Kombe la FA latua uwanjani Emirates
Arsenal wamejimalizia ukame wa miaka tisa wa kutopata taji lolote kwa kushinda kombe la FA 2014
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7C-s6J8l*ww3GruGe8EOgYMr2*EaMFfd5uEd1FDs8khHkvy07p1*EP21iiJehI9T-QM8ciww1lMArbpMM9wb38G/BAO.jpg)
Bao la Jaja latua England
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Rungu la Magufuli latua kwa Bakhresa
*TRA yazuia makontena yake bandari kavu
*Polisi yasema uchunguzi mzito unaendelea
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezuia kampuni ya Said Salim Bakhresa & Co. Limited kupeleka makontena yake katika Bandari yake Kavu (ICD), baada ya kugundulika kuwa baadhi ya makontena yalipitishwa bila kulipiwa kodi.
Kwa mujibu wa barua ya TRA ya Novemba 17, mwaka huu, iliyosainiwa na Wolfagang Salia kwa niaba ya Kamishina wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa, kampuni hiyo...
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Sakata la SIKIKA latua mezani kwa Ghasia
![Hawa Ghasia](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Hawa-Ghasia.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia
Na Khamis Mkotya, Dar es Salaam
SAKATA la kufungiwa kwa Shirika la SIKIKA wilayani Kondoa limechukua sura mpya baada ya shirika hilo kumwandikia barua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia.
Barua hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Irenei Kiria, ilipelekwa ofisini kwa Ghasia Jumatano zikiwa zimepita wiki mbili tangu shirika hilo kufungiwa wilayani...
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Sakata la kulinda kura latua Mahakama Kuu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxh4YmRJvkESEibCNHVDwCLkenwi51dMRojXB0KmyHlqIvsvkEu8aEwnyMIWW2zfkd4AJLenSl9CW9YZ0EBR7J*L/mawaziri.jpg?width=650)
BARAZA LA MAWAZIRI; JIWE LATUA KWA WASIOTEGEMEA
10 years ago
Vijimambo04 Jul
‘BAO LA MKONO’ LA NAPE LATUA TUME YA UCHAGUZI
![](http://api.ning.com/files/oTw*v75BEJGA0rtPvoXLBJSEDHx4ttncygkMzfou0quGXyONA1Y0Hr1sx*84YemxGAAcdxv7pFSjNIgXIkaZBmOFSlu8k*lk/02Baolanape.jpg)
Dar es Salaam.
Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye bado inawaumiza vichwa wapinzani nchini baada ya viongozi hao jana kuitamkia wazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kuwa hakuna haja ya kujadili maadili wakati CCM tayari kimesema ‘kitafunga bao la mkono.’
Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu maadili ya Uchaguzi jana, baadhi ya viongozi hao walitaka mkutano...
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
Emirates yakwepa Afrika Magharibi
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Emirates yabadilisha safari za ndege
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD6TzefHg7rSkatLEQMehHNz4qNdH*4qNInew376ldjiN60ISeL8jqkNoJLXfxjb6TPXoZhrUpf7sGmCvTfXtexi/27472E65000005783025492imagea26_1428151405304.jpg?width=650)
LIVERPOOL YAFIA EMIRATES, YAPIGWA 4-1