Kiongozi wa waasi atishia kufufua vita Sudan Kusini
Kiongozi mmoja wa waasi nchini Sudan Kusini ametishia kuanza tena mapigano, akisema serikali inahujumu mkataba wa amani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini
Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Waasi wa Sudan Kusini wakana mauaji
Waasi nchini Sudan Kusini wamekanusha madai yaliyotolewa na Umoja wa Mataifa kuwa waliwaua raia mjini Bentiu kwa misingi ya ukabila.
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Pigo kwa waasi Sudan Kusini
Serikali ya Sudan Kusini inasema kuwa jeshi lake limekomboa mji wa Bor kutoka kwa waasi wa Riek Machar.
11 years ago
BBCSwahili21 Jan
Sudan Kusini yakataa matakwa ya waasi
Rais wa Sudan Kusini asema wafungwa wa kisiasa wanaozuliwa hawataachiliwa huru na kuwa yuko tayari kumsamehe Riek Machar
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Sudan Kusini:Waasi wauteka mji wa Nasir
Waasi nchini Sudan Kusini wanasema kuwa wameuteka mji muhimu wa Nasir katika jimbo la upper Nile.
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Waasi Sudan Kusini wawaachia huru watoto
Waasi nchini Sudani kusini wamewaachia huru kundi la kwanza la watoto waliokuwa wamechukuliwa kuwa wanajeshi.
11 years ago
BBCSwahili19 Dec
Waasi Sudan Kusini washikilia mji wa Bor
Waasi Sudan Kusini wametwaa mji wa Bor uliopo kilimita 200 kaskazini mwa mji mkuu Juba
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
UN: Vita visitishwe Sudan Kusini
Mkuu wa vikosi vya kulinda amani vya UN, Sudan Kusini, ametoa wito wa kusitishwa kwa mapigano nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Maelfu wakimbia vita Sudan Kusini
Takriban Watu 1,000 wameuawa katika mapigano nchini humo na takriban wengine 200,000 wakikimbia mapigano kati ya Jamii ya Dinka na Nuer.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania