Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Moyes kuelekea Galatasaray ?

Aliyekuwa kocha wa Manchester united david Moyes huenda akawa mkufunzi Galatasary

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

David Moyes kuwa kocha wa Real Sociedad ya Hispania?

Klabu ya Hispania, Real Sociedad imemfukuza kocha wao Jagoba Arrasate siku ya Jumapili baada ya kufungwa na Malaga siku ya Jumamosi. Chaguo lao la kwanza kuziba nafasi hiyo ni kocha wa zamani wa Manchester United na Everton, David Moyes. Moyes kwa sasa yupo nchini Qatar, ambapo anafanya kazi BeIN Sports, na inaeleweka kuwa anafikiria nafasi […]

 

9 years ago

Bongo5

David Moyes atimuliwa kama kocha wa Real Sociedad

Moyes2

David Moyes ametimuliwa kama kocha wa klabu ya Real Sociedad ya Hispania, mwaka mmoja baada ya kuinoa.

Moyes2

Kocha huyo mwenye miaka 52 aliyefanya timu yake imalize msimu uliopita wa ligi ya La Liga katika nafasi ya 12, alijiunga nayo November 2014.

Maelezo kutoka Sociedad yamedai kuwa imeamua kuusitisha mkataba wa Moyes. Kocha msaidizi, Billy McKinlay naye amefungashiwa virago.

Moyes alichukuliwa na Sociedad baada ya kutimuliwa kama kocha wa Manchester United April 2014.

Jiunge na Bongo5.com...

 

9 years ago

Bongo5

David Moyes ametoa mtazamo wake kuhusu kocha Louis van Gaal

2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789

Kocha wa zamani wa Everton na Manchester United, David Moyes ameeleza mtazamo wake kuhusu kocha wa sasa wa United Louis van Gaal. David Moyes amesema Van Gaal anastahili kupewa muda zaidi huku akiamini kuwa Manchester United inaweza kuzoa mafanikio chini ya Mdachi huyo.

2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789

Mashabiki wa United tayari wamepoteza imani kwa Van Gaal huku wakishuhudia klabu yao iliyokosa soka la kuburudisha ikifunga magoli 13 tu msimu huu kwenye Premier League. Lakini licha ya shutuma za mashabiki na wachambuzi wa...

 

11 years ago

BBC

Galatasaray 1-1 Chelsea

Cameroon's Aurelien Chedjou gets the equaliser for Galatasaray as Chelsea surrender an early lead to draw the first leg of their Champions League last-16 tie.

 

10 years ago

BBCSwahili

Podolski kusajiliwa na Galatasaray

Mshambuliaji Lukas Podolski ameondoka Arsenal na anatarajiwa kujiunga na Galatasaray kulingana na kilabu hiyo ya Uturuki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yamenyana na Galatasaray

Samuel Eto'o, Frank Lampard na Didier Drogba wote wako uwanjani katika mechi hii ya klabu bingwa Ulaya

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaiadhibu Galatasaray

Chelsea yafuzu kwa robo fainali ya ligi ya mabingwa Uropa baada ya kuilaza Galatasaray 2-0

 

11 years ago

BBC

Chelsea 2-0 Galatasaray (3-1 agg)

Cameroon striker Samuel Eto'o scores for Chelsea as they beat Didier Drogba's Galatasaray 2-0 in the Champions League.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani