Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIPANDE CHA HOTUBA YA UFUNGUZI WA MKUTANO WA C2C 2015


Mkutano wa C2C ulio kusanya wataalam na watoa maamuzi kutoka maeneo mengi duniani umeanza jijini DAR na kipande kidogo cha ufunguzi wa hituba hiyo kilicho jadili swala la usalama mitandao kinaweza sikika kupitia video hii.

Hakika Ni hatua muhimu sana kwa taifa letu la Tanzania kua na utambuzi mzuri katika swala la usalama mitandao.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Dr Asha - Rose Migiro Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba ya Mhe Dk. Asha-Rose Migiro akikubali matokeo ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ambao ulikuwa ukimchagua mgombea wa nafasi ya urais.
Dr Migiro alishika nafasi ya tatu katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na Balozi Amina Salum Ali

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Balozi Amina Salum Ali Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015

Hotuba ya Mhe Balozi Amina Salum Ali akikubali matokeo ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ambao ulikuwa ukimchagua mgombea wa nafasi ya urais.
Balozi Amina alishika nafasi ya pili katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na mbele ya Dr Asha-Rose Migiro

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba Ya Mwenyekiti Wa CCM Taifa Mhe. Jakaya Kikwete kufunga Mkutano Mkuu wa chama 2015

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete. Mwenyekiti wa CCM Taifa akifunga mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika Dodoma.
Ni katika mkutano huu ambapo chama hicho kilimchagua Dr John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM
Hii inakuwa mara ya mwisho kwa Mhe Kikwete kuwahutubia wajumbe wa mkutano huo akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

Michuzi

HOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MATHIAS CHIKAWE (Mb) ALIYOTOA KATIKA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 21 OKTOBA, 2015 KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA WIZARA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa mkutano uliofanyika leo katika ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Ndugu Waandishi wa Habari, Mabibi na Mabwana,Kama mnavyojua tarehe 25 ya mwezi huu wa Oktoba mwaka 2015 siku ya Jumapili katika nchi yetu kutafanyika Uchaguzi Mkuu kwa ajili ya kuchagua rais, wabunge na madiwani zoezi ambalo litawashirikisha watanzania wote...

 

11 years ago

Michuzi

UFUNGUZI MKUTANO WA TATU WA WANASAYANSI VIJANA DUNIANI

 Makam wa Rais Makam wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal akiangalia zawadi ya kinyago aliyopewa na vijana wanasayansi duniani. Zawadi hiyo imetolewa Rais wa vijana wanasayansi duniani, Meng Wang. (kulia), kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo.

 Baadhi ya wanafunzi kutoka katika sekondari mbalimbali jijini Dar es Salaam katika picha ya pamoja na Makam wa Rais Makam wa Rais Makam wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, pamoja na viongozi wengine, akiwemo Rais Mstaafu wa Awamu...

 

9 years ago

Vijimambo

ANGALIA LIVE MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI UKAWA

Watch live streaming video from chademamedia at livestream.com

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani