KKKT wazindua mpango wa kuingia vijijini kuelimisha jamii kupambana na Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-dgHeGpehXZY/XrbI5ypUZfI/AAAAAAALpkY/-dyCJrrW2zc5HKRgRupbnvhJ0zkl0-fGwCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Na Amiri kilagalila,Njombe
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kusini Kati wilayani Makete mkoani Njombe,kwa kushirikiana na Madhehebu mengine wilayani humo,wamezindua mpango Maalum wa kudhibiti na kupambana na virusi vya Corona (COVID-19) na kufika kila kijiji ndani ya wilaya ili kutoa elimu ya kupambana na kirusi Corona.
Askofu wa Dayosisi ya Kusini kati Wilson Sanga amesema tangu tatizo hilo lilipoingia nchini,Kanisa limeungana na serikali kuunga mkono juhudi za Serikali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-in22Q9_Q52s/XnoDxZg656I/AAAAAAAC8vQ/GJxfbfZouckonY1bH-o_3u6xM85ZHLDlwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200324-WA0007.jpg)
StarTimes Kuhabarisha na kuelimisha jamii kila siku kuhusu Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-in22Q9_Q52s/XnoDxZg656I/AAAAAAAC8vQ/GJxfbfZouckonY1bH-o_3u6xM85ZHLDlwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200324-WA0007.jpg)
Lengo ikiwa ni kuwahabarisha watu wa mijini na vijijini na kuwaelimisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7c16QPeNAw8/Xo1vcej6r5I/AAAAAAALmdM/QNyRdAFOCHU7Lt96lT1PamjANu7tnMvMwCLcBGAsYHQ/s72-c/d79fae8f-60c5-4aa4-ab24-7f03bbdd2cbc.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAHIMIZWA KUISADIA SERIKALI KUELIMISHA JAMII KUHUSU UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7c16QPeNAw8/Xo1vcej6r5I/AAAAAAALmdM/QNyRdAFOCHU7Lt96lT1PamjANu7tnMvMwCLcBGAsYHQ/s400/d79fae8f-60c5-4aa4-ab24-7f03bbdd2cbc.jpg)
Akizungumza na Vyombo vya habari Msemaji wa Taasisi ya dini ya Kiislaamu ya TWARIQA Qadiria,Jalailania Arrasziqia Tanzania Shekhe Haruna Hussein alisema viongozi wa dini Wana nafasi kubwa Sana katika kusaidia mapambano haya ya Virusi vya Corona,kwa kuhakikisha kuwa katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dord9D_EcbQ/XtoaXH3mhGI/AAAAAAAEHgY/XIOmMx32irkIHVbdCdaK6Cy-KQ7AxpftQCLcBGAsYHQ/s72-c/a7231e57-79cc-4ccc-a8bb-1d8f2714db5e.jpg)
TMRC yatoa mchango kwa Serikali na jamii kupambana na Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-dord9D_EcbQ/XtoaXH3mhGI/AAAAAAAEHgY/XIOmMx32irkIHVbdCdaK6Cy-KQ7AxpftQCLcBGAsYHQ/s640/a7231e57-79cc-4ccc-a8bb-1d8f2714db5e.jpg)
..............................................
TMRC imetoa msaada huo kwa hospitali ya Serikali ya Amana. Msaada huo ni gallons 50 za lita 5 za vitakasa mikono (sanitizer) ambazo kwa ujumla wake ni lita 250.
Msaada huo ulipokelewa na Mganga...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/GfibLpFIDb8/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s72-c/saini.jpg)
PSPF,NHIF WAZINDUA MPANGO WA MATIBABU KWA WANACHAMA WA MFUKO HUO WALIO KWENYE MPANGO WA PSS
![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s640/saini.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
PSPF, NHIF wazindua mpango wa matibabu kwa wanachama wa mfuko huo walio kwenye mpango wa PSS
![](http://3.bp.blogspot.com/--cIuH0ogknU/Vkx-moiWOyI/AAAAAAAActc/uvgySffOeY4/s640/saini.jpg)
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (katikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF, Neema Muro, (wapili kushoto), Meenja wa Mpango wa Uchagiaji wa Hiari wa PSPF,Mwanjaa Sembe, (wakwanza kushoto) na maafisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF, (kulia walosimama), wakishuhudia Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayinhu, (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando, wakitia saini makubaliano ambayo yatawezesha...
11 years ago
Michuzi17 Feb
WAHITIMU WATAKIWA KUELIMISHA JAMII KUTANGAZA BIDHAA ZA TANZANIA
![DSCF2810](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/AelEzEcI9gQ2vJdIGZVkPbizWvMDDJeLSmNsFEY_VuefwMwtUqxZusTIa9RtdgD9G6Jsv2goqHO1EPEMwvcL5BWwUSggKCmSx5b3deeVUdsK2A=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2810.jpg)
Na Pamela Mollel,Arusha.
Wahitimu katika chuo cha Biashara na Teknohama Arusha (IBICTA) wametakiwa kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kutafuta masoko nje ya nchi kwaajili ya kutangaza bidhaa za Tanzania hali itakayo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h7cS_RZlV6I/Uzb8EwGDzfI/AAAAAAACdnk/wnj27CxSYPI/s72-c/New+Picture.png)
KAMPENI YA KUELIMISHA JAMII DHIDI YA MAKOSA MTANDAO YASHIKA KASI
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7cS_RZlV6I/Uzb8EwGDzfI/AAAAAAACdnk/wnj27CxSYPI/s1600/New+Picture.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CkyPFx_doiA/Vef6c2Hb1KI/AAAAAAAH2Ac/CY2yR8zY9cQ/s72-c/Health%2BPix%2B2.jpg)
SERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...