Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kombe la FA latua uwanjani Emirates

Arsenal wamejimalizia ukame wa miaka tisa wa kutopata taji lolote kwa kushinda kombe la FA 2014

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Bao la Jaja latua England

Mshambuliaji wa Yanga, Geilson Santana ‘Jaja’ akishangilia goli.
Na Wilbert Molandi
KWELI alichokifanya mshambuliaji wa Yanga, Geilson Santana ‘Jaja’ raia wa Brazil kupitia bao lake alilofunga dhidi ya Azam, si kitu kidogo. Sasa baadhi ya mitandao, Watanzania na raia wengine kutoka katika nchi za Afrika Mashariki wanaoishi nchini England na Marekani, wamepata kipande cha video kinachoonyesha bao...

 

9 years ago

Mtanzania

Rungu la Magufuli latua kwa Bakhresa

Screen Shot 2015-07-16 at 8.18.52 PM*TRA yazuia makontena yake bandari kavu

*Polisi yasema uchunguzi mzito unaendelea

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imezuia kampuni ya Said Salim Bakhresa & Co. Limited kupeleka makontena yake katika Bandari yake Kavu (ICD), baada ya kugundulika kuwa baadhi ya makontena yalipitishwa bila kulipiwa kodi.

Kwa mujibu wa barua ya TRA ya Novemba 17, mwaka huu,  iliyosainiwa na Wolfagang Salia kwa niaba ya Kamishina wa Forodha na Ushuru wa Bidhaa, kampuni hiyo...

 

11 years ago

Mtanzania

Sakata la SIKIKA latua mezani kwa Ghasia

Hawa Ghasia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia

Na Khamis Mkotya, Dar es Salaam

SAKATA la kufungiwa kwa Shirika la SIKIKA wilayani Kondoa limechukua sura mpya baada ya shirika hilo kumwandikia barua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia.

Barua hiyo iliyosainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Irenei Kiria, ilipelekwa ofisini kwa Ghasia Jumatano zikiwa zimepita wiki mbili tangu shirika hilo kufungiwa wilayani...

 

9 years ago

Mwananchi

Sakata la kulinda kura latua Mahakama Kuu

Hatimaye mvutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kuhusu umbali wa mwananchi kusimama baada ya kupiga kura, umetinga Mahakama Kuu.

 

11 years ago

GPL

BARAZA LA MAWAZIRI; JIWE LATUA KWA WASIOTEGEMEA

Na Haruni Sanchawa Juzi Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sifue kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete alitangaza mabadiliko katika baraza la mawaziri ambapo ‘jiwe’ limetua kwa wasiotegemea. Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sifue (kushoto) akitangaza Baraza jipya la Mawaziri. Katika mabadiliko hayo wizara tano zimepata mawaziri wapya kujaza nafasi za waliovuliwa nyadhifa zao kutokana na kashfa ya Operesheni Tokomeza....

 

10 years ago

Vijimambo

‘BAO LA MKONO’ LA NAPE LATUA TUME YA UCHAGUZI

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.
Dar es Salaam.

Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye bado inawaumiza vichwa wapinzani nchini baada ya viongozi hao jana kuitamkia wazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kuwa hakuna haja ya kujadili maadili wakati CCM tayari kimesema ‘kitafunga bao la mkono.’

Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu maadili ya Uchaguzi jana, baadhi ya viongozi hao walitaka mkutano...

 

11 years ago

BBCSwahili

Emirates yakwepa Afrika Magharibi

Shirika la ndege la Emirates lavunja safari za kwenda Afrika Magharibi kwa sababu ya Ebola

 

11 years ago

BBCSwahili

Emirates yabadilisha safari za ndege

Shirika la ndege la Emirates labadilisha safari za ndege ilikukwepa kupitia kwenye anga ya Iraq

 

10 years ago

GPL

LIVERPOOL YAFIA EMIRATES, YAPIGWA 4-1

Kiungo wa Arsenal, Hector Bellerin, akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza. Winga wa Liverpool, Raheem Sterling, akisikitika baada ya kushindwa kuifungia timu yake bao. Wachezaji wa Arsenal wakishangilia moja ya mabao…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani