MATUMIZI SALAMA YA NYUKILIA YASIZUIWE- TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-T8NEyQc3dzQ/U2Mstq-SARI/AAAAAAAFewU/WMn5mobSuzI/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Na Mwandishi Maalum Tanzania imeendelea kusisitiza kwamba, nchi ambazo hazina mpango wa kuwa na silaha za nyukilia basi ziwe na haki ya kutumia nyukilia kwa matumizi salama, na pia kupewa misaada ya kiufudi na uwezeshwaji katika eneo hilo Hayo yameelezwa na Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi wakati alipokuwa akitoa maoni ya Tanzania katika mkutano wa Kamati ya Maandalizi kwaajili ya mkutano utakaofanyia tathmini utekelezaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWENYE SILAHA ZA NYUKILIA WATUHAKIKISHIE USALAMA -TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WX1ZxsSJ48M/VSYIwGAuYuI/AAAAAAAHPpk/WWW_VK6xJO8/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
WENYE SILAHA ZA NYUKILIA TUHAKIKISHIENI USALAMA WETU - TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-WX1ZxsSJ48M/VSYIwGAuYuI/AAAAAAAHPpk/WWW_VK6xJO8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2R4_zPL0YjU/VSYIw_mLAiI/AAAAAAAHPps/l4OR2b64LKY/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
10 years ago
VijimamboWENYE SILAHA ZA NYUKILIA TUHAKIKISHIENI USALAMA WETU-TANZANIA
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Jamii yashauriwa kuzingatia matumizi salama ya mitandao
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
WATAALAMU wa mitandao wametoa wito kwa jamii juu ya matumizi salama ya mitandao ili kupunguza uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa mawasiliano, mtaalamu wa usalama katika mitandao na uchunguzi wa makosa ya digitali, Yusuph Kileo, alisema matumizi mabaya ya mitandao yasipodhibitiwa yanaweza kuchangia kuyumba kwa...
11 years ago
MichuziMAJI HAYA SI SALAMA KWA MATUMIZI YA KIBINADANU
Wakazi wa eneo la Isanga jijini Mbeya wakichota maji yaliyotuama katika barabara ya eneo hilo kwa wakati tofauti kwa ajili ya matumizi mbali mbali nyumbani kwake kama alivyonaswa na Kameta yetu,hii ni hali ya hatari sana kwa maisha ya binadamu hasa kutokana na kuwepo kwa wimbi la magonjwa ya mlipuko.Picha na Fadhil Atick Globu ya Jamii,Mbeya.
5 years ago
MichuziWajasiriamali waaswa matumizi salama ya Kemikali nchini
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Wajasiriamali wanaozalishaji wa bidhaa mbalimbali zinzotumia kemikali wametakiwa kutumia kemikali hizo kwa usalama ili ziweze kuleta madhara kwa watumiaji na wakati mwingine madhara hayo yanaweza kutokea hata kwa wazalishaji.
Akizungumza katika Mafunzo ya wajasiriamali wa Wadogo na Kati wa Kanda ya Mashariki yaliyofanyika jijini Dar es Salaam Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko amesema kuwa uchumi wa viwanda nchini pamoja na wazalishaji wa...
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-Y9VcYarR-2o/VBqqsPdxqFI/AAAAAAAAA5w/W-3G9ex5TTk/s72-c/abc.jpg)
OKTOBA NI MWEZI WA KUKUZA UELEWA WA MATUMIZI SALAMA YA MITANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y9VcYarR-2o/VBqqsPdxqFI/AAAAAAAAA5w/W-3G9ex5TTk/s1600/abc.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_9krU4fNHZQ/VBqrZHufn_I/AAAAAAAAA54/fBvgsI1NwPE/s1600/ncsam_googleplus_cover_photo_2014.jpg)
Kadri muda ulivyojongea Mataifa mengine yaliamua kutumia mwezi huo kuwa mwezi wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao ambapo sasa mataifa mengi tayari yamesha kua yakiazimisha kampeni hizi. Mwaka huu...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/AWFi-iAZInE/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Mazungumzo ya nyukilia kuendelea Vienna