Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiwanja cha kufurahishia watoto PEMBA, kufunguliwa rasmin tarehe 26/08/15

WAZIRI wa Fedha na Uchumi wa Zanzibar Mhe:Omar Yussuf Mzee, wa pili kutoka kushoto, watatu ni Afisa Mdhamini Wizar ya Fedha Pemba Bakari Haji, wakitabasamu na viongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar, mara baada ya kuridhika na hali ya kiwanja hicho kilivyofikiwa pamoja na kujaribiwa kwa pembea hizo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)WAZIRI wa Fedha na Uchumi wa Zanzibar Mhe:Omar Yussuf Mzee, akifunga mkanda mara baada ya kupanda ndege zilizomo ndani ya kiwanja cha kufurahishia watoto...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA KIWANJA CHA BASKETBALL WETE PEMBA

 Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba jana. Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba jana. Rais wa Zanzibar na...

 

9 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA KIWANJA CHA BASKETBALL WETE, PEMBA

 Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015.

Katika kampeni za uchaguzi mkuu wa October 2015, Mh. Seif Sharif Hamad aliombea wagombea zake kura za ndio wakiwemo wabunge, madiwani na wawakilishi wa Jibo la Ole, Pia Muheshimiwa alimuombea kura ndugu Edward Lowasa. Katika Sera […]

The post Muhtasari wa Sera za Ukawa kupitia chama chama cha wananchi wa C.U.F katika mkutano ulofanyiaka, Kipangani Ole Pemba, tarehe 16/09/2015. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) chatakiwa kuimarishwa kiushindani

Uongozi wa Mamlaka za Viwanja vya Ndege Tanzania wameshauriwa kuwa makini katika ujenzi unaoendelea wa jengo la kutua na kupaa ndege katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyere (JNIA).
Ujenzi huo unaotarajiwa kuongeza uwezo wa uwanja wa mara tatu zaidi umejikita katika sehemu za maegesho ya magari, sehemu ya abiria kupumzika, sehemu za abiria kupandia na kushuka kwenye ndege, ofisi za uhamiaji na huduma zingine muhimu.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka hiyo Bw. Suleiman S. Suleiman...

 

10 years ago

Vijimambo

TAA yashauriwa kuimarisha kiushindani Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere JNIA.

Mwonekano wa jengo la kushushia na kupandiashia abiria linaloendelea kujengwa katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere.Mshauri Mkaazi wa ujenzi wa jengo la kufikia abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere akimwonyesha Naibu Katibu Mtendaji- Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Bibi. Florance Mwanri (Kulia) maendeleo mradi huo.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania Bw. Suleiman S. Suleiman akitoa maelezo ya ujenzi wa jengo la kupikia na...

 

9 years ago

Michuzi

Jengo la tatu la abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere lakamilika asilimia 65

Jengo la tatu la abiria (TB III) linalojengwa katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Jijini Dar es Salaam limekamilika kwa asilimia 65 na linavutia.

Jengo hilo lenye uwezo wa kuchukua abiria milioni 6 kwa mwaka limewavutia wahandisi ujenzi  kutoka mkoa wa Pwani waliolizuru leo na  wadau wa usafiri wa anga jana.

Akizungumza kwa niaba ya Wahandisi wenzake leo, Mhandisi Michael Mrema amesema, mradi huo ni mkubwa, mzuri na wenye tija kwa uchumi wa nchi na kwamba...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar

DSC_0022

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.

DSC_0031

Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.

DSC_0053

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...

 

9 years ago

Vijimambo

DK SHEIN MGENI RASMIN BARAZA LA EID EL HAJJ UKUMBI WA CHUO CHA AMALI MKOKOTONO MKOA WA KASKAZINI UNGUJA.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akipokelewa na Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Abubakary Khamis Bakar, kwa ajili ya kuhudhuria Baraza la Eid El Hajj, kitaifa zimefanyika Mkoa wa Kaskazini Unguja.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad, akiwasili na katika viwanja vya Chuo cha Amali Mkokotoni akisalimiana na Waziri wa Sheria na Katiba Zanzibar Mhe. Abubakary Khamis Bakar, kwa ajili ya...

 

10 years ago

GPL

MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana. DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani