Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinondoni sets aside 810m/


IPPmedia
Kinondoni sets aside 810m/- for girls' hostel
IPPmedia
Kinondoni Municipal Council in Dar es Salaam has set aside 810m/- for the construction of hostels for secondary school girls studying on the outskirt of the municipal. The Kinondoni municipal Mayor Yusufu Mwenda told The Guardian in an exclusive ...

for girls' hostel

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, wakati akizindua mpango wa kuwainua vijana wenye vipaji vya sanaa mbalimbali ujulikanao kama Kinondoni Talent Search. Kulia ni Mwanamuziki, Peter Msechu na Emanuel Mathias ambaye ni mchekeshaji maarufu 'MC Pilipili ambao watasaidia kuratibu jinsi ya kuwatambua vijana hao katika wilaya hiyo.DC Makonda akiwa amekaa na wanakamati watakaoshughulikia  mpango huo....

 

11 years ago

Michuzi

Kinondoni kutoa Redd’s Miss Kinondoni

KUMEKUCHA! Miss Kinondoni anayemaliza muda wake, Lucy Tomeka, ametamba ni lazima mrembo wa Redd’s Miss Tanzania mwaka huu atoke Kinondoni.
Lucy alisema ana uhakika huo mkubwa kutokana na kuwaona washiriki wa Redd’s Miss Kinondoni na kuona wana vigezo vyote vya kulitwaa taji hilo. Mrembo huyo ambaye atakabidhi taji la Redd’s Miss Kinondoni mwishoni mwa wiki alisema, ana uhakika huo kutokana na uzoefu alioupata wakati akishiriki Redd’s Miss Kinondoni.
“Taji lazima lirudi nyumbani, warembo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wadau wa michezo, wakati wa uzinduzi wa Kinondoni CUP uliofanyika Viwanja vya Leaders Dar es Salaam jana ambapo pia aligawa vifaa vya michezo kwa timu  138 vikiwa ni seti mbili za jezi na mipira miwili kwa kila timu. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wadau wa michezo katika uzinduzi huo.
 DC Makonda akisisitiza jambo katika uzinduzi huo. Kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Dk.Aziz Msuya, Diwani...

 

11 years ago

Michuzi

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana azindua rasmi utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi Wilaya ya Kinondoni

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Jordan Rugimbana leo amezindua rasmi utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi Wilaya ya Kinondoni, na kuwa mtu wa kwanza kupokea kitambulisho chake mbali na kuwakabidhi wananchi 22 Vitambulisho vyao kutoka Kata ya Saranga mtaa wa Matangini. Mkuu wa Wilala ya Kinondoni akiwasili leo katika Kata ya Saranga Mbezi tayari kuzindua zoezi la utoaji Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi wa Kata ya Saranga, Mbezi Dar-es-salaam Mkuu wa Wilaya ya...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, wakati akipokea msaada wa vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh. milioni 50 kutoka Kampuni ya Tanzania Sisi Nyumbani (TSN) wa ajili ya mashindano ya Kinondoni Cup yatakayoanza Juni 2015 katika wilaya hiyo. Meneja wa Kinywaji cha Chilly Willy  Kinachosambazwa na Kampuni ya TSN, Khamis Tembo (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukabidhi...

 

11 years ago

TheCitizen

Their ‘racial’ complexion sets them apart

A colleague likes to tease Wabongo English users (himself included) that since their first languages don’t have articles -- be they definite or indefinite -- as grammatical components, they’ll normally apply “a/the” and “the” correctly by sheer accident!

 

11 years ago

Poaching Points

Tanzania sets four anti


Tanzania sets four anti-poaching points
East African Business Week
MENACE: The government has set up the Wildlife Crime Unit as a focus of attack to limit more elephant poaching. DAR ES SALAAM, Tanzania - The government has outlined four priority areas to combat wildlife poaching and illegal trafficking. Recently the ...
Poaching: Holders of hunting permits on the spotlightIPPmedia

all 3

 

11 years ago

To Revive Community Development Colleges

Govt sets aside 1.8bn/


IPPmedia
Govt sets aside 1.8bn/- to revive community development colleges
IPPmedia
The government has allocated a total of 1.8bn/- to rehabilitate Community Development Colleges across the country in the 2014/15 financial year. Dr Pindi Chana, Deputy Minister for Community Development Gender and Children told Parliamentarians that ...

 

11 years ago

Leicester Mercury

Charlotte sets sights on summit


Charlotte sets sights on summit
Leicester Mercury
A teenager who has already raised more than £3,000 for a trip to Tanzania to climb Kilimanjaro is trying to raise the £800 she still needs. Charlotte Sparling, 16, is making the trip with her school, Melton's Long Field Academy, and adventure expeditions ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani