StarTimes Kuhabarisha na kuelimisha jamii kila siku kuhusu Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-in22Q9_Q52s/XnoDxZg656I/AAAAAAAC8vQ/GJxfbfZouckonY1bH-o_3u6xM85ZHLDlwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200324-WA0007.jpg)
Kampuni ya Star Media(T) kupitia chapa yake StarTimes imeunga mkono jitihada za Serikali kupambana na kuelimisha jamii kuhusiana na virusi vya COVID-19, StarTimes imeanza kurusha kipindi cha StarTimes Daily Covid-19 Report kinachotoa habari/ taarifa kuhusu virusi vya Corona na Elimu ya namna ya kujikinga ,kupitia chaneli ya ST Swahili kila siku saa 3:45 usiku,na pia kupitia Application ya StarTimes ON kwenye simu janja.
Lengo ikiwa ni kuwahabarisha watu wa mijini na vijijini na kuwaelimisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7c16QPeNAw8/Xo1vcej6r5I/AAAAAAALmdM/QNyRdAFOCHU7Lt96lT1PamjANu7tnMvMwCLcBGAsYHQ/s72-c/d79fae8f-60c5-4aa4-ab24-7f03bbdd2cbc.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAHIMIZWA KUISADIA SERIKALI KUELIMISHA JAMII KUHUSU UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7c16QPeNAw8/Xo1vcej6r5I/AAAAAAALmdM/QNyRdAFOCHU7Lt96lT1PamjANu7tnMvMwCLcBGAsYHQ/s400/d79fae8f-60c5-4aa4-ab24-7f03bbdd2cbc.jpg)
Akizungumza na Vyombo vya habari Msemaji wa Taasisi ya dini ya Kiislaamu ya TWARIQA Qadiria,Jalailania Arrasziqia Tanzania Shekhe Haruna Hussein alisema viongozi wa dini Wana nafasi kubwa Sana katika kusaidia mapambano haya ya Virusi vya Corona,kwa kuhakikisha kuwa katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dgHeGpehXZY/XrbI5ypUZfI/AAAAAAALpkY/-dyCJrrW2zc5HKRgRupbnvhJ0zkl0-fGwCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
KKKT wazindua mpango wa kuingia vijijini kuelimisha jamii kupambana na Corona
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kusini Kati wilayani Makete mkoani Njombe,kwa kushirikiana na Madhehebu mengine wilayani humo,wamezindua mpango Maalum wa kudhibiti na kupambana na virusi vya Corona (COVID-19) na kufika kila kijiji ndani ya wilaya ili kutoa elimu ya kupambana na kirusi Corona.
Askofu wa Dayosisi ya Kusini kati Wilson Sanga amesema tangu tatizo hilo lilipoingia nchini,Kanisa limeungana na serikali kuunga mkono juhudi za Serikali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4ACUn4gpG3Q/Xn-TLMv-_lI/AAAAAAALlaU/H11Pl2ae1e8R46E0mpDgckSAR14x7jJlACLcBGAsYHQ/s72-c/1-62.jpg)
MAENDELEO, USTAWI WA JAMII WAPIGWA MSASA KUHUSU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4ACUn4gpG3Q/Xn-TLMv-_lI/AAAAAAALlaU/H11Pl2ae1e8R46E0mpDgckSAR14x7jJlACLcBGAsYHQ/s640/1-62.jpg)
Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu akizungumza na maafisa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii kutoka katika Kata za mkoa wa Dar es Salaam wakati akifungua mafunzo kwa wataalam hao juu ya mapambano dhidi ya Virusi vya Corona nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-60.jpg)
Kamishna wa Ustawi wa Jamii Dkt. Naftali Ng’ondi akieleza jambo kwa maafisa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jmaii kutoka katika Kata za mkoa wa Dra es Salaam wakati ufunguzi wa mafunzo kwa wataalam hao juu ya mapambano dhidi ya Virusi...
5 years ago
BBCSwahili22 Mar
Magufuli awakemea wanaopotosha jamii kuhusu ugonjwa wa corona
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-90S8nIKNuW0/XoBJ8z2EROI/AAAAAAAAnMg/g-fhZ8v-o7MSQXUWSZPtb2TRVZZs-VpggCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MAENDELEO, USTAWI WA JAMII DAR WAPIGWA MSASA KUHUSU CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-90S8nIKNuW0/XoBJ8z2EROI/AAAAAAAAnMg/g-fhZ8v-o7MSQXUWSZPtb2TRVZZs-VpggCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-m-7KjEQq17I/XoBJ88d7nHI/AAAAAAAAnMc/K851Taas0qgn5WjqDuNAA1EbhTnSmwpdwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k2NcSvwfzUQ/XrEbYFtC7jI/AAAAAAALpLc/RiqFvNh4OhcpnF1cITliB1aXbCYw7jlmACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-05-05%2Bat%2B9.55.49%2BAM.png)
RAIS MAGUFULI AWA GUMZO KILA PEMBE YA DUNIA, MSIMAMO WAKE KUHUSU CORONA WAKUNA WENGI
10 years ago
Michuzi05 Feb
11 years ago
Michuzi17 Feb
WAHITIMU WATAKIWA KUELIMISHA JAMII KUTANGAZA BIDHAA ZA TANZANIA
![DSCF2810](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/AelEzEcI9gQ2vJdIGZVkPbizWvMDDJeLSmNsFEY_VuefwMwtUqxZusTIa9RtdgD9G6Jsv2goqHO1EPEMwvcL5BWwUSggKCmSx5b3deeVUdsK2A=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/02/dscf2810.jpg)
Na Pamela Mollel,Arusha.
Wahitimu katika chuo cha Biashara na Teknohama Arusha (IBICTA) wametakiwa kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kutafuta masoko nje ya nchi kwaajili ya kutangaza bidhaa za Tanzania hali itakayo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h7cS_RZlV6I/Uzb8EwGDzfI/AAAAAAACdnk/wnj27CxSYPI/s72-c/New+Picture.png)
KAMPENI YA KUELIMISHA JAMII DHIDI YA MAKOSA MTANDAO YASHIKA KASI
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7cS_RZlV6I/Uzb8EwGDzfI/AAAAAAACdnk/wnj27CxSYPI/s1600/New+Picture.png)