kinana amawaga data za matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-HFbEUgU4G1I/VKq9HwwlIbI/AAAAAAAAVQ4/IB7uWGc__oA/s72-c/1.jpg)
KINANA AWASHUKURU WAPIGA KURA WALIOICHAGUA CCM KWENYE UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-HFbEUgU4G1I/VKq9HwwlIbI/AAAAAAAAVQ4/IB7uWGc__oA/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HI3jUAEC9Js/VKq9k6Yq8uI/AAAAAAAAVS4/kQRVzMLxkKs/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kACAq4_o9tc/VKq9jegC9-I/AAAAAAAAVSo/NYpz3w1-qaw/s72-c/26.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASHUKURU WAKAZI WA TANGA KWA KUFANYA VYEMA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kACAq4_o9tc/VKq9jegC9-I/AAAAAAAAVSo/NYpz3w1-qaw/s1600/26.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wq6Ei-z0cnI/VKrBrRJu6ZI/AAAAAAAG7iQ/S4CNOzGyaL8/s1600/10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0FdqA3e87og/VKrByYEUoeI/AAAAAAAG7is/ZKg312JSdis/s1600/14.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Kinana ahutubia mkutano mkubwa Tanga, awashukuru watanzania kuipatia CCM ushindi mkubwa uchaguzi serikali za mitaa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kuwapongeza wananchi kuwachagua viongozi wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyka nchini kote Desemba 14 mwaka jana. CCM imepata ushindi wa asilimia 81 nchi nzima.
Kinana amesema maeneo yote ambayo upinzania wameshinda na ushindi uliosababishwa na baadhi ya wana CCM NA ENDAPO WATAGUNDULIKA WAMEFANYA KUSUDI KUKIKOSESHA USHINDI CHAMA WATAWAJIBISHWA.
Katibu Mkuu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s72-c/MMGM8382.jpg)
TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s1600/MMGM8382.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nhubQhZpWwc/U8kYyb0ubPI/AAAAAAAF3Yc/vWolIRDUZ5Q/s1600/MMGM8396.jpg)
10 years ago
Habarileo25 Dec
Upinzani wapiga hatua matokeo serikali za mitaa
SERIKALI imetangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vijiji na vitongoji, uliofanyika hivi karibuni, ikiwa pamoja na ule wa viporo, ambapo yanaonesha kuwa vyama vya upinzani vimefanya vizuri.
10 years ago
StarTV16 Dec
Uchaguzi serikali za mitaa, Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Na, Winifrida Ndunguru
Dar Es Salaam.
15 December 2014
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Serikali imekiri kuwepo kwa kasoro luluki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini kote Jumapili wiki hii likiwemo suala zima la mkanganyiko wa jina la mgombea kuonekana katika chama kingine.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia, amesema kutokana na kasoro hizo ameitaka mikoa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tCT1FfmYvoo/VJF-a6yN8qI/AAAAAAACwkc/OBcRjuUWt3c/s72-c/HAWA%2BGHASIA.jpg)
SERIKALI YAWASIMAMISHA WAKURUGENZI WALIOSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAO KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tCT1FfmYvoo/VJF-a6yN8qI/AAAAAAACwkc/OBcRjuUWt3c/s1600/HAWA%2BGHASIA.jpg)
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI leo imetangaza kuwasimamisha kazi Wakurugenzi watano (5) huku wengine wakipewa onyo kali katika utekelezaji wa majukumu yao.
Akithibitisha kusimamishwa kazi kwa Wakurugenzi hao,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh. Hawa Ghasia amesema kwamba Wakurugenzi hao wametenda makosa yanayowaondolea sifa za kuwa Wakurugenzi.
“Makosa yafuatayo ndio yanayopelekea Wakurugenzi hawa kusimamishwa;Kuchelewa kuandaa vifaa vya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ktsylelmf0n90HYHEBigSXi8oyz9Ljmxt63sVV7AsJupL4vbM7z9TXQkNNpGjOv0lUNClzKoMUKjb8F1PifhDsFiCxICh7eO/kura.jpg)
UPDATES UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa walalamikiwa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10