Kilosa yaainisha viwanja 1,970 makazi mapya
HALMASHAURI ya wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro imeainisha viwanja 1,970 vilivyopimwa kwa ajili ya matumizi mbalimbali eneo la makazi mapya vikiwemo vya makazi na biashara, imeelezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Agizo la JK Kilosa laibua mapya
KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani hapa kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi,...
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Wahanga wa Viwanja Kilosa kumwona JK
Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi wa wilayani Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni.
Na Mwandishi wetu
KAULI ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa hivi karibuni kwa uongozi wa Wilaya ya Kilosa mkoani humo kuhakikisha wamepima viwanja ndani ya wiki moja kuwagawia wahanga wa mafuriko na kuwasaidia ujenzi, limepuuzwa na kusababisha wahanga hao kukusudia kuonana naye.
Hata hivyo, uongozi wa Halmashauri akiwemo Mkurugenzi, Idd Mshili na Mwenyekiti, Ameir...
11 years ago
Habarileo27 Dec
Viwanja 3,000 vya makazi kuuzwa Chamwino
HALMASHAURI ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma inatarajia kuuza viwanja 3,000 kwa ajili ya makazi.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gAIz8XA_emk/VYCd_2YMHjI/AAAAAAAAS1A/K0v8lGIEjWg/s72-c/IMG-20150615-WA0074.jpg)
MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA RAJAB MSABAHA KAUZELA AENDELEA NA ZIARA ZA UFUNGUZI WA MATAWI YA CHADEMA JIMBONI KILOSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-gAIz8XA_emk/VYCd_2YMHjI/AAAAAAAAS1A/K0v8lGIEjWg/s640/IMG-20150615-WA0074.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--XIDaazNF0U/VYCd_wLt1cI/AAAAAAAAS1E/Js2vlgddoA0/s640/IMG-20150615-WA0076.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZNMbe4iXn5w/VYCd_0sKuuI/AAAAAAAAS1M/Xr64PHEa9Ks/s640/IMG-20150615-WA0083.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r_in6x89OZs/VYCeEgAZ3xI/AAAAAAAAS1c/f8Gs5nkpu4k/s640/IMG-20150615-WA0075.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-euy7poih4kU/VYCeEz6OM4I/AAAAAAAAS14/cg4NKED40ow/s640/IMG-20150615-WA0078%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-REgLQL4rYXY/VYCeE7HF33I/AAAAAAAAS1Y/Dmkb8ST_Myo/s640/IMG-20150615-WA0089.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0xIWAU7wBws/VYCeFLH85WI/AAAAAAAAS1g/cyajnGWBahA/s640/IMG-20150615-WA0095.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--cEkomPKyGg/VYCeFQdG4eI/AAAAAAAAS1o/Uy7-Bh0b15U/s640/IMG-20150615-WA0099.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SB79Pcj9q5M/VX2iLMTn1EI/AAAAAAAASxY/1EatthTluEc/s72-c/IMG-20150518-WA0004.jpg)
MTIA NIA WA UBUNGE JIMBO LA KILOSA KUPITIA CHADEMA NDUGU RAJAB MSABAHA KAUZELA AANZA RASMI SAFARI YAKE YA KUWAKOMBOA WANA-KILOSA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SB79Pcj9q5M/VX2iLMTn1EI/AAAAAAAASxY/1EatthTluEc/s1600/IMG-20150518-WA0004.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2ip2ueH4r6o/VX2iMhBZwkI/AAAAAAAASxg/OXLcOEcJarI/s1600/IMG-20150614-WA0000.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vMBmd6X6jTg/VX2iP9ToCiI/AAAAAAAASxo/0DRLlJHZdk0/s1600/IMG-20150613-WA0023.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AwUWUveZAsA/VZjrX8Qf0NI/AAAAAAAHnCQ/Rfq2dCxC9XU/s72-c/ss.png)
DART yaainisha mafanikio yaliyopatikana katika BRT, kuleta mabasi 76 Mwezi Septemba mwaka na kuanza rasmi kipindi cha mpito
![](http://4.bp.blogspot.com/-AwUWUveZAsA/VZjrX8Qf0NI/AAAAAAAHnCQ/Rfq2dCxC9XU/s640/ss.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Ok0mIQevg/VZjratFlddI/AAAAAAAHnCY/mAJRjAIZSVw/s640/s.png)
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imeisifu serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa mafanikio ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Magari Yaendayo Haraka (BRT) ambapo kipindi cha mpito kinatarajia kuanza septemba mwaka huu.
Mradi huu unatarajia kuboresha maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam ambalo limesongwa na...
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Makazi duni Nigeria: Makazi duni Lagos yako juu ya maji
10 years ago
Habarileo27 Jan
RC akataa taarifa ya ujenzi maabara Kilosa
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameikataa taarifa ya ujenzi wa maabara ya Wilaya ya Kilosa kutokana na utekelezaji wake kusuasua na kuagiza kukamilishwa ndani ya Machi mwaka huu.