto) akipata ufafanuzi kutoka kwa Mwekezaji wa Kampuni Trolle Meesle Tanzania Limited Bw....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7uN5VjC*pC4a4kCnxGEv51V2CM7*4wQ-pA7xA7fCXoPwl2Fx0Soft8jtIH0cbyH6lv0q7tKF6jmXE8nBNxl3C*h/PRSwahili.png)
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Bajeti ya kilimo itamkomboa mkulima?
PAMOJA na mafanikio yaliyopatikana kutokana na bajeti ya 2013/2014 yanayotajwa kwenye hotuba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika ya mwaka 2014/2015 bado kuna mengi ya kuhoji juu ya bajeti...
11 years ago
Michuzi19 Mar
WARSHA YA UBORESHAJI WA KILIMO CHA APPLES MAKETE KWA MAAFISA KILIMO YAFUNGULIWA
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Vijana ondokeni vijiweni, kilimo ni utajiri tosha
Ilikuwa siku ya Mei 29, mwaka huu zaidi ya watu 500 walikusanyika kujadili kilimo cha mpunga kibiashara huku Mkuu wa Mkoa, Abass Kandoro akiwa mgeni rasmi.
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KILIMO AZINDUA KIWANDA KIPYA CHA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAHINDI JIJINI ARUSHA
Kampuni ya mbegu ya Seedco imezindua kiwanda kipya cha kuzalisha mbegu bora za mahindi na nafaka nyingine kitakachowasaidia wakulima kulima kilimo chenye tija na kupata mazao mengi.
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...
Uzinduzi huo uliongozwa na Naibu Waziri wa Kilimo na Chakula Godifrey Zambi ambaye alifungua rasmi kiwanda hicho ,Amesema kuwa tasnia ya mbegu ni tasnia muhimu katika ukuaji wa sekta ya kilimo hiyo amewataka wazalishaji mbegu kuongeza tija ili kukuza kilimo.
Ameeleza kuwa kampuni hiyo imetimiza matakwa ya serikali...
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Viongozi wa Anglican watembelea shamba la Waziri Mkuu Zuzu Dodoma kujifunza kilimo bora cha Zabibu na Embe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A9JNWBLu2bc/XtjetbaDUTI/AAAAAAALsms/oPT1AWznw0csjjgGVQ_aXzjQ6BtxpeknwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0078.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA
Na Pamela Mollel, Arusha.
KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5 ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira
Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8LXuL-IJiwc/VNoatA93aGI/AAAAAAAHC2M/bVYHrBypxL0/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
VIONGOZI WA KANISA LA ANGLICAN WATEMBELA SHAMBA LA WAZIRI MKUU ZUZU DODOMA KUJIFUNZA KILIMO BORA CHA ZABIBU NA EMBE
![](http://2.bp.blogspot.com/-8LXuL-IJiwc/VNoatA93aGI/AAAAAAAHC2M/bVYHrBypxL0/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LNKXeev28eM/VNoauKb1xoI/AAAAAAAHC2Q/NY8EpNqe7CA/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania