Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kishawishi cha Kenya kwa watalii

Sekta ya utalii nchini Kenya inakabiliwa na hasara kubwa kutokana na kutetereka kwa hali ya usalama.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA KENYA YAKUBALI KUYARUHUSU MAGARI YA ABIRIA NA WATALII KUTOKA TANZANIA.

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema serikali ya Kenya imekubali kuyaruhusu magari ya abiria na watalii kutoka Tanzania, kuingia ndani ya Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.
Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.
Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania, ilidumu kwa zaidi ya wiki mbili, ambapo katika kusaka suluhu hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uwanja wa Ndege Songwe wawa kivutio cha watalii

UWANJA wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe, mkoani hapa, umekuwa sehemu ya vivutio vya utalii vinavyopatikana kwenye mikoa ya Kanda za Juu Kusini. Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa...

 

11 years ago

Michuzi

KUNDI LA KWANZA LA WATALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO LAPANDA KILELE CHA SHIRA

Mabasi maalumu yanayotumika kupandisha watalii wa ndani yakiwa katika foleni tayari kwa safari ya kuelekea mlima Kilimanjaro katika kilele cha Shira. Watalii wa ndani wakipatiwa maelezo juu ya mlima Kilimanjaro kablaya kuanza safari ya kuelekea Kilele cha Shira. Watalii wa ndani wakiwa ndani ya basi kuelekea kilele cha Shira mlima Kilimanjaro.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Mwananchi

Bongokirisimasi, mwongozo kwa watalii

Duh! Kirisimasi imeshatuvamia tena? Yaani kama masika, dalili zake hujitokeza mapema na kuongezeka hadi siku ile yenyewe ambayo hatimaye mawingu yanaacha ubahili wao na kumwaga radhi kwa nguvu.

 

5 years ago

CCM Blog

WIZARA YA MALIASILI YATOA MUONGOZO KWA WATALII

  Wizara ya Maliasili na Utalii imeweka mwongozo maalum kwa kampuni zinazojihusisha na watalii, kuhakikisha kuwa wanakuwa na taarifa za mara kwa mara za tahadhari ya maambukizi ya Virusi vya Corona zinazopaswa kuchukuliwa na kufuatwa kwa usahihi.

Mwongozo huo umetolewa na Wizara hiyo kwa lengo la kuhakikisha makampuni hayo yanajiweka tayari ili kuwaepusha watalii kupata maambukizi ya Virusi hivyo na kusisitiza kuwa sehemu zote ambazo ni rahisi kuguswa na mtu yoyote, wahakikishe zinasafishwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Waongoza watalii watua mzigo kwa JPM

Chama cha Waongoza Watalii Tanzania (TTGA) kimemuomba Rais John Pombe Magufuli kuingilia kati na kutatua migogoro baina yao na wamiliki wa kampuni za utalii ya kudai maslahi, baada ya baadhi ya tume kushindwa kuipatia ufumbuzi.

 

11 years ago

Dewji Blog

Airtel yapunguza gharama za mawasilano kwa wageni/watalii

pic 1

Wakwanza kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Bw, Sunil Colaso akifuatiwa na  Meneja Masoko wa Airtel bi, Prisca Tembo ,na Mwenyekiti wa shirikisho la  wadau wa Utalii Tanzania Bwana Gaudence Temu , wakionyesha vifurushi vya bidhaa mpya ya Airtel Tourist Pack , wakati wa uzinduzi wa kifurushi hicho kitakacho wawezesha watalii kuwasiliana na familia zao mara wawapo nchi katika utalii, uzinduzi hu umefanyika leo katika makao makuu ya Airtel Dar es salaam.

pic 3

Mkurgenzi mtendaji wa Airtel...

 

11 years ago

BBCSwahili

Qatar:Onyo kwa watalii wanaovalia vinguo vifupi

Serikali ya Qatar imezindua kampeini ya kuwataka watalii kuvalia mavazi ya heshima wanapokuwa katika maeneo ya umma

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAPUNGUZA GHARAMA ZA MAWASILIANO KWA WAGENI/WATALII‏

Mkurgenzi mtendaji wa Airtel Tanzania bw, Sunil Colaso akionyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) kifurushi chenye vocha maalum na laini ya Airtel kwaajili ya watalii wanaoingia nchini kitakachojulikana kama Airtel Tourist pack, uzinduzi huo umefanyika leo  ambapo Watalii watakaofaidika ni wale wanaotoka Amerika, India, Italia na Uingereza kufaidika na 'Airtel Tourist pack' Wakwanza… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani