Fichueni wakimbizi wenye silaha- PM
Wakimbizi wa Burundi na Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) wanaoishi kambi za Nyarugusu na Nduta mkoani hapa, wameagizwa kuwafichua wenzao wanaomiliki silaha ili wakamatwe na kufikishwa mahakamani kwa kukiuka sheria. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
10 years ago
MichuziMkuu wa Wilaya Igunga awaambia wananchi “Chonde chonde fichueni wanaoficha wenye maradhi ya Fistula”
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA IGUNGA AWAAMBIA WANANCHI “CHONDE CHONDE FICHUENI WANAOFICHA WENYE MARADHI YA FISTULA”
9 years ago
Habarileo31 Dec
Wakimbizi waagizwa kusalimisha silaha
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa maagizo kwa wakimbizi kutoka nchi za Maziwa Makuu kusalimisha silaha wanazozimiliki isivyo halali sambamba na kuwafichua wakimbizi wenzao watakaoingia kambini na silaha na kujihusisha na vitendo vya ujambazi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-T1HdUMG-kDw/XldxkQK3rdI/AAAAAAACzkE/TGDg3p_KSX472Y1PT-TKpJTyng7roXLHwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
JWTZ YAKAMATA SILAHA ZA KIVITA MAKAMBI YA WAKIMBIZI KATAVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-T1HdUMG-kDw/XldxkQK3rdI/AAAAAAACzkE/TGDg3p_KSX472Y1PT-TKpJTyng7roXLHwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Operesheni hiyo imefanyika ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli alilolitoa mwezi Oktoba mwaka jana wakati wa ziara yake Mkoani Katavi kwa uongozi wa Serikali ambapo aliwataka ...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Mkuu awataka wakimbizi kutokuja na silaha nchini!!
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, akizungumza na wakimbizi wa Burundi na Congo katika kambi ya Nyarugusu hapo jana. (Picha na Emmanuel Senny).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, amewataka wakimbizi wanaokuja nchini ili kuomba hifadhi kuacha kubeba silaha nakujanazo nchini kwani kwa kufanya hivyo kunachochea vitendo vya kiharifu.
Akizungumza na wakimbizi wa kambi ya Nyarugusu iliyoko wilayani Kasulu...
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Watu wenye silaha washambulia hoteli Mali
10 years ago
VijimamboWENYE SILAHA ZA NYUKILIA WATUHAKIKISHIE USALAMA -TANZANIA
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Watu wenye silaha wavamia kambi ya jeshi India