Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kisaki kupata maji salama

E83A4779

Mhandishi wa maji manispaa ya Singida, Max Kaaya akitoa maelezo juu ya miradi ya maji kwa Naibu Waziri wa Maji Eng. Benelith Mahenge aliyekuwa ziarani mkoani Singida.(Picha na Nathaniel Limu Maktaba). 

Na Mwandishi wetu

WANANCHI wa Kijiji cha Kisaki, katika Manispaa ya Singida wanatarajia kuanza kunufaika na huduma za maji safi na salama ifikapo mwishoni mwa mwezi ujao, baada ya mradi wa maji unaotarajiwa kutumia zaidi ya shilingi milioni 55.1 utakapokamilika.

Mhandisi wa maji wa Manispaa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ya Kijiji cha Kisaki Singida yakataa mradi wa Maji uliokuwa chini ya kiwango

SAM_1970

Pichani ni tanki la maji lilijengwa kwa ajili ya kuhifadhia maji yatakayosambazwa katika Kijiji cha Kisaki.

Na Jumbe Ismailly, Singida      

SERIKALI ya Kijiji cha Kisaki,katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida imekataa kupokea mradi wa maji wa Kijiji hicho kwa madai kuwa mradi huo haujakidhi viwango vya ubora.

Maamuzi ya kuukataa mradi huo yalifikiwa kwenye kikao cha pamoja kati ya wajumbe wa serikali ya Kijiji,kamati ya mradi wa maji ya Kijiji hicho na wataalamu wa maji kutoka Manispaa...

 

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO WIKI YA MAJI , MPIJI MAGOHE WATOA ARDHI BILA FIDIA KUPATA UMEME WA UHAKIKIA KWENYE CHANZO CHA MAJI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika wakifungua maji ya bomba kwenye Zahanati ya Kijiji cha Mpiji Magohe mara baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji hicho manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam.Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akizindua Tenki la kuhifadhia maji katika kijiji cha Mpiji Magohe, manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam leo wakati wa mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea mkoani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maadhimisho wiki ya maji, Mpiji Magohe watoa ardhi bila fidia kupata umeme wa uhakikia kwenye chanzo cha maji

Picha na 4

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki  na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika wakifungua maji ya bomba kwenye Zahanati ya Kijiji cha Mpiji Magohe mara baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji hicho manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam.

Picha na 5

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akizindua Tenki la kuhifadhia maji katika kijiji cha Mpiji Magohe, manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo wakati wa mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea...

 

10 years ago

Habarileo

8,000 wafaidika na maji safi na salama

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe.WANANCHI zaidi ya 8,000 wanaoishi katika vijiji vya Dala na Mvuha kata ya Mvuha, wilayani Morogoro, wameanza kunufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kukamilishwa kwa upanuzi wa mradi wa kisima cha maji kilichopo katika kata hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

NEMC yasema maji ya Mto Ngerengere si salama

BARAZA la Taifa la Usimamizi na Hifadhi ya Mazingira (NEMC) limesema vipimo vya maji machafu yanayotoka katika viwanda vilivyopo eneo la Kihonda Manispaa ya Morogoro na kuelekezwa Mto Ngerengere, yamekuwa na kemikali zenye sumu ambayo ni hatari kwa maisha ya viumbe hai wanaotumia maji hayo.

 

11 years ago

Michuzi

MAJI HAYA SI SALAMA KWA MATUMIZI YA KIBINADANU


Wakazi wa eneo la Isanga jijini Mbeya wakichota maji yaliyotuama katika barabara ya eneo hilo kwa wakati tofauti kwa ajili ya matumizi mbali mbali nyumbani kwake kama alivyonaswa na Kameta yetu,hii ni hali ya hatari sana kwa maisha ya binadamu hasa kutokana na kuwepo kwa wimbi la magonjwa ya mlipuko.Picha na Fadhil Atick Globu ya Jamii,Mbeya. Baiskeli zinapita hapo hapo. Magari pia yanapita hapo hapo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtwara yapiga hatua upatikanaji wa maji safi na salama

1

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu akiwakaribisha wajumbe wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasili mkoani humo kukagua miradi ya maji.

2

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi akieleza lengo la ziara ya kamati hiyo mkoani Mtwara.

3

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi, akizungumza na wanahabari kuhusu ziara ya kamati hiyo ambayo inahitimishwa leo wilayani Masasi mkoani Mtwara.

4

Mhandisi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi Ngudu na matarajio ya kufaidi maji safi na salama

MAJI ni moja ya huduma za muhimu na za msingi kwa maisha ya binadamu. Mbali ya maji kutumika katika shughuli za kila siku za mwanadamu, mifugo na wanyamapori, pia ni...

 

10 years ago

Vijimambo

Mradi wa maji safi na salama wazinduliwa Kiwani, Pemba

AFISA Mdhamini Wizara ya Uwezeshaji Ustawi wa Jamii,Vijana Wanawake na watoto Pemba Mhe: Mauwa Makame Rajab, akikunjuwa kitambaa kuashiria ufunguzi wa mradi wa maji safi na salama huko Kiwani, ulijengwa kwa nguvu za Serikali na kugharimu zaidi ya Milioni 82.AFISA mdhamini Wizara ya Uwezeshaji Ustawi wa Jamii, Vijana Wanawake na Watoto Pemba Mhe:Mauwa Makame Rajab, akizungusha koki ya maji kuashiria uzinguzi wa mradi wa maji katika shehia ya kiwani, uliojengwa kwa nguvu za Serikali ambapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani