KINANA ATEMBELEA MAJIMBO MATANO YA WILAYA YA MJINI ZANZIBAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-tw8-x_EbJ2A/VLaqDfikmDI/AAAAAAAAVhw/6gVVKumueNI/s72-c/01.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia vijana wapatao 500 wa Kituo cha Vijana ( Tanzania Youth Icon) cha Kuwaendeleza na Kuwawezesha katika masuala mbali mbali kama Elimu, Kujiajiri na Michezo Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (katikati)akijaribu kutengeneza mapambo yatokanayo na karatasi kwa msaada wa mwalimu Abdala Suleiman (kushoto) wa Kituo cha Vijana ( Tanzania Youth Icon) cha Kuwaendeleza na Kuwawezesha katika masuala mbali mbali kama Elimu, Kujiajiri na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-78DO0CeqRd4/VLqutCLN3hI/AAAAAAAAAOU/3VRQ1fgHA8M/s1600/3.jpg)
KINANA AUNGURUMA WILAYA YA DIMANI MKOA WA MJINI MAGHARIBI ZANZIBAR
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MWENGE NA MATOPENI KATIKA WILAYA YA LINDI MJINI PIA AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi04 Apr
Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Atembelea Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar Michezani na Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja
![](https://3.bp.blogspot.com/-OL279nW9uvc/Uz1zvwQU1PI/AAAAAAACtyo/acaJtwiGJMU/s1600/IMG_9328.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/--SlP6p7LWRM/Uz1zs2m6WfI/AAAAAAACtyU/9bKJDwWuU4g/s1600/IMG_9309.jpg)
9 years ago
Mwananchi25 Aug
CCM yashinda majimbo matano
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Majimbo matano yavuruga Ukawa
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-T0SKsJRE8wQ/VcnXWm8yT3I/AAAAAAAAj6Y/9Vt0TgXgWTQ/s72-c/Nape-Nnauye.jpg)
MAJIMBO MATANO KURUDIA KURA ZA MAONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-T0SKsJRE8wQ/VcnXWm8yT3I/AAAAAAAAj6Y/9Vt0TgXgWTQ/s640/Nape-Nnauye.jpg)
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CC) imeagiza kurudiwa kwa uchaguzi katika majimbo matano kutokana na dosari mbalimbali zilizojitokeza katika mchakato wa kura ya maoni.Majimbo hayo ni Makete,Busega,Ukonga,Rufiji na Kilolo.Akizungumza na waandishi wa habari leo mjini Dodoma Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye amesema mchakato huo utarudiwa siku ya alhamisi Agosti 13.Amesema baada ya...
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Kivumbi cha CCM Majimbo matano leo
Patricia Kimelemeta na Esther Mnyika
UPIGAJI wa kura za maoni zinazorudiwa katika majimbo matano leo nchini katika Chama Cha Mapinduzi (CCM)unatarajiwa kuwa na mvutano mkubwa.
Majimbo yanayorudia uchaguzi na mikoa yake kwenye mabano ni Busega (Simiyu), Kilolo (Iringa), Rufiji (Pwani), Makete(Njombe)na Ukonga(Dar es Salaam).
Kamati Kuu ya CCM iliamuru uchaguzi huo urudiwe baada ya kubaini rafu na ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi wakati wa kura za maoni ambapo pia matokeo yake yanapaswa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xs_vq68dQOM/U_DJB_XuRLI/AAAAAAAGAR4/eLzh_ggcS3k/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Balozi seif atembelea Kijiji cha Mvuleni Kidoti Wilaya ya Kaskazini “A “ Zanzibar