Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Webb kuelezea uamuzi wa marefa kwa umma

Sasa imebainika kuwa jukumu la Howard Webb itakuwa kuelezea maamuzi ya marefarii kwa mashabiki.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Uamuzi wa viongozi Arusha kususiana hauna afya kwa umma

Aprili 27 madiwani na viongozi wengine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jijini Arusha walitangaza kususia shughuli zote za mkuu wa wilaya, John Mongela.

 

10 years ago

Michuzi

UTEUZI KATIKA TUME YA UTUMISHI WA UMMA NA TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CMA)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Tume ya Utumishi wa Umma na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA).
Katika uteuzi huo, Rais amemteua Mhe. DKT. STEPHEN JAMES BWANA, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma na BWANA EDRISSA R. MAVURA, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), Bw. Mavura ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu.
Sambamba na uteuzi huu, Rais amewateua Makamishna katika...

 

9 years ago

Bongo5

Tunda Man kuelezea kwa wimbo jinsi alivyomtesa mama yake wakati wa ujauzito wake

Tunda Man anatarajia kuachia wimbo mpya ‘Mama Kija’ utakaoelezea jinsi alivyomtesa mama yake wakati wa ujauzito. Tunda ameiambia E-Newz ya EATV kuwa ameamua kuandika wimbo huo ili kuonyesha jinsi gani mama yake alivyoteseka kwaajili yake. “Napata hongera nyingi kutoka kwa watu wangu kwa sababu wanahisi mke wangu ni mjamzito,” alisema msanii huyo. “Lakini kitu ambacho […]

 

5 years ago

Michuzi

UONGOZI WA CORNEWELL TANZANIA NATUROPATH CLINIC WAAMUA KUELEZEA HUDUMA ZA MATIBABU WANAZOZITOA ,WATOA SHUKRANI KWA SERIKALI


Mkurugenzi wa Cornwell Tanzania Naturopath (wa pili kulia) Elizabeth Lema akioesha moja ya dawa asili ambayo ilikuwa ya kwanza kuisajali baada ya Rais Dk.John Magufuli kuingia madarakani ambapo ametumia nafasi hiyo kuishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kwa namna inavyowajali na kuwapa kipaumbele.Wengine kuanzia  kushoto ni Meneja Juma Meneja, Mkurugenzi Johanny Brinkman na kulia ni Dk. Ralph Brinkman.
Elizabeth Lema ambaye ni Mkurugenzi wa Cornwell Tanzania Naturopath( wa pili kulia)...

 

10 years ago

Vijimambo

TFF yafagilia marefa kupigwa

Wakati beki wa zamani wa kushoto wa Yanga, Stephano Mwasika alifungiwa mwaka mzima kwa kumpiga refa, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa adhabu inayolea vurugu michezoni kwa kumfungia mechi tatu winga Haroun Chanongo wa Stand United kwa kumpiga mwamuzi.

Nahodha wa zamani wa Manchester United, Eric Cantona alifungiwa miezi nane na kutozwa faini ya paundi 30,000 (Sh. milioni 79) kwa kumpiga teke shabiki aliyekuwa jukwaani, lakini TFF jana ilitangaza kumfungia Chanongo mechi tatu tu na...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZIELEKEZA TAASISI ZA UMMA KUADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MWAKA 2020 KWA KUDUMISHA USHIRIKIANO NA WADAU

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb), Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) akitoa maelekezo ya namna ya kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma mwaka 2020 mapema leo, kwa niaba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt (Mst) Mhe. George Mkuchika (Mb).

***********************************

Na: James Mwanamyoto – Dodoma

Tarehe 14 Juni, 2020

Taasisi za umma nchini zimeelekezwa kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Marefa Ilala wawapiga tatu Kinondoni

TIMU ya waamuzi wa soka Wilaya ya Ilala, wameingia mwaka 2014 kwa majigambo baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya wenzao wa Kinondoni katika mchezo uliopigwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani