Marefa Ilala wawapiga tatu Kinondoni
TIMU ya waamuzi wa soka Wilaya ya Ilala, wameingia mwaka 2014 kwa majigambo baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya wenzao wa Kinondoni katika mchezo uliopigwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi31 Dec
Umeya Kinondoni, Ilala mvurugano
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL ILIPOVINJARI KINONDONI NA ILALA
9 years ago
Habarileo29 Aug
Kinondoni, Ilala mabingwa ARS Dar
MICHUANO ya vijana chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars (ARS) Mkoa wa Dar es Salaam chini ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), ilimalizika rasmi jana baada ya kushuhudia Kinondoni wakiibuka mabingwa kwa upande wa wasichana huku kwa upande wa wavulana Ilala wakiibuka mabingwa.
9 years ago
Habarileo17 Dec
Waziri awashukia watendaji Kinondoni, Ilala
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Walemavu, Jenista Mhagama ameacha taharuki kwa baadhi ya watendaji wa Manispaa za Kinondoni na Ilala jijini Dar es Salaam ya kuweza ‘kukosa kazi’ hasa kutokana na kushindwa kutekeleza maagizo waliyotakiwa, likiwemo la Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.
9 years ago
MillardAyo18 Dec
UKAWA na mikakati ya kupata Meya wa Kinondoni na Ilala imefikia hapa…
Leo viongozi wa CHADEMA wamekutaka na kuzungumza mambo mbalimbali mbele ya waandishi wa habari. Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Salum Mwalimu amezungumzia mchakato wa kuwapata Mameya watakaowakilisha Wilaya za Kinondoni na Ilala. Upatikanaji wa Meya wa Ilala na Kinondoni wamejibu kuwa..“CCM inaendeleza falsafa yao ile ile ya kujiona wao wanaweza wakapindisha mambo kadri wawezavyo, leo […]
The post UKAWA na mikakati ya kupata Meya wa Kinondoni na Ilala imefikia hapa… appeared first on...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CAV5oqJXEMg/U8jVNkNMHtI/AAAAAAAF3R0/2TCmxGmNhzQ/s72-c/unnamed+(40).jpg)
WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA ATEMBELEA MANISPAA ZA ILALA, KINONDONI NA TEMEKE KUKAGUA UKUSANYAJI WA KODI
10 years ago
Vijimambo17 Jul
HOSPITALI ZA RUFAA ZA WILAYA YA TEMEKE-KINONDONI NA ILALA ZANUFAIKA NA MASHINE ZA KUWASAIDIA WATOTO NJITI TOKA VODACOM FOUNDATIONâ€
![](http://api.ning.com/files/vZBStZ816j1m3O8qbo03w5OVwLqVdsSskUsx3wCua9peWQh1ozT1VhKgwyh1JfsE4nJN5qujVVQhurYRQkzccv722jen7MWy/001.AMANAHOSPITAL.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j1m3O8qbo03w5OVwLqVdsSskUsx3wCua9peWQh1ozT1VhKgwyh1JfsE4nJN5qujVVQhurYRQkzccv722jen7MWy/001.AMANAHOSPITAL.jpg?width=650)
HOSPITALI ZA RUFAA ZA WILAYA YA TEMEKE-KINONDONI NA ILALA ZANUFAIKA NA MASHINE ZA KUWASAIDIA WATOTO NJITI TOKA VODACOM FOUNDATION
10 years ago
Vijimambo21 Jan
TFF yafagilia marefa kupigwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/TFF-21Jan2015.jpg)
Nahodha wa zamani wa Manchester United, Eric Cantona alifungiwa miezi nane na kutozwa faini ya paundi 30,000 (Sh. milioni 79) kwa kumpiga teke shabiki aliyekuwa jukwaani, lakini TFF jana ilitangaza kumfungia Chanongo mechi tatu tu na...