Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJI HAYA SI SALAMA KWA MATUMIZI YA KIBINADANU


Wakazi wa eneo la Isanga jijini Mbeya wakichota maji yaliyotuama katika barabara ya eneo hilo kwa wakati tofauti kwa ajili ya matumizi mbali mbali nyumbani kwake kama alivyonaswa na Kameta yetu,hii ni hali ya hatari sana kwa maisha ya binadamu hasa kutokana na kuwepo kwa wimbi la magonjwa ya mlipuko.Picha na Fadhil Atick Globu ya Jamii,Mbeya. Baiskeli zinapita hapo hapo. Magari pia yanapita hapo hapo.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WACHOTA MAJI "TAKA" KWA MATUMIZI YA NYUMBANI

Mama huyu mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam, akichota maji yanayovuja kutoka kwenye bomba la la maji ambayo hata hivyo yamechanganyika na maji taka yanayotiririka kama yanavyoonekana kutoka kupande wa juu kushoto wa picha hii iliyopigwa Jumanne Aprili 15, 2015. Uchunguzi wa K-VIS blog umebaini kuwa maeneo ya Mabibo na Kigogo, yanakabiliwa na uhaba mkubwa wa maji ambapo sasa wakazi wake hususan akina mama na watoto wamekuwa wakiyatafuta hata yanapoonekana yakiwa kwenye mazingira ya...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AZINDUA MRADI WA MAJI SAFI NA SALAMA KWA WANANCHI WA SHEHIA YA JONGWE, JIMBO LA KIWANI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi mradi wa Maji safi na salama wa Wananchi wa Shehia ya Jongwe iliyomo ndani ya Jimbo la Kiwani, Wilaya ya Mkoni, Mkoa wa Kusini Pemba. Balozi Seif Ali Iddi akiutembelea mradi wa ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Wkilaya ya Mkoani Mkoa wa Kusini Pemba iliyopo katika Kijiji cha Mkanyageni kuona harakati za maendeleo ya ujenzi wake unaofanywa na Kampuni ya Ruuns. Mhandisi wa Ujenzi wa Kampuni ya Runs Bwana Mohammed Hamad...

 

11 years ago

Michuzi

MATUMIZI SALAMA YA NYUKILIA YASIZUIWE- TANZANIA

Na Mwandishi Maalum  Tanzania imeendelea kusisitiza kwamba, nchi ambazo hazina mpango wa kuwa na silaha za nyukilia basi ziwe na haki ya kutumia nyukilia kwa matumizi salama, na pia kupewa misaada ya kiufudi na uwezeshwaji katika eneo hilo  Hayo yameelezwa na Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi wakati alipokuwa akitoa maoni ya Tanzania katika mkutano wa Kamati ya Maandalizi kwaajili ya mkutano utakaofanyia tathmini utekelezaji...

 

10 years ago

Mtanzania

Jamii yashauriwa kuzingatia matumizi salama ya mitandao

yusuphNA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

WATAALAMU wa mitandao wametoa wito kwa jamii juu ya matumizi salama ya mitandao ili kupunguza uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.

Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa mawasiliano, mtaalamu wa usalama katika mitandao na uchunguzi wa makosa ya digitali, Yusuph Kileo, alisema matumizi mabaya ya mitandao yasipodhibitiwa yanaweza kuchangia kuyumba kwa...

 

5 years ago

Michuzi

Wajasiriamali waaswa matumizi salama ya Kemikali nchini



Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii

Wajasiriamali wanaozalishaji wa bidhaa mbalimbali zinzotumia kemikali wametakiwa kutumia kemikali hizo kwa usalama ili ziweze kuleta madhara kwa  watumiaji na wakati mwingine madhara hayo yanaweza kutokea hata kwa wazalishaji.

Akizungumza  katika Mafunzo ya wajasiriamali wa Wadogo na Kati wa Kanda ya Mashariki  yaliyofanyika  jijini Dar es Salaam Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko amesema kuwa uchumi wa viwanda nchini pamoja na wazalishaji  wa...

 

10 years ago

Ykileo

OKTOBA NI MWEZI WA KUKUZA UELEWA WA MATUMIZI SALAMA YA MITANDAO


Miaka 11 iliyopita Marekani ikitambua ukuaji wa matumizi mabaya ya mitandao walianzisha kampeni maalum iliyoamuliwa kufanyika kila mwezi oktoba. Kampeni hiyo maalum ilihamasisha mashule , kampuni binafsi na  serikali kutumia mwezi oktoba kuhamashisha uelewa wa matumizi salama ya mitandao.


Kadri muda ulivyojongea Mataifa mengine yaliamua kutumia mwezi huo kuwa mwezi wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao ambapo sasa mataifa mengi tayari yamesha kua yakiazimisha kampeni hizi. Mwaka huu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kisaki kupata maji salama

E83A4779

Mhandishi wa maji manispaa ya Singida, Max Kaaya akitoa maelezo juu ya miradi ya maji kwa Naibu Waziri wa Maji Eng. Benelith Mahenge aliyekuwa ziarani mkoani Singida.(Picha na Nathaniel Limu Maktaba). 

Na Mwandishi wetu

WANANCHI wa Kijiji cha Kisaki, katika Manispaa ya Singida wanatarajia kuanza kunufaika na huduma za maji safi na salama ifikapo mwishoni mwa mwezi ujao, baada ya mradi wa maji unaotarajiwa kutumia zaidi ya shilingi milioni 55.1 utakapokamilika.

Mhandisi wa maji wa Manispaa...

 

10 years ago

Habarileo

8,000 wafaidika na maji safi na salama

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe.WANANCHI zaidi ya 8,000 wanaoishi katika vijiji vya Dala na Mvuha kata ya Mvuha, wilayani Morogoro, wameanza kunufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kukamilishwa kwa upanuzi wa mradi wa kisima cha maji kilichopo katika kata hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani