Kinana amaliza ziara wilaya ya Ngorongoro
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kijiji cha Arash wilaya ya Ngorongoro,ambao walimueleza Katibu Mkuu wa CCM kero zao,ikiwemo tatizo la kuchomewa makazi yao na askari wa hifadhi pamoja na tatizo la maji.
![](http://2.bp.blogspot.com/-n12nfQKTJUM/VQXV4DpErOI/AAAAAAAAYJ0/HJoIeh5GoGs/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza wakati wa mkutano na Baraza la wafugaji,Viongozi wa Kata na Viongozi wa Kimila.
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4lx9VBlsh4/VQXV42Ce1zI/AAAAAAAAYKA/V0z62w0pgxs/s1600/3.jpg)
Wajumbe wa baraza la wafugaji,viongozi wa kata na viongozi wa kimila wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YA SIKU MBILI WILAYA YA NGORONGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n12nfQKTJUM/VQXV4DpErOI/AAAAAAAAYJ0/HJoIeh5GoGs/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4lx9VBlsh4/VQXV42Ce1zI/AAAAAAAAYKA/V0z62w0pgxs/s1600/3.jpg)
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Kinana amaliza ziara yake wilaya ya Mpanda
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi ambapo nyumba 70 zimekamilika kati ya 90 zitakazojengwa wilayani hapo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-m56HC-mo6k8/U0-8pl3Ap6I/AAAAAAAANSQ/G7dfFfP6yoo/s1600/5.jpg)
Nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa zinazojengwa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_4tIZBc1rDA/U0-8sO8zWvI/AAAAAAAANSY/8NptpgUpe-M/s1600/9.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kwenye ngazi baada ya kukagua mradi wa maji wa Ikorongo,Katibu mkuu ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi...
10 years ago
MichuziZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA WILAYA YA NGORONGORO MKOANI ARUSHA.
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI NZEGA LEO,KESHO NDANI YA WILAYA YA UYUI MKOANI TABORA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pslJ_saSnV4/VCWzIdnnXZI/AAAAAAAARXc/5ZWHpsJaab8/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA KOROGWE VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-pslJ_saSnV4/VCWzIdnnXZI/AAAAAAAARXc/5ZWHpsJaab8/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bluKf8aLx5g/VCW3B15vOCI/AAAAAAAARZM/ydxBplExC8U/s1600/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-HPfAIOae8ug/VC2tEcmy2UI/AAAAAAAARvs/6cIylFaZpuY/s72-c/3.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE PANGANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-HPfAIOae8ug/VC2tEcmy2UI/AAAAAAAARvs/6cIylFaZpuY/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-q3rvR8C9600/VC2tJYT244I/AAAAAAAARv8/2dOrc6HOV60/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tZo6gRAeN9A/VC2tG64J7gI/AAAAAAAARv0/DjECOsu1ASw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZkVvqUqCYwk/VC2tSoJVhlI/AAAAAAAARwE/hweSjPDE5IE/s1600/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Kinana amaliza ziara visiwani PEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MSWUSBO255I/VMpw-rZHUaI/AAAAAAAAWXA/z7ovmiEDpPI/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya mpira Mjimbini,wilaya ya Mkoani,Pemba ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa huu ni wakati wa kupima hoja za msingi,kuisoma na kuielewa Katiba iliyopendekezwa na kuwataka viongozi wa CCM kuchagua viongozi wanaokubalika .
![](http://1.bp.blogspot.com/-LbKmt_Hxdeo/VMpxt4_rNxI/AAAAAAAAWXQ/2YQM_sDtlkY/s1600/3.jpg)
Wazee wa wilaya ya mkoani wakifuatilia kwa makini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Dr5VzxKLfjQ/VMpxAyxwKpI/AAAAAAAAWXI/KnWZG5F22PQ/s1600/4.jpg)
Wananchi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia wananchi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-G_-nARJxg1U/VQHZSsmLQ3I/AAAAAAAAX8s/nKy2s0tsCtg/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOA WA DODOMA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo amemaliza ziara yake ya siku 9 katika mkoa wa Dodoma ambapo amesafiri wastani wa kilometa 2289, ametembelea wilaya 7 na majimbo 9 ya uchaguzi.Amehutubia jumla ya mikutano 90 ikiwa pamoja na mikutano ya hadhara 81 na mikutano ya ndani 9.Ameshiriki ,Amekagua,amezindua na kuweka mawe ya msingi katika jumla ya miradi 73 ikiwemo miradi ya Chama 11 na miradi ya maendeleo ya wananchi 62.Amepokea wanachama wapya wa CCM 8245 wakiwemo 44 kutoka vyama...