Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UZINDUZI WA KIWANJA CHA BASKETBALL WETE, PEMBA

 Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA KIWANJA CHA BASKETBALL WETE PEMBA

 Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba jana. Baadhi ya Wanamichezo wa Michezo mbalimbali katika Wilaya ya Wete   wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa Kiwanja cha Baskatball na ugawaji wa Vifaa mbali mbali vya Michezo katika Nyumba za  Polisi Mess Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba jana. Rais wa Zanzibar na...

 

10 years ago

Vijimambo

KISWA CHA KOJANI WILAYA YA WETE PEMBA

HUDUMA ya maji safi na salama katika kisiwa cha Kojani wilaya ya wete Pemba, imekuwa ni ya saa 24, jambo ambalo wananchi wake wamekuwa wakilifurahia, ingawa utumiaji mbaya wa miundombinu hiyo kwa kufungua bomba (mfereji) hadi mwisho kwa mahitaji kidogo ya maji imekuwa changamoto kwa baadhi ya wananchi.MTOA mada ya usafi wa mazingira (katikati mwenye miwani) Bakar Hamad Bakari akiwaeleza wananchi wa kisiwa cha Kojani wilaya ya Wete Pemba, jinsi ya umuhimu wa kutenganisha taka ngumu na laini,...

 

10 years ago

Vijimambo

USAFI WA MAZINGIRA KIJIJI CHA KOJANI WILAYA YA WETE, PEMBA

HALI ya utupaji taka taka ovyo pembezoni mwa mwa bahari kwenye kisiwa cha Kojani wilaya ya wete Pemba, umeonekana kupungua kwa kiwango kikubwa, baada ya wananchi wake kupata taaluma ya usafi wa mazingira kupitia jumuia ya vijana jimbo la Kojani KOYMOCC, MITARO ya maji machafu imetajwa kuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa, ambayo huchangia kuchafua mazingira ya Kisiwa cha Kojani Pemba, ambapo hayo yalishuhudiwa wakati wananchi kisiwani humo walipokuwa na ziara ya kuangalia hali ya usafi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Kiwanja cha kufurahishia watoto PEMBA, kufunguliwa rasmin tarehe 26/08/15

WAZIRI wa Fedha na Uchumi wa Zanzibar Mhe:Omar Yussuf Mzee, wa pili kutoka kushoto, watatu ni Afisa Mdhamini Wizar ya Fedha Pemba Bakari Haji, wakitabasamu na viongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar, mara baada ya kuridhika na hali ya kiwanja hicho kilivyofikiwa pamoja na kujaribiwa kwa pembea hizo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)WAZIRI wa Fedha na Uchumi wa Zanzibar Mhe:Omar Yussuf Mzee, akifunga mkanda mara baada ya kupanda ndege zilizomo ndani ya kiwanja cha kufurahishia watoto...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW.SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIIONI 8 MJINI WETE PEMBA

Timu kongwe visiwani Zanzibar Jamhuri ya Wete Pemba iliyoanzishwa mwaka 1954 imepokea vifaa mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 8 kutoka kwa Bw.Suleiman Saleh ambaye alimkabidhi mdaada huo. Mjini Wete Pemba jioni ya Jumanne Oktoba 7 2014 hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari ya Utaani iliyopo Wete Pemba.

Bw..Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

BREAKING NEWS: Matokeo ya kituo Kituo cha Skuli ya Bwagamoyo Wilaya ya Wete Pemba jimbo Mtambwe.

BREAKING NEWS: Matokeo ya kituo nilichopiga kura mimi. Kituo cha Skuli ya Bwagamoyo Wilaya ya Wete Pemba jimbo Mtambwe. Kituo namba 1. Kura za Maalim Seif ni 317 na za Dk Shein ni 5. Kituo namba […]

The post BREAKING NEWS: Matokeo ya kituo Kituo cha Skuli ya Bwagamoyo Wilaya ya Wete Pemba jimbo Mtambwe. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW.SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYA SHILINGI MILIONI 8 MJINI WETE PEMBA

Timu kongwe visiwani Zanzibar Jamhuri ya Wete Pemba iliyoanzishwa mwaka 1954 imepokea vifaa mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 8 kutoka kwa Bw.Suleiman Saleh ambaye alimkabidhi mdaada huo mjini Wete Pemba jioni ya Jumanne Oktoba 7 2014 katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari ya Utaani iliyopo Wete Pemba.
Bw.Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo viatu,...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS WA TIMU YA JAMHURI YA PEMBA BW. SULEIMAN SULEIMAN SALEH AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIIONI 8 MJINI WETE PEMBA

Timu kongwe visiwani Zanzibar Jamhuri ya Wete Pemba iliyoanzishwa mwaka 1954 imepokea vifaa mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 8 kutoka kwa Bw.Suleiman Saleh ambaye alimkabidhi mdaada huo. Mjini Wete Pemba jioni ya Jumanne Oktoba 7 2014 hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Sekondari ya Utaani iliyopo Wete Pemba.Bw..Saleh ambaye ni Afisa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC alikabidhi vifaa mbali mbali vikiwemo...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WA WETE, PEMBA WAPEWA ELIMU YA KATIBA

SHEHA wa shehia ya Kipangani Ali Said Hamad akifungua mkutano wa kuelimisha katiba inayopendekezwa, ulioandaliwa na Kituo cha Hudma za Sheria Zanzibar ZLSC, tawi la Pemba, kulia ni Hakimu wa Mahakama ya Ardhi mkoa kusini Pemba Salim Hassan Bakar na kushoto ni Mratibu wa ZLSC Fatma Khamis Hemed.MWANASHERIA wa serikali Albaghir Yakout Juma, akitoa ufafanuzi wa Katiba inayopendekezwa mbele ya wananchi wa wilaya ya wete Pemba, mkutano ulioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani