KOMREDI KINANA AZIDI KUCHANA MBUGA, ATUA KYERWA, KAGERA
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitembelea shamba la mkulima bora wa migomba, Eurius Kishinju katika Kata ya Mabira, wilayani Kyerwa, mkoani Kagera. Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wanaanza rasmi ziara mkoani Kagera, ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi  Komredi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboOMREDI KINANA AZIDI KUCHANA MBUGA, ATUA KYERWA, KAGERA
Kishinju ambaye ana shamba la migomba heka 3 mchanganyiko na kahawa, kwa mwezi huuza...
11 years ago
Dewji Blog24 May
Kinana azidi kuchanja mbuga, atua jimbo la Iramba — Singida
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Iramba Magharibi wakati wa mapokezi katika kijiji cha Kiselya. Katibu Mkuu na msafara wake wameanza ziara katika wilaya ya Iramba kwa lengo la kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010 pamoja na kukagua uhai wa chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba mawe ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kiselya, wilaya ya Iramba kwa kushirikiana na viongozi wengine pamoja a wananchi.
Katibu Mkuu...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/UAUDF4zEiN4/default.jpg)
MWIGULU AENDELEA KUCHANJA MBUGA,ATUA KAGERA,ADHAMINIWA KWA SHANGWE
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/10489661_389343481267886_7150943259121625547_n.jpg?oh=e75af7f863c51c0dba80f492d2c2d2b8&oe=55F93C54)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11427687_389343671267867_6009373960906240189_n.jpg?oh=e1ca9a68402c20d05dac16f03bc4489c&oe=5626455A)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtf1/v/t1.0-9/11427673_389343541267880_5437199725913474491_n.jpg?oh=a4d3caeeea8b087da32fe4a20a0b7926&oe=55F2122C)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11403221_389343587934542_3849227331889035274_n.jpg?oh=688c3b16ad76ffd6998146ff6c7ec821&oe=562EE8DC)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10494673_389343621267872_7683605611564024472_n.jpg?oh=1f5c59e9d095b22a2c0cf417169e2051&oe=56250795)
VIDEO,MWIGULU AKIAGANA NA WANANCHI WA KAGERA WALIOMDHAMINI
10 years ago
GPLKOMREDI KINANA ASABABISHA WAPINZANI LUKUKI KUHAMIA CCM MAGU
10 years ago
GPLKOMREDI KINANA ALAKIWA KWA SHAMRA SHAMRA ZA SUNGUSUNGU JIMBO LA KWIMBA
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Jimbo-la-ulyanhulu.jpg)
MAGUFULI AZIDI KUCHANGA MBUGA MKOANI TABORA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vDRWBGgmrSw/Uwv3cEj5f9I/AAAAAAAFPWA/2Go6FgVIoyg/s72-c/IMG_1600.jpg)
masanja mkandamizaji azidi kuchanja mbuga akihubiri neno la Mungu
![](http://2.bp.blogspot.com/-vDRWBGgmrSw/Uwv3cEj5f9I/AAAAAAAFPWA/2Go6FgVIoyg/s1600/IMG_1600.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Y0LuOkVCGk/Uwv3ePqchBI/AAAAAAAFPWM/A_P74vLntkk/s1600/IMG_1621.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--_H-cK6U_Sw/Uwv3eEHLfKI/AAAAAAAFPWI/Hlx6totBINU/s1600/IMG_1623.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Dkt. Magufuli azidi kuchanja mbuga mikutano ya kampeni mkoani Rukwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s640/_MG_6249.jpg)
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jana jioni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BsaIiqPuEfU/VdybQoxK4EI/AAAAAAAC-B0/JMDNIDl8J9w/s640/_MG_6257.jpg)
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani nyuma ni Waziri Mkuu Pinda akishuhudia tukio hilo.
![_MG_6285](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/MG_6285.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Dk. Magufuli azidi kuchanja mbuga Mwanza, Katika majimbo ya Magu, Sumve,Kwimba na Misungwi
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi, Mwanza jana, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Dk Magufuli akiingia kwenye gari baada ya kuhutubia akiwa juu ya gari mjini Ngudu, Kwimba leo
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni...