Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazungumzo ya nyukilia kuendelea Vienna

Mkutano mkuu wa nchi sita zenye nguvu duniani ikiwemo Iran,utaendelea Vienna ,na tarehe ya mazungumzo hayo kutajwa .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya Iran kuendelea Austria

Mawaziri wa mashauri ya nchi za kigeni kwenye mazungumzo ya Iran wanatarajiwa kurudi mjini Vienna kutafuta makubaliano

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo ya amani kuendelea Adis Ababa

Mazungumzo ya amani kati ya Waasi na serikali ya Sudan Kusini yatarejelewa tena leo mjini Adis Ababa Ethiopia

 

11 years ago

Michuzi

MATUMIZI SALAMA YA NYUKILIA YASIZUIWE- TANZANIA

Na Mwandishi Maalum  Tanzania imeendelea kusisitiza kwamba, nchi ambazo hazina mpango wa kuwa na silaha za nyukilia basi ziwe na haki ya kutumia nyukilia kwa matumizi salama, na pia kupewa misaada ya kiufudi na uwezeshwaji katika eneo hilo  Hayo yameelezwa na Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi wakati alipokuwa akitoa maoni ya Tanzania katika mkutano wa Kamati ya Maandalizi kwaajili ya mkutano utakaofanyia tathmini utekelezaji...

 

11 years ago

Michuzi

hakuna nchi itakayoweza kukabiliana na madhara ya Nyukilia

Kanali Dr. Edward Massala kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ) akifuatilia majumuisho ya Mkutano wa Tatu wa Maadalizi ( Prep CoM) ya mapitio ya Mkataba wa Kimataifa wa Uzuiaji wa Usambaaji Holela wa Silaya za Nyukilia ( NPT) Mkutano huo wa maandalizi ulifanyikak wa wiki mbili hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa. Ingawa wajumbe kutoka nchi 149 kati ya 189 ambazo ni wanachama wa NPT hawakutoka na makubaliano ya pamoja kuhusu mapendekezo na mpango wa utekelezaji ...

 

10 years ago

Vijimambo

WENYE SILAHA ZA NYUKILIA WATUHAKIKISHIE USALAMA -TANZANIA

.Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Balozi Ramadhan Mwinyi akichangia majadiliano kuhusu ajenda ya uthibiti wa silaha za nyukilia hapo siku ya jumanne. Akizungumza msimamo wa Tanzania kuhusu silaha hizo, Balozi Mwinyi amezitaka nchi zinazomiliki silaha hizo kuonyesha utashi wa kisiasa wa kuzipunguza na kuzidhibiti ili zisisambae kiholela lakini pia waihakikishie dunia usalama wake.Sehemu ya wajumbe wa Kamati ya Kwanza ya Baraza Kuu...

 

10 years ago

Michuzi

WENYE SILAHA ZA NYUKILIA TUHAKIKISHIENI USALAMA WETU - TANZANIA

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akizungumza wakati wa Mkutano wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu upokonyaji wa silaha. wajumbe wa mkutano huo wamejadiliana pamoja na mambo mengine umuhimu wa kudhibiti matumizi ya silaya za nyukili ikiwa ni pamoja na kusambaa kwake pamoja kuanzishwa kwa Ukanda huru dhidi ya silaha hizo. Sehemu ya wajumbe wa mkutano wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya upokonyaji wa silaha, mkutano huu unafanyika hapa...

 

10 years ago

Vijimambo

WENYE SILAHA ZA NYUKILIA TUHAKIKISHIENI USALAMA WETU-TANZANIA

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi akizungumza wakati wa Mkutano wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu upokonyaji wa silaha. wajumbe wa mkutano huo wamejadiliana pamoja na mambo mengine umuhimu wa kudhibiti matumizi ya silaya za nyukili ikiwa ni pamoja na kusambaa kwake pamoja kuanzishwa kwa Ukanda huru dhidi ya silaha hizoSehemu ya wajumbe wa mkutano wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya upokonyaji wa silaha, mkutano huu unafanyika hapa ...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi marmo akabidhi hati za utambulisho kwa Rais wa austria mjini Vienna

 Balozi wa Tanzania nchini Austria ambaye ana makazi mjini Berlin, Ujerumani Mhe. Philip S. Marmo mapema mwezi huu likabidhi Hati za Utambulisho (Letter of Credence) kwa Mhe. Dkt. Heinz Fischer, Rais wa Austria. Shughuli hizi zilifanyika katika ukumbi maarufu wa Maria Teresa uliopo katika kasri ya wafalme wa zamani wa "Austro-Hungarian Empire" mjini Vienna. Gwaride rasmi kwa ajili ya Balozi mpya iliendeshwa katika viwanja vya Hofburg.

 

5 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA LIQUID TELECOM'S KUENDELEA KUZIUNGANISHA KIDIGITAL NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA ILI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV

KAMPUNI ya Liquid Telecom's Afrika Mashariki imezihakikishia nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuendelea kufanya kazi zake kwa ukaribu na kawaida kupitia mgongo wake wa jumuiya ya nchi hizo katika mabadiliko yake ya kidigitali chini ya mwezi wa mmoja kutokana na janga la COVID- 19

Kwa mujibu wa kampuni imeeleza kuwa ndiyo inayoongoza katika mawasiliano na imewezesha wanachama wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya kazi kwa ukaribu na kawaida licha ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani