KINANA AMALIZA ZIARA YA SIKU MBILI WILAYA YA NGORONGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kijiji cha Arash wilaya ya Ngorongoro,ambao walimueleza Katibu Mkuu wa CCM kero zao,ikiwemo tatizo la kuchomewa makazi yao na askari wa hifadhi pamoja na tatizo la maji.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza wakati wa mkutano na Baraza la wafugaji,Viongozi wa Kata na Viongozi wa Kimila.
Wajumbe wa baraza la wafugaji,viongozi wa kata na viongozi wa kimila wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Kinana amaliza ziara wilaya ya Ngorongoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kijiji cha Arash wilaya ya Ngorongoro,ambao walimueleza Katibu Mkuu wa CCM kero zao,ikiwemo tatizo la kuchomewa makazi yao na askari wa hifadhi pamoja na tatizo la maji.
![](http://2.bp.blogspot.com/-n12nfQKTJUM/VQXV4DpErOI/AAAAAAAAYJ0/HJoIeh5GoGs/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza wakati wa mkutano na Baraza la wafugaji,Viongozi wa Kata na Viongozi wa Kimila.
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4lx9VBlsh4/VQXV42Ce1zI/AAAAAAAAYKA/V0z62w0pgxs/s1600/3.jpg)
Wajumbe wa baraza la wafugaji,viongozi wa kata na viongozi wa kimila wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Kinana amaliza ziara yake wilaya ya Mpanda
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua mradi wa ujenzi wa nyumba zinazojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi ambapo nyumba 70 zimekamilika kati ya 90 zitakazojengwa wilayani hapo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-m56HC-mo6k8/U0-8pl3Ap6I/AAAAAAAANSQ/G7dfFfP6yoo/s1600/5.jpg)
Nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa zinazojengwa katika wilaya ya Mpanda mkoani Katavi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-_4tIZBc1rDA/U0-8sO8zWvI/AAAAAAAANSY/8NptpgUpe-M/s1600/9.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kwenye ngazi baada ya kukagua mradi wa maji wa Ikorongo,Katibu mkuu ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s72-c/n2.jpg)
RAIS WA NAMIBIA AMALIZA ZIARA YAKE YA KIKAZI YA SIKU MBILI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-QGXVpuQeMaI/VhwNkGGm_hI/AAAAAAAH_h8/rz9Q38RZZCI/s640/n2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2d3OqdPED_E/VhwN0xUTs4I/AAAAAAAH_is/Hc35k5Ch6lY/s640/n8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Kinana amaliza ziara ya siku 10 mkoani Kagera
![](http://2.bp.blogspot.com/-kmNeYoPkVEs/VX3hu3gX51I/AAAAAAAAePU/3hWn4LbHioA/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Buharamulo mara baada ya kuwasili kwenye kata ya Nyabugombe ,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://2.bp.blogspot.com/-6pXFq1zf63s/VX3jhy1Hx0I/AAAAAAAAeT0/W7XWb3R1O9Q/s1600/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya wilaya ya Biharamulo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OMlP6UbiQ84/VX3hunnZWII/AAAAAAAAePQ/C5kmH_GPcu0/s1600/10.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Wazee wa kata ya Nyakahura,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dbspODdP9i8/VX3htMyuRDI/AAAAAAAAePI/KhUlKyrH9gw/s640/11.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akielekea...
10 years ago
MichuziZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA WILAYA YA NGORONGORO MKOANI ARUSHA.
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Komredi Kinana amaliza ziara siku 9 Dodoma, azunguka KM 2289 kukagua miradi 73 na kufanya mikutano 91
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano baada ya kukagua ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Changaa, wilayani Kondoa, wakati wa ziara ya siku tisa iliyomalizika leo mkoani Dodoma ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Katika ziara yake hiyo aliyoambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ilikuwa ya mafanikio makubwa, kwani msafara wake...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI NZEGA LEO,KESHO NDANI YA WILAYA YA UYUI MKOANI TABORA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7DfOVTsk4Nw/VMpyytJz0fI/AAAAAAACy_Y/O5aCpmTlJaQ/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KOMREDI KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU 15 KISIWANI UNGUJA NA PEMBA LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7DfOVTsk4Nw/VMpyytJz0fI/AAAAAAACy_Y/O5aCpmTlJaQ/s1600/7.jpg)
Kinana amemaliza ziara ya siku 15 katika visiwa vya Unguja na Pemba Zanzibar ambapo amekagua na kushiriki ujenzi katika miradi 40 mikoa...