UKAWA na mikakati ya kupata Meya wa Kinondoni na Ilala imefikia hapa…
Leo viongozi wa CHADEMA wamekutaka na kuzungumza mambo mbalimbali mbele ya waandishi wa habari. Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Salum Mwalimu amezungumzia mchakato wa kuwapata Mameya watakaowakilisha Wilaya za Kinondoni na Ilala. Upatikanaji wa Meya wa Ilala na Kinondoni wamejibu kuwa..“CCM inaendeleza falsafa yao ile ile ya kujiona wao wanaweza wakapindisha mambo kadri wawezavyo, leo […]
The post UKAWA na mikakati ya kupata Meya wa Kinondoni na Ilala imefikia hapa… appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMEYA WA KINONDONI, YUSUPH MWENDA ATWAA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WCUJ9OW5V6U/VSrU8wYK1MI/AAAAAAAHQxw/NfNGoYkn2RM/s72-c/FSA_001.jpg)
MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCUJ9OW5V6U/VSrU8wYK1MI/AAAAAAAHQxw/NfNGoYkn2RM/s1600/FSA_001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s2sotdyf83k/VSrU9HupzsI/AAAAAAAHQx0/sEbsf-aZHdE/s1600/FSA_003.jpg)
10 years ago
MichuziMEYA MWENDA WA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA AFRIKA
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda ameshinda Tuzo ya Meya Bora katika Bara la Afrika katika kundi la Majiji ya Kati na kuyabwaga majiji mengine mbalimbali.
Tuzo hizo zilizoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa ya Afrika (The United Cities and Local Government of Africa- UCLGA) na kupewa jina la Rais wa Angola ‘President Jose Eduardo Dos Santos- Africa Mayors Award’ ni za mara ya kwanza kufanyika Barani Afrika.
Tofauti na Tuzo za Tanzania,...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Kata ya Ilala yataja mikakati kuboresha elimu
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Walemavu wamvamia Meya Ilala
UMOJA wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (UWAWADA), wamevamia ofisi za Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa kwa madai ya kushindwa kutekeleza ahadi ya kuwapatia maeneo ya kujenga vibanda...
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Meya Jerry Silaa asimamisha ujenzi wa majengo Ilala
Mstahiki Meya wa Meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (mwenye miwani) akiambatana na viongozi wenzake wametembelea na kupima uzio wa mabati unaowekwa na wakandarasi wengi bila kulipiwa vibali,kulipiwa vibali kiwango kidogo kwa kuchakachua vipimo na kutovilipia kila mwaka.
Mkuu wa kitengo cha mazingira wa manispaa ya Ilala Themi Luther (katikati) akimpatia maelekezo .Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa (kushoto) kuhusiana na usanifu wa jengo kwenye makutano ya mitaa ya Aggrey na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-h219-HaQ8ck/VHy9XZTCdCI/AAAAAAAG0oc/eHc8pDVNi7k/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
MEYA WA ILALA KATIKA MAADHIMISHO YA Siku ya ukimwi Duniani
![](http://2.bp.blogspot.com/-h219-HaQ8ck/VHy9XZTCdCI/AAAAAAAG0oc/eHc8pDVNi7k/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nJqfjFqv3FU/VHy9XiPOYQI/AAAAAAAG0oY/rUiaEQdhUMI/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0MQPlqBv6WA/VVchAulunSI/AAAAAAAHXmk/DjIqEh15GV8/s72-c/1.jpg)
MEYA WA ILALA AFUNGUA UZINDUZI WA UJENZI WA ZAHANATI YA MBONDOLE, MSONGOLA
![](http://2.bp.blogspot.com/-0MQPlqBv6WA/VVchAulunSI/AAAAAAAHXmk/DjIqEh15GV8/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xl6xogcYjsY/VVchAmaep8I/AAAAAAAHXm4/y94Ap0f2l78/s640/2.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Chadema yateua Meya Manispaa ya Kinondoni
Veronica Romwald na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Konondoni, kimempitisha Diwani mteule wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), kuwa mgombea umeya wa Manispaa ya Kinondoni, huku akiwakilisha mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mgombea huyo alikuwa akiwania nafasi hiyo huku akipambana na diwani mwenzake mteule wa Kata ya Mbweni, Abdunel Elibariki (Chadema) ambaye alishindwa kutamba.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi...