Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KOMBE LA DUNIA 2014: CAMEROON, MEXICO NI SAA MOJA USIKU

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU

AADA ya Fainali za Kombe la Dunia kuanza juzi kwa mchezo kati ya Brazil na Croatia, leo kuna mechi nyingine kali kati ya England na Italia. Huu ni mchezo ambao mashabiki wa soka wanausubiri kwa hamu kubwa wakiamini pia utatumika kutoa majibu halisi ya fainali hizo zinazofanyika nchini Brazil.
England na Italia ni nchi ambazo ligi zake ni maarufu sana, huku zikiwa zinafuatiliwa kwa karibu sana na mashabiki wa soka duniani kote. ...

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: ‘Indomitable’ Cameroon proves tame in 1-0 loss against Mexico

The Indomitable Lions now have the dubious honour of being the first African team to EVER be defeated by Mexico in World Cup group stages.

 

11 years ago

Dewji Blog

Cameroon imetupwa nje ya kombe la Dunia

cam pics 1

Hii ni baada ya kushindwa kwa mabao manne kwa moja na timu ya Croatia katika Uwanja wa Manaus.

Cameroon walimaliza mechi hiyo wakiwa wachezaji kumi baada ya mchezaji wa Barcelona Alex Song kuondolewa kwa kupewa kadi nyekundu.

Cameroon hawakuwapa Croatia upinzani mgumu katika mchuano huu wa kundi A.

Croatia sasa wana matumaini ya kuwania nafasi ya pili katika kundi hilo dhidi ya Brazil na Mexico ili kuendelea katika raundi ya pili.

Croatia wanajua kuwa mshindi katika mechi yao na El Tri,...

 

11 years ago

Michuzi

goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo

Kocha wa Uholanzi Louis van Gallakimpongeza Arjen Robben kwa kufanyiwa rafu iliyozaa penati na hatimaye bao la ushindi dhidi ya Mexico leo
Na Sultani Kipingo

wa Globu ya Jamii

Yaani huko Old Trafford katika  klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani