KITABU CHA MKATABA WA SIRI TAYARI

Na Mwandishi Wetu MWANDISHI mahiri wa hadithi na mshauri wa uhusiano na mapenzi, Joseph Shaluwa amekamilisha kitabu chake kipya cha riwaya kiitwacho Mkataba wa Siri ambacho kinauzwa kwa oda tu. Akizungumza na mtandao huu, Shaluwa ambaye Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Risasi Mchanganyiko, linachopishwa na Kampuni ya Global Publishers, alisema kabla ya hadithi hiyo kuwa kitabu, ilitoka katika Gazeti la Ijumaa. “Ni hadithi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
10 years ago
Habarileo24 May
Mkataba wa Wamasai na wakoloni watua kwa siri
MIAKA takribani 60 baada ya kuanzishwa kwa Hifadhi maarufu ya Serengeti, mkataba uliosainiwa na wazee 12 wa Kimasai pamoja na utawala wa kikoloni wa Mwingereza umetua nchini kwa siri.
5 years ago
Michuzi
KITABU CHA NIMEJITAKIA CHA MOHAMMED HAMMIE CHAZINDULIWA RASMI NCHINI
Akizungumza nasi mwandishi wa kitabu hicho Bwana Mohammed amesema kuwa tayari riwaya hiyo imeshaanza kusambazwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo kwa mkoa wa Dar es salaam kinapatika katika duka la TPH Bookshop lililopo posta, duka la kona ya riwaya lililopo Moroko, pamoja...
5 years ago
MichuziDKT. NDUMBARO ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA RAIS NKURUNZIZA
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas...
5 years ago
Michuzi
WAZIRI MKUU ATIA SANI KITABU CHA MAOMBOLEZO KIFO CHA NKURUNZIZA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kwenye Ubalozi wa Burundi, Upanga jijini Dar es salaam, Juni 17, 2020. Wa pili kulia ni Balozi wa Burundi nchini, Mhe. Abayeho Gervais.

10 years ago
Bongo528 Sep
Kitabu kipya cha Harry Porter kipo njiani, kitakuwa cha bure
10 years ago
Michuzi01 May
UZINDUZI WA KITABU CHA KUJIFUNZA KILINGALA CHA TSHIMANGA KALALA ASSOSA NA KAVASHA CLUB JUMAPILI
UZINDUZI WA KITABU NA KAVASHA CLUB...Jumapili hii tarehe 03-May-2015, mwanamuziki mkongwe Tshimanga Kalala Assosa atazindua kitabu kilichokuwa kikisubiriwa na watu wengi sana kwa muda mrefu mno.Ni kitabu cha "Jifunze LINGALA kwa Kiswahili".Uzinduzi huo utaambatana na tukio kubwa sana la wana Dar Kavasha Club pamoja na chakula cha jioni cha pamoja (dinner).Ni ndani ya ukumbi wa MRC Jumapili (03-May-2015) kuanzia saa 12 hadi saa 3 jioni....
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZOKUFUATIA KIFO CHA WAZIRI CELINA KOMBANI MIKOCHENI