Kocha Moyes kuelekea Galatasaray ?
Aliyekuwa kocha wa Manchester united david Moyes huenda akawa mkufunzi Galatasary
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Nov
David Moyes kuwa kocha wa Real Sociedad ya Hispania?
9 years ago
Bongo510 Nov
David Moyes atimuliwa kama kocha wa Real Sociedad
David Moyes ametimuliwa kama kocha wa klabu ya Real Sociedad ya Hispania, mwaka mmoja baada ya kuinoa.
Kocha huyo mwenye miaka 52 aliyefanya timu yake imalize msimu uliopita wa ligi ya La Liga katika nafasi ya 12, alijiunga nayo November 2014.
Maelezo kutoka Sociedad yamedai kuwa imeamua kuusitisha mkataba wa Moyes. Kocha msaidizi, Billy McKinlay naye amefungashiwa virago.
Moyes alichukuliwa na Sociedad baada ya kutimuliwa kama kocha wa Manchester United April 2014.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
Bongo531 Dec
David Moyes ametoa mtazamo wake kuhusu kocha Louis van Gaal
Kocha wa zamani wa Everton na Manchester United, David Moyes ameeleza mtazamo wake kuhusu kocha wa sasa wa United Louis van Gaal. David Moyes amesema Van Gaal anastahili kupewa muda zaidi huku akiamini kuwa Manchester United inaweza kuzoa mafanikio chini ya Mdachi huyo.
Mashabiki wa United tayari wamepoteza imani kwa Van Gaal huku wakishuhudia klabu yao iliyokosa soka la kuburudisha ikifunga magoli 13 tu msimu huu kwenye Premier League. Lakini licha ya shutuma za mashabiki na wachambuzi wa...
11 years ago
BBCGalatasaray 1-1 Chelsea
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Podolski kusajiliwa na Galatasaray
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Chelsea yamenyana na Galatasaray
11 years ago
BBCSwahili19 Mar
Chelsea yaiadhibu Galatasaray
11 years ago
BBCChelsea 2-0 Galatasaray (3-1 agg)