WENYE SILAHA ZA NYUKILIA WATUHAKIKISHIE USALAMA -TANZANIA
.Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Balozi Ramadhan Mwinyi akichangia majadiliano kuhusu ajenda ya uthibiti wa silaha za nyukilia hapo siku ya jumanne. Akizungumza msimamo wa Tanzania kuhusu silaha hizo, Balozi Mwinyi amezitaka nchi zinazomiliki silaha hizo kuonyesha utashi wa kisiasa wa kuzipunguza na kuzidhibiti ili zisisambae kiholela lakini pia waihakikishie dunia usalama wake.
Sehemu ya wajumbe wa Kamati ya Kwanza ya Baraza Kuu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WX1ZxsSJ48M/VSYIwGAuYuI/AAAAAAAHPpk/WWW_VK6xJO8/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
WENYE SILAHA ZA NYUKILIA TUHAKIKISHIENI USALAMA WETU - TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-WX1ZxsSJ48M/VSYIwGAuYuI/AAAAAAAHPpk/WWW_VK6xJO8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2R4_zPL0YjU/VSYIw_mLAiI/AAAAAAAHPps/l4OR2b64LKY/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
10 years ago
VijimamboWENYE SILAHA ZA NYUKILIA TUHAKIKISHIENI USALAMA WETU-TANZANIA
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T8NEyQc3dzQ/U2Mstq-SARI/AAAAAAAFewU/WMn5mobSuzI/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MATUMIZI SALAMA YA NYUKILIA YASIZUIWE- TANZANIA
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Fichueni wakimbizi wenye silaha- PM
10 years ago
GPLAFISA USALAMA FEKI, SILAHA ZAKAMATWA NA POLISI
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Watu wenye silaha washambulia hoteli Mali
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Watu wenye silaha wajeruhi, wapora malori Masasi
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Watu wenye silaha wavamia kambi ya jeshi India