Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bongokirisimasi, mwongozo kwa watalii

Duh! Kirisimasi imeshatuvamia tena? Yaani kama masika, dalili zake hujitokeza mapema na kuongezeka hadi siku ile yenyewe ambayo hatimaye mawingu yanaacha ubahili wao na kumwaga radhi kwa nguvu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kitabu cha mwongozo kwa manesi chazinduliwa

BARAZA la Manesi na Wakunga Tanzania, limezindua kitabu kinachotoa mwongozo kwa kuangalia kiwango ambacho muuguzi anatakiwa kufanya kazi kulingana na elimu aliyonayo. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwakilishi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwongozo kwa wanunuzi wa laptop msimu wa sikukuu

Mwanzoni kompyuta mpakato hazikuwavutia watu wengi kwa sababu ya kuuzwa kwa bei kubwa. Pia umbile lake kubwa halikuwapendezwa watumiaji wengi.

 

10 years ago

Mwananchi

TCRA yatoa mwongozo wa uchaguzi kwa vyombo vya habari

Ukiwa umesalia mwezi mmoja kuanza kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa rasimu ya mwongozo kwa vyombo vya habari vya utangazaji utakaongoza namna ya kuripoti habari zote za uchaguzi.

 

10 years ago

Vijimambo

WAJUMBE WA DICOTA 2014 CONVETION WAKUTANA KWENYE HAFLA YA COCKTAIL KWA UTAMBULISHO NA KUEANA MWONGOZO WA MKUTANO.

 Bw. Lunda Asmani akielezea utaratibu utakavyokua kwenye DICOTA 2014 Convetion itakayoaanza muda si mrefu leo Ijumaa Oct 3, 2014 kwenye hafla ya Cocktail iliyofanyika Alhamisi jioni Oct 2, 2014 katika hotel ya Millennium Durham North Carolina. Bw. Lunda Asmani pia alitumia wasaa huo kuwatambulisha wageni mbalimbali akiwemo mgeni rasmi Katibu Mkuu kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue.Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini Marekani Mhe. Liberatus Mulamula akiongea na wahudhuriaji...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kishawishi cha Kenya kwa watalii

Sekta ya utalii nchini Kenya inakabiliwa na hasara kubwa kutokana na kutetereka kwa hali ya usalama.

 

5 years ago

CCM Blog

MAFUNZO YA MWONGOZO WA KUKINGA NA KUDHIBITI MAAMBUKIZI KWA WALIMU WA VYUO VYA AFYA TANZANIA YAFANYIKA DAR ES SALAAM.

Mwezeshaji Hospitali ya Taifa Muhimbili Nicodem Komba (kulia) akizungumza jambo na Walimu wa Vyuo vya Afya wakati wa Mafunzo ya Mwongozo wa Kukinga na Kudhibiti Maambukizi katika Vituo vya kutolea Huduma za Afya tarehe17-22 Februari 2020 katika Ukumbi wa CEEMI, NIMR Mkoani Dar es Salaam.







Mratibu wa mafunzo Bi. Laura Marandu (kulia) kutoka Kitengo cha Uhakiki Ubora wa Huduma za Afya akizungumza jambo na  Walimu wa Vyuo vya Afya katika Ukumbi wa CEEMI, NIMR Mkoani Dar es Salaam. 








Walimu wa Vyuo...

 

5 years ago

Michuzi

DKT MLIMUKA AONGOZA UZINDUZI WA MWONGOZO WA KAZI KWA NCHI ZA SADC KUPITIA JUKWAA LA SEKTA BINAFSI SPSF

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Jukwaa la Sekta binafsi SADC (SPSF) imezindua Sheria za Kazi za SADC ikijumuisha sera, vipaumbele, maswala, na mipango kwa wafanyakazi wa sekta binafsi.
SPSF kwa msaada wa Shirika la Kazi la Kimataifa (ILO), waliweza kutunga mwongozo wa Sheria ya Kazi katika Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika.

Uzinduzi wa mwongozo huo wa sheria ni kwa lengo la ufikiaji kwa sheria za kazi kwa nchi zote 16 za Ukanda wa Kusini mwa jangwa la sahara SADC kwa kufuata wajibu...

 

5 years ago

CCM Blog

WIZARA YA MALIASILI YATOA MUONGOZO KWA WATALII

  Wizara ya Maliasili na Utalii imeweka mwongozo maalum kwa kampuni zinazojihusisha na watalii, kuhakikisha kuwa wanakuwa na taarifa za mara kwa mara za tahadhari ya maambukizi ya Virusi vya Corona zinazopaswa kuchukuliwa na kufuatwa kwa usahihi.

Mwongozo huo umetolewa na Wizara hiyo kwa lengo la kuhakikisha makampuni hayo yanajiweka tayari ili kuwaepusha watalii kupata maambukizi ya Virusi hivyo na kusisitiza kuwa sehemu zote ambazo ni rahisi kuguswa na mtu yoyote, wahakikishe zinasafishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani