Komredi Kinana amaliza ziara siku 9 Dodoma, azunguka KM 2289 kukagua miradi 73 na kufanya mikutano 91
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano baada ya kukagua ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Changaa, wilayani Kondoa, wakati wa ziara ya siku tisa iliyomalizika leo mkoani Dodoma ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Katika ziara yake hiyo aliyoambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ilikuwa ya mafanikio makubwa, kwani msafara wake...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7DfOVTsk4Nw/VMpyytJz0fI/AAAAAAACy_Y/O5aCpmTlJaQ/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KOMREDI KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU 15 KISIWANI UNGUJA NA PEMBA LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7DfOVTsk4Nw/VMpyytJz0fI/AAAAAAACy_Y/O5aCpmTlJaQ/s1600/7.jpg)
Kinana amemaliza ziara ya siku 15 katika visiwa vya Unguja na Pemba Zanzibar ambapo amekagua na kushiriki ujenzi katika miradi 40 mikoa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zZeCMCs4z_A/VQH-kCOOJDI/AAAAAAAC1go/mEbVextPi3Y/s72-c/22.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU 9 MKOANI DODOMA,KESHO KUUNGURUMA JIJINI ARUSHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zZeCMCs4z_A/VQH-kCOOJDI/AAAAAAAC1go/mEbVextPi3Y/s1600/22.jpg)
Katika ziara yake hiyo aliyoambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ilikuwa ya mafanikio makubwa, kwani msafara wake...
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Komredi Kinana ahitimisha ziara mkoani Geita, asafiri kwa gari Km 1680, ahutubia mikutano 78 na kukomba wanachama 6816
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Nyamkumbu, Kata ya Katangalala, wakati wa ziara yake mkoani Geita ya Kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye leo wamehitimisha ziara ya siku sita mkoani Geita, ambapo wamesafiri kwa umbali wa km...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-G_-nARJxg1U/VQHZSsmLQ3I/AAAAAAAAX8s/nKy2s0tsCtg/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOA WA DODOMA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo amemaliza ziara yake ya siku 9 katika mkoa wa Dodoma ambapo amesafiri wastani wa kilometa 2289, ametembelea wilaya 7 na majimbo 9 ya uchaguzi.Amehutubia jumla ya mikutano 90 ikiwa pamoja na mikutano ya hadhara 81 na mikutano ya ndani 9.Ameshiriki ,Amekagua,amezindua na kuweka mawe ya msingi katika jumla ya miradi 73 ikiwemo miradi ya Chama 11 na miradi ya maendeleo ya wananchi 62.Amepokea wanachama wapya wa CCM 8245 wakiwemo 44 kutoka vyama...
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Kinana amaliza ziara ya siku 10 mkoani Kagera
![](http://2.bp.blogspot.com/-kmNeYoPkVEs/VX3hu3gX51I/AAAAAAAAePU/3hWn4LbHioA/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Buharamulo mara baada ya kuwasili kwenye kata ya Nyabugombe ,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://2.bp.blogspot.com/-6pXFq1zf63s/VX3jhy1Hx0I/AAAAAAAAeT0/W7XWb3R1O9Q/s1600/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya wilaya ya Biharamulo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OMlP6UbiQ84/VX3hunnZWII/AAAAAAAAePQ/C5kmH_GPcu0/s1600/10.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Wazee wa kata ya Nyakahura,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dbspODdP9i8/VX3htMyuRDI/AAAAAAAAePI/KhUlKyrH9gw/s640/11.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akielekea...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s72-c/1.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YA SIKU MBILI WILAYA YA NGORONGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBNlfotA4wM/VQXVwDTtJXI/AAAAAAAAYI4/ux7gh9EkHBc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n12nfQKTJUM/VQXV4DpErOI/AAAAAAAAYJ0/HJoIeh5GoGs/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j4lx9VBlsh4/VQXV42Ce1zI/AAAAAAAAYKA/V0z62w0pgxs/s1600/3.jpg)
9 years ago
Michuzi28 Aug
MAKALLA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI JIJINI DAR
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC_0070.jpg)
![IMG_2809](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_2809.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KcJp3rygzb8/U0mNIuVkoYI/AAAAAAAANGk/KD_xdJ0QzJ0/s72-c/6.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TANO MKOANI KIGOMA,AHUTUBIA HUKU MVUA KUBWA IKINYESHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-KcJp3rygzb8/U0mNIuVkoYI/AAAAAAAANGk/KD_xdJ0QzJ0/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5lm0e7G8cyE/U0mNL91CfBI/AAAAAAAANGs/7WejgmBuue8/s1600/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xhfp2y3CsKY/U0mNO4DcMPI/AAAAAAAANG0/HRszJIwBgWE/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cc-LgYdC4Yc/U0mNT9y3wBI/AAAAAAAANG8/ptvYEajnnDY/s1600/10.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU NANE MKOANI SINGIDA,KESHO KUELEKEA MKOANI MANYARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xCESIMNAwus/U4N_SHXg3UI/AAAAAAACiMU/_GoFKQHPCmY/s1600/15.jpg)