Kiwanja cha kufurahishia watoto PEMBA, kufunguliwa rasmin tarehe 26/08/15
WAZIRI wa Fedha na Uchumi wa Zanzibar Mhe:Omar Yussuf Mzee, wa pili kutoka kushoto, watatu ni Afisa Mdhamini Wizar ya Fedha Pemba Bakari Haji, wakitabasamu na viongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar, mara baada ya kuridhika na hali ya kiwanja hicho kilivyofikiwa pamoja na kujaribiwa kwa pembea hizo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa Fedha na Uchumi wa Zanzibar Mhe:Omar Yussuf Mzee, akifunga mkanda mara baada ya kupanda ndege zilizomo ndani ya kiwanja cha kufurahishia watoto...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J3oiYrqiSCk/Vd79jTB5qVI/AAAAAAAH0Z8/wLObndk92VY/s72-c/DSC_8133.jpg)
UZINDUZI WA KIWANJA CHA BASKETBALL WETE PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-J3oiYrqiSCk/Vd79jTB5qVI/AAAAAAAH0Z8/wLObndk92VY/s640/DSC_8133.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9lcscDuT6ok/Vd79jhB50hI/AAAAAAAH0aE/IWqkilr3nDk/s640/DSC_8136.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z_3bxaEoWSk/Vd79iDZJeyI/AAAAAAAH0Z0/IRFeYgkRH30/s640/DSC_8170.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cpttbam5RHI/Vd9mxoVgFhI/AAAAAAAH0gY/07fAuH5lu3w/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
UZINDUZI WA KIWANJA CHA BASKETBALL WETE, PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cpttbam5RHI/Vd9mxoVgFhI/AAAAAAAH0gY/07fAuH5lu3w/s640/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mduji3UNYbs/Vd9mxiDPAII/AAAAAAAH0gU/fiuDlBClbdg/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-14idxy0MHaU/Vd9mxqOcbcI/AAAAAAAH0gc/kvXvPBiDhh0/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015.
Katika kampeni za uchaguzi mkuu wa October 2015, Mh. Seif Sharif Hamad aliombea wagombea zake kura za ndio wakiwemo wabunge, madiwani na wawakilishi wa Jibo la Ole, Pia Muheshimiwa alimuombea kura ndugu Edward Lowasa. Katika Sera […]
The post Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
MichuziKiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) chatakiwa kuimarishwa kiushindani
Ujenzi huo unaotarajiwa kuongeza uwezo wa uwanja wa mara tatu zaidi umejikita katika sehemu za maegesho ya magari, sehemu ya abiria kupumzika, sehemu za abiria kupandia na kushuka kwenye ndege, ofisi za uhamiaji na huduma zingine muhimu.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka hiyo Bw. Suleiman S. Suleiman...
10 years ago
VijimamboTAA yashauriwa kuimarisha kiushindani Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere JNIA.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0Q-RuMCpga8/VlAxvjVmYvI/AAAAAAAIHgc/Kxi4j1rxfzM/s72-c/078d5072-ca01-443a-83c6-36e145da1ea5.jpg)
Jengo la tatu la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere lakamilika asilimia 65
![](http://3.bp.blogspot.com/-0Q-RuMCpga8/VlAxvjVmYvI/AAAAAAAIHgc/Kxi4j1rxfzM/s640/078d5072-ca01-443a-83c6-36e145da1ea5.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...
9 years ago
VijimamboDK SHEIN MGENI RASMIN BARAZA LA EID EL HAJJ UKUMBI WA CHUO CHA AMALI MKOKOTONO MKOA WA KASKAZINI UNGUJA.
10 years ago
GPLMAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL