KIPANDE CHA HOTUBA YA UFUNGUZI WA MKUTANO WA C2C 2015
![](http://img.youtube.com/vi/NFJVrCrhuYA/default.jpg)
Mkutano wa C2C ulio kusanya wataalam na watoa maamuzi kutoka maeneo mengi duniani umeanza jijini DAR na kipande kidogo cha ufunguzi wa hituba hiyo kilicho jadili swala la usalama mitandao kinaweza sikika kupitia video hii.
Hakika Ni hatua muhimu sana kwa taifa letu la Tanzania kua na utambuzi mzuri katika swala la usalama mitandao.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-etrM97_pZhs/VaKBmms-CmI/AAAAAAAAI5k/aNAL0lQYCVQ/s72-c/Migiro.jpg)
Hotuba Ya Dr Asha - Rose Migiro Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-etrM97_pZhs/VaKBmms-CmI/AAAAAAAAI5k/aNAL0lQYCVQ/s640/Migiro.jpg)
Dr Migiro alishika nafasi ya tatu katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na Balozi Amina Salum Ali
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jS1MAW06Oco/VaKFHi8hg7I/AAAAAAAAI54/PymvAqkgdsM/s72-c/Untitled.jpg)
Hotuba Ya Balozi Amina Salum Ali Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-jS1MAW06Oco/VaKFHi8hg7I/AAAAAAAAI54/PymvAqkgdsM/s640/Untitled.jpg)
Balozi Amina alishika nafasi ya pili katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na mbele ya Dr Asha-Rose Migiro
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-p98nduvtg48/VaKKad5l2RI/AAAAAAAAI6I/xnPLhZEb_y4/s72-c/Kikwete.jpg)
Hotuba Ya Mwenyekiti Wa CCM Taifa Mhe. Jakaya Kikwete kufunga Mkutano Mkuu wa chama 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-p98nduvtg48/VaKKad5l2RI/AAAAAAAAI6I/xnPLhZEb_y4/s640/Kikwete.jpg)
Ni katika mkutano huu ambapo chama hicho kilimchagua Dr John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM
Hii inakuwa mara ya mwisho kwa Mhe Kikwete kuwahutubia wajumbe wa mkutano huo akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5w1-REdHCYw/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3iqeIM8sugw/default.jpg)
9 years ago
MichuziHOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MATHIAS CHIKAWE (Mb) ALIYOTOA KATIKA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI TAREHE 21 OKTOBA, 2015 KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA WIZARA
Ndugu Waandishi wa Habari, Mabibi na Mabwana,Kama mnavyojua tarehe 25 ya mwezi huu wa Oktoba mwaka 2015 siku ya Jumapili katika nchi yetu kutafanyika Uchaguzi Mkuu kwa ajili ya kuchagua rais, wabunge na madiwani zoezi ambalo litawashirikisha watanzania wote...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z9CkHPbYg5E/U-kJBB8Ec2I/AAAAAAAF-nU/91gA8HsTTjk/s72-c/unnamed+(18).jpg)
UFUNGUZI MKUTANO WA TATU WA WANASAYANSI VIJANA DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-z9CkHPbYg5E/U-kJBB8Ec2I/AAAAAAAF-nU/91gA8HsTTjk/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JL93zLelp9U/U-kJAPhjX3I/AAAAAAAF-nM/smkPOVyNp8I/s1600/unnamed+(19).jpg)
9 years ago
Vijimambo29 Aug
ANGALIA LIVE MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI UKAWA
Watch live streaming video from chademamedia at livestream.com
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania