Kinana aanza ziara ya Mkoa wa Manyara
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Katesh wilayani Hanang ambapo aliwaambia wananchi wanapaswa kushirikiana na serikali yao katika kuleta maendeleo na kuachana na mambo mengi yanayoendelea kwenye siasa.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Katesh kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mjini hapo ambapo aliwaambia wananchi CCM imejipanga vizuri sana kiasi cha wananchi wengi kuendelea kuiamini ,alisisitiza nchi nzima ofisi za CCM...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-yl5ZU1tpf7c/VDJXxD6JJaI/AAAAAAAAR-Y/pNMLpabqv_8/s72-c/11.jpg)
KINANA AANZA ZIARA YA SIKU SITA MKOA WA IRINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-yl5ZU1tpf7c/VDJXxD6JJaI/AAAAAAAAR-Y/pNMLpabqv_8/s1600/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LNTF37M1zbo/VDJX4yIyy2I/AAAAAAAAR-o/t9mzWGClHNU/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FfgSUAl18_I/VDJX7vI9FpI/AAAAAAAAR-w/QqCsEMVJhCQ/s1600/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipiga saluti kama ishara ya kupokea vizuri mapokezi yake katika mkoa wa Iringa ambapo atakuwa na ziara ya siku sita.
![](http://4.bp.blogspot.com/-sN1WSPAEiO8/VDJX1ZcArzI/AAAAAAAAR-g/hHlWiISU88E/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ekqls9DvITE/VQ8SlZFmROI/AAAAAAAC2IE/6YU51e8qtXo/s72-c/8.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOA WA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ekqls9DvITE/VQ8SlZFmROI/AAAAAAAC2IE/6YU51e8qtXo/s1600/8.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amewasili katika jimbo la Siha, katika ziara yake ya kikazi yenye lengo la kukagua kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ambayo katika jimbo la Siha imetekelezwa kwa asilimia kubwa ikisimamiwa na Mbunge wa jimbo hilo na Naibu Waziri wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i_mouLroLug/UzEwucZuS1I/AAAAAAACdYU/BSlFzdpKjzM/s72-c/IMG_0671.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AANZA ZIARA YA SIKU NNE MKOA WA DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-i_mouLroLug/UzEwucZuS1I/AAAAAAACdYU/BSlFzdpKjzM/s1600/IMG_0671.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I8lP1n2oQsM/UzEwlw9GFgI/AAAAAAACdX0/ihJkctbh4Pg/s1600/IMG_0631.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF3VfiKWF6JloGpwBW6yqu1gus2kBlOICkPG0wJQGXo6YnKhvJ51mDKtctldHOl9JNtjfjAZ4HjCSKwDlYU9IThG/5.jpg?width=650)
KATIBU MKUU WA CCM, NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE WILAYA YA WETE MKOA WA KASKAZINI PEMBA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oruY9sAcGy0/VMaSMx8dc8I/AAAAAAACymk/_THbG5ofl4w/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE LEO WILAYA YA WETE MKOA WA KASKAZINI PEMBA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-oruY9sAcGy0/VMaSMx8dc8I/AAAAAAACymk/_THbG5ofl4w/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mHzAYpCk5vc/VMaSOEcn-LI/AAAAAAACym0/ue8pOCpiqm4/s1600/7.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Kinana aanza ziara mkoa wa Mwanza, akutana uso kwa uso na mgombea Urais Ngeleja
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwafuraha na Mbunge wa Jimbo la Sengerema, ambaye pia ni mmoja wa wana CCM waliochukua fomu ya kuomba kuwania urais ndani ya chama hicho, William Ngeleja alipowasili katika Kata ya Nyamadoke, Jimbo la Buchosa,, wilayani Sengerema, kuanza ziara rasmi katika majimbo yote ya Mkoa wa Mwanza leo.
Komredi Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, ameanza ziara mkoani Mwanza, baada ya kumaliza ziara...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HlMJozsA_vA/VW_9TgdgsCI/AAAAAAAAc7s/Kx6TRvT3bXc/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV9sUo2cYXk/VW_9iVAMoxI/AAAAAAAAc8E/1evqpM9CTc8/s640/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kinana aanza rasmi ziara
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s640/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiteremka kwenye basi kuwasalimia wanachama na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi wa mkoa wa Morogoro akiwa njiani kuelekea mkoani Kagera.
![](http://1.bp.blogspot.com/-HlMJozsA_vA/VW_9TgdgsCI/AAAAAAAAc7s/Kx6TRvT3bXc/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-w7x4ONy4scs/VW_9dFVlFvI/AAAAAAAAc70/q_9ACV8Dg4k/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BEnECaPbcwg/VW_9hc3QDoI/AAAAAAAAc78/_PZMcsNFHLg/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV9sUo2cYXk/VW_9iVAMoxI/AAAAAAAAc8E/1evqpM9CTc8/s640/5.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia wakazi wa mkoa wa Morogoro waliojitokeza kuwasalimu wakati wa safari ya kuelekea Kagera.
![](http://4.bp.blogspot.com/-A0ptPvhdD-0/VW_9i-lPGnI/AAAAAAAAc8I/J0cFu6tRR9o/s640/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi waliojitokeza kwenye kituo cha mabasi mjini Morogoro maarufu kama Msamvu ambapo aliwaambia...