Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


K.O arejea South, ashukuru na kuelezea alichojifuza Tanzania na Kenya

Rapper K.O wa Afrika Kusini amerejea nyumbani baada ya kumaliza zaidi ya wiki moja aliyoifanya Tanzania na Kenya. Rapper huyo alikuja nchini kufanya ziara ya vyombo vya habari na kufahamiana na wasanii. Baada ya kutoka Dar alienda Nairobi ambako alifanya ziara na kutumbuiza pia. “Back home after a very fruitful trip. Inspired and motivated to […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kenyatta arejea Kenya kwa kishindo

RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amerejea nchini kwake akitokea The Hague, Uholanzi alikoenda kuhudhuria kesi dhidi yake katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jina (ICC), huku akipokewa nchini humo kwa shangwe na vigelegele.

 

5 years ago

Michuzi

UONGOZI WA CORNEWELL TANZANIA NATUROPATH CLINIC WAAMUA KUELEZEA HUDUMA ZA MATIBABU WANAZOZITOA ,WATOA SHUKRANI KWA SERIKALI


Mkurugenzi wa Cornwell Tanzania Naturopath (wa pili kulia) Elizabeth Lema akioesha moja ya dawa asili ambayo ilikuwa ya kwanza kuisajali baada ya Rais Dk.John Magufuli kuingia madarakani ambapo ametumia nafasi hiyo kuishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kwa namna inavyowajali na kuwapa kipaumbele.Wengine kuanzia  kushoto ni Meneja Juma Meneja, Mkurugenzi Johanny Brinkman na kulia ni Dk. Ralph Brinkman.
Elizabeth Lema ambaye ni Mkurugenzi wa Cornwell Tanzania Naturopath( wa pili kulia)...

 

11 years ago

Michuzi

Mawaziri wa Elimu Tanzania Bara na Zanzibar wakutana na waandishi wa habari kuelezea maendeleo ya Elimu

Waziri wa Elimu na Ufundi, Shukuru Kawambwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Ali Juma Shamuhuna kwa pamoja wamekutana kujadili mwenendo wa elimu Tanzania na kuchambua matokeo ya Kidato cha nne hususani viwango vya kufaulu na kufeli na hatimae kuwasilisha taarifa ya mkutano wao kwenye Baraza la Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Baraza la Mapinduzi Zanzibar.
Mawaziri hao walikutana jana mjini Zanzibar na kuongea na waandishi wa habari kuhusu maendeleo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Simon Msuva arejea Tanzania

Simon Msuva amerejea nchini Tanzania akitokea nchini Afrika ya Kusini alipokwenda kufanya majaribio ya soka la kulipwa.

 

9 years ago

Michuzi

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS FORUM IN NAIROBI, KENYA, 6TH OCTOBER 2015

KEYNOTE ADDRESS BY HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF

TANZANIA, AT THE KENYA - TANZANIA BUSINESS

FORUM IN NAIROBI, KENYA,

6THOCTOBER 2015


Ladies and Gentlemen;

I thank you President Uhuru Kenyatta for including this meeting in my itinerary and for what you have just said emphasizing the importance of promoting business relations between our two countries. I thank Mr. Kiprono Kittony the Chairman of the Kenya Chamber of Commerce and Industry for organising...

 

10 years ago

Michuzi

The African Development Bank Group Supports Power Trade between Kenya and Tanzania ADF USD 144.9 million Loan to Kenya — Tanzania Power Interconnection Project

The Board of Directors of the African Development Bank Group (AfDB) approved an African Development Fund (ADF) Loan of USD 144.9 million1, to Kenya - Tanzania Power Interconnection Project.
The project will allow the two countries to exchange power. In addition, the Kenya-Tanzania Interconnection Project plays an important role in promoting regional integration through power trade.
The project is expected to improve the supply, reliability and affordability of electricity in the...

 

10 years ago

TheCitizen

South Sudan war could cost Kenya billions - report

>Kenya stands to lose as much as $24 billion in economic output if the war in South Sudan continues at high intensity for another five years, a London-based economic consulting firm warned on Wednesday.

 

11 years ago

BBCSwahili

Webb kuelezea uamuzi wa marefa kwa umma

Sasa imebainika kuwa jukumu la Howard Webb itakuwa kuelezea maamuzi ya marefarii kwa mashabiki.

 

10 years ago

Bongo Movies

Kuelezea Uchaguzi:Davina Awatahadharisha Viongozi na Wananchi!!

Mwigizaji mkongwe Halima Yahya ‘Davina’, amewatahadharisha viongozi mbalimbali wenye nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchanguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani 2015 kuwa makini ili wasisababishe vurugu au uvunjaji wa amani.

Davina alifunguka hayo juzikati katika mahojiano maalumu na paparazi wa GPL ambapo alisema mwaka huu unakuja kukiwa na changamoto nyingi kutokana na matukio mbalimbali yanayoendelea kutokea hivyo viongozi na Watanzania kwa ujumla wanatakiwa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani