KINANA AWATAKA WANANCHI KUFANYA KAZI KWA
Sista Maria Mfariji Milanzi wa Msista wa Benedikti wa Bikira Maria Msaada wa Kristo Ndanda Narunyu Novisiati akisoma taarifa ya mradi wa shamaba la mifugo Narunyu kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo alielezwa kuwa shamba hilo lilianza na Ng'ombe 50 na sasa wana Ng'ombe 450,shamba hilo linasaidia kupatikana kwa maziwa ,nyama na umeme unaotokana na kinyesi cha wanyama yaani Biogas.Shamba hilo lililopo katika kijiji cha Kiwalala ,kata ya Kiwalala ,wilaya ya Lindi Vijijini
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMISHINA KOVA AWATAKA MAAFISA NA ASKARI KUFANYA KAZI KWA WELEDI KWA KUFUATA MAADILI
Kamishna Kova ameyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na Maafisa na Wakaguzi wa Polisi katika kikao cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni, jijini Dar es Salaam na kusisitiza...
10 years ago
GPLMKAPA AWATAKA WAKANDARASI NCHINI KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI
10 years ago
VijimamboKINANA AWATAKA VIONGOZI WA SERIKALI KUJIBU MASUALA YA WANANCHI KWA WAKATI
5 years ago
MichuziJAFO AWATAKA UONGOZI MPYA WA SHIRIKA LA ELIMU KUFANYA KAZI KWA SPIDI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo (kushoto) akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mpya wa Shirika la Elimu Kibaha, Prof Rafael Chibunda (kulia) leo jijini Dodoma. Katikati ni Mkurugenzi wa Bodi hiyo, Robert Shillingi. Waziri wa Nchi Ofis ya Rais-Tamisemi, Selemani Jafo akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara yake, pamoja na Viongozi wapya wa Shirika la Elimu Kibaha baada ya leo kuwakabidhi vitendea kazi. Mwenyekiti wa Shirika la Elimu Kibaha Mkoani Pwani,...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AJITAMBULISHA KWA WATUMISHI – AWATAKA KUFANYA KAZI KWA BIDII
9 years ago
Dewji Blog07 Jan
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ajitambulisha kwa watumishi, awataka kufanya kazi kwa bidii
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, akiwaaga watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi (hawapo pichani) katika mkutano uliofanyika katika Makao Makuu ya Wizara hiyo. Katikati ni Katibu Mkuu mpya wa Wzara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Hassan Simba Yahaya.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil ambaye sasa ni...
5 years ago
MichuziRC SINGIDA AWATAKA WAJUMBE WA JUKWAA LA HAKI JINAI KUFANYA KAZI KWA UMOJA NA UZALENDO
Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Bw. Biswalo Mganga (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Mahakama na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi (kushoto kwake) baada ya kuzindua Jukwaa la Haki Jinai hivi karibuni.
Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Bw. Biswalo Mganga (kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi, baada ya kuzindua Jukwaa la Haki Jinai hivi karibuni.
Na Ismail Luhamba, Singida
AKIWA kwenye ziara ya kikazi mkoani Singida...
10 years ago
VijimamboZIARA YA MKUU WA MKOA GEITA WILAYANI MBOGWE AWATAKA WACHE KUFANYA KAZI KWA MAZOEA
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Mwanahabari Frank kibiki awataka vijana kufanya kazi kwa bidii na kutumia fursa zinazotolewa na serikali
Mwanahabari Frank Kibiki akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
Na Mwandishi wetu, Iringa
MWANAHABARI Frank Kibiki, aliyewahi kuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) ngazi ya wilaya kwa zaidi ya miaka 10.
Akizungumza na mtandao huu mwanahabari Frank Kibiki, alisema kuwa vijana wengi wamekuwa wakibweteka kwa kutojituma kufanya kazi na kuendelea kuilaumu serikali.
“Eti asubuhi unawakuta vijana wamekaa kwenye vijiwe wakizungumza siasa na kucheza mabao wakati...