Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kolo Toure athibitisha kustaafu

Mlinzi wa timu ya Liverpool Kolo Toure ameuthibitishia ulimwengu kuwa anastaafu kusakata kabumbu la kimataifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Kolo kustaafu kuchezea timu ya Taifa.

Beki wa timu ya taifa ya Ivory Coast Kolo Habib Toure, ametangaza kustaafu soka la kimataifa. Mara baada ya kumalizika kwa Michuano ya Kombe la Mataifa huru barani Afrika mwakani

Nyota huyo mwenye miaka 33- anayecheza klabu ya Liverpool ya Uingereza ameitumikia timu yake ya taifa mara 109.

Alikuwa mmoja wa wachezaji walikuwa kwenye kikosi kilichofuzu kucheza Michezo ya Kombe la Mataifa huru mwaka 2015 inayotarajiwa kufanyika kuanzia17 Januari mpaka 8 Februari huko Equatorial Guinea.

“Nina...

 

10 years ago

BBC

Kolo Toure in squad for final time

Liverpool defender Kolo Toure is in Ivory Coast's Nations Cup squad and will get the chance to play in his final international tournament.

 

11 years ago

BBC

Brother of Yaya and Kolo Toure dies

The brother of Ivory Coast World Cup stars Yaya and Kolo Toure dies in Manchester, the Ivorian Football Association confirms.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Kolo Toure, huyu ni staa mwingine wa soka aliyefungiwa kwa matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ….

Najua umezoea kusikia zile headlines za wanamichezo kadhaa wakiingia katika shutuma za kutumia dawa za kuongeza nguvu michezoni dawa ambazo zimekatazwa kutumika katika michezo. Miongoni mwa wanamichezo ambao wamekuwa wakituhumiwa kutumia dawa hizo ni wanariadha na mabondia. Stori zilizopo katika headlines kwa sasa zinamuhusu staa wa soka wa Brazil anayekipiga katika klabu ya Shaktar Donetsk ya Ukraine Frederico […]

The post Baada ya Kolo Toure, huyu ni staa mwingine wa soka aliyefungiwa kwa...

 

10 years ago

BBC

Kolo confirms international retirement

Kolo Toure confirms his retirement from international football with Ivory Coast, a week after helping the Elephants to a Nations Cup triumph.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kolo kuacha kuchezea Timu ya Taifa

Beki wa timu ya taifa ya Ivory Coast Kolo Habib Toure, ametangaza kustaafu soka la kimataifa.

 

10 years ago

Vijimambo

Dr Slaa athibitisha kuteuliwa na UKAWA


Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.
Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa wa @twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA. CREDIT:MILLARDAYO

 

9 years ago

BBCSwahili

Neymar athibitisha Man United Inamtaka

Mshambuliaji wa Barcelona Neymar amethibitisha kuwa alikuwa na mazungumzo kuhusu kujiunga na Manchester United msimu huu lakini hakupokea ombi thabiti.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli athibitisha ushiriki mdahalo wa urais

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amethibitisha kushiriki katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza, utakaofanyika kesho ambao utawakutanisha wagombea watano wa vyama vya upinzani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani