KINANA AANZA ZIARA YA SIKU SITA MKOA WA IRINGA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa skafu mara tu baada ya kuwasili Iringa Vijijini ambako atafanya shughuli mbali mbali za kijamii ,kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 .
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipiga saluti kama ishara ya kupokea vizuri mapokezi yake katika mkoa wa Iringa ambapo atakuwa na ziara ya siku sita. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AANZA ZIARA YA SIKU NNE MKOA WA DAR ES SALAAM


11 years ago
Dewji Blog06 Oct
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana awasili Mkoani Iringa kwa ziara ya siku sita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa skafu mara baada ya kuwasili mkoani Iringa kuanza ziara ya siku sita ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na kukagua uhai wa chama. Katika ziara hiyo Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi, Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu na katikati ni Katibu...
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Pinda aanza ziara ya mkoa wa Iringa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli kuanza ziara ya kikazi mkoani Iringa Februari 18, 2015. (Picha na Ofisi yaWaziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma ya kikundi cha Mangala baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli kuanza ziara ya kikazi mkoani Iringa Februari 18, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi wa mkoa wa Iringa baada ya kuwasili kwenye...
11 years ago
Dewji Blog28 May
Kinana aanza ziara ya Mkoa wa Manyara
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Katesh wilayani Hanang ambapo aliwaambia wananchi wanapaswa kushirikiana na serikali yao katika kuleta maendeleo na kuachana na mambo mengi yanayoendelea kwenye siasa.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Katesh kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mjini hapo ambapo aliwaambia wananchi CCM imejipanga vizuri sana kiasi cha wananchi wengi kuendelea kuiamini ,alisisitiza nchi nzima ofisi za CCM...
11 years ago
Michuzi14 Sep
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE MIKOA YA PWANI,TANGA NA IRINGA

10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOA WA KILIMANJARO

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amewasili katika jimbo la Siha, katika ziara yake ya kikazi yenye lengo la kukagua kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ambayo katika jimbo la Siha imetekelezwa kwa asilimia kubwa ikisimamiwa na Mbunge wa jimbo hilo na Naibu Waziri wa...
11 years ago
Michuzi08 Oct
KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA IRINGA

%2C%2BParcras%2B%2BMkakatu%2Bakisikiliza%2Bmaelekezo%2Bya%2BKinana%2Bwakati%2Bwa%2Bmkutano%2Bkwenye%2Bzahanati%2Bya%2BKijiji%2Bhicho.jpg)
%2C%2BParcras%2B%2BMkakatu%2Bakijieleza%2Bkwa%2BKinana%2Bwakati%2Bwa%2Bmkutano%2Bkwenye%2Bzahanati%2Bya%2BKijiji%2Bhicho.jpg)
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA YA SIKU 16 YA UNGUJA NA PEMBA.


Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10