Kinondoni kutoa Redd’s Miss Kinondoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-VDBe59uSkWw/U-i5YYIv_PI/AAAAAAACnOI/uR0MjtEkwIo/s72-c/3.jpg)
KUMEKUCHA! Miss Kinondoni anayemaliza muda wake, Lucy Tomeka, ametamba ni lazima mrembo wa Redd’s Miss Tanzania mwaka huu atoke Kinondoni.
Lucy alisema ana uhakika huo mkubwa kutokana na kuwaona washiriki wa Redd’s Miss Kinondoni na kuona wana vigezo vyote vya kulitwaa taji hilo. Mrembo huyo ambaye atakabidhi taji la Redd’s Miss Kinondoni mwishoni mwa wiki alisema, ana uhakika huo kutokana na uzoefu alioupata wakati akishiriki Redd’s Miss Kinondoni.
“Taji lazima lirudi nyumbani, warembo wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziRedd's miss Kinondoni 2014 waanza kujifua
Washiriki wa shindano la Redd’s miss Kinondoni 2014 wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mazoezi yanayofanyika kwenye Hotel ya Picolo jijini Dar es Salaam, Jumla ya warembo 20 wapo mazoezini kujiandaa na shindano litakalofanyika ijumaa 15/08/2014 katika Fukwe za Escape One kwa kiingilio cha 10,000 na 30,000 kwa VIP.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kABfhm1K8AI/U-8f89AEhQI/AAAAAAAAV7o/7wAo4WY1d1E/s72-c/1.jpg)
MARIA SHILA NDIYE REDD'S MISS KINONDONI 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-kABfhm1K8AI/U-8f89AEhQI/AAAAAAAAV7o/7wAo4WY1d1E/s1600/1.jpg)
Shila ameungana na warembo wengine Camila Cindy John aliyeshika nafasi ya pili na Queenlatifa Hashim aliyeshika nafasi ya tatu ambao kwa pamoja wamepata tiketi ya kuiwakilisha Kanda ya Kinondoni katika...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-kABfhm1K8AI/U-8f89AEhQI/AAAAAAAAV7o/7wAo4WY1d1E/s1600/1.jpg?width=640)
MARIA SHILA NDIYE REDD'S MISS KINONDONI 2014
10 years ago
MichuziRedd's miss Kinondoni 2014 kujulikana kesho ndani ya Escape One mikocheni jijini Dar
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI AZINDUA MPANGO WA KUWAINUA VIJANA WENYE VIPAJI VYA SANAA UJULIKANAO KINONDONI TALENT SEARCH
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Wakazi Kinondoni watakiwa kutoa maoni
MWANASHERIA wa Manispaa ya Kinondoni, Burton Mahenge. amewataka wakazi wa manispaa hiyo kuhakikisha wanatoa maoni juu ya sheria ndogo nne zilizotungwa na manispaa hiyo kwa ajili ya kuwa sheria kamili....
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s72-c/unnamed.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana azindua rasmi utoaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi Wilaya ya Kinondoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-bcDBzAwLtz4/U8fodb2IkvI/AAAAAAAF3Fg/dGKIFifaX5A/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XBuQl9DVg6E/U8foeFB_gCI/AAAAAAAF3Fk/Js-pE7P8knQ/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
MichuziPPF KANDA YA KINONDONI YAENDELEA KUTOA ELIMU KATIKA MAONESHO YA 2 YA KIBIASHARA YA TANGA