KONGAMANO LA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA WANAWAKE TANZANIA (TANZANIA BUSINESS ENTREPRENEURS) LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
WAJASIRIAMALI wanawake nchini wametakiwa kuwa na moyo wa uthubutu ili kupiga hatua ya maisha na kiuchumi badala ya kuwa waoga.
Mwito huo umetolewa na Mratibu wa Kongamano la Jumuia ya Wafanyabiashara Wanawake Tanzania, Julieti Mjale wakati akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kongamano hilo lililofanyika Hoteli ya Mbezi Garden Dar es Salaam jana.
"Uthubutu katika jambo lolote ni muhimu kwani unamfanya muhusika kupiga hatua ya maendeleo" alisema Mjale
Alisema wajasiriamali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kongamano la kwanza la wanawake wafanyabiashara sokoni Tanzania lafanyika jijini Dar
Ofisa Programu Dawati la Uangalizi wa Serikali wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Hussein Sengu (kulia) akitoa mada katika Kongamano la siku mbili la Wanawake Wafanyabiashara Sokoni Tanzania lililofanyika Dar es Salaam jana. Kongamano hilo lililowahusisha wanawake kutoka mikoa tisa ya Tanzania Bara...
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA KWANZA LA WANAWAKE WAFANYABIASHARA SOKONI TANZANIA LAFANYIKA JIJINI DAR LEO.
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti Tanzania (Repoa), Samwel Wangwe amewataka watanzania kuwawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo hususani wanawake kwani wananafasi kubwa ya kuchangia pato la Taifa.
Akizunguza Dar es Salaam leo wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la kwanza la wanawake wafanyabiashara sokoni Tanzania, Wangwe alisema ni muhimu kuhakikisha wafanyabiashara hao wanawezeshwa na kuwajali katika uzalishaji na uendeshaji wa biashara zao.
Alisema kwa mujibu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7zQmDoSBhM0/U4rfBWQVKpI/AAAAAAAFm38/dFcKNSQ329g/s72-c/unnamed+(12).jpg)
kongamano la kimataifa la wanasayansi lafanyika jijini Dar es Salaam
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uQWMxOpimYE/U5Qg_S3AOUI/AAAAAAAFot8/8sZOm-_Yg8A/s72-c/unnamed+(34).jpg)
KONGAMANO LA MAJI LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, WADAU WAJIONEA TEKNOLOJIA MPYA YA MABOMBA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2zA3-zY3gww/VeLEJd-4ucI/AAAAAAAH08k/-7UtpeZb5Ag/s72-c/001.Kongamano.jpg)
VODACOM TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-2zA3-zY3gww/VeLEJd-4ucI/AAAAAAAH08k/-7UtpeZb5Ag/s640/001.Kongamano.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zq7ey03BXVM/VeLECFitPYI/AAAAAAAH08c/DYTU_HGehxE/s640/002.Kongamano.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zcg5CJIee48z*eIIl0T0iTQhGdaxbYxshxlaiqivKwfNWre5*efhWLopu7srbaLyWL5*8bso51VdyErM0v5zPasmPd*1SCPO/001.Kongamano.jpg)
VODACOM TANZANIA YASHIRIKI KONGAMANO LA WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA NA UWEKEZAJI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rwTniHZa_os/VGzz-k3otZI/AAAAAAADNuc/XZbHIDeXr4o/s72-c/20141118_100555.jpg)
KONGAMANO LA VIJANA LA SIKU MOJA LAFANYIKA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-rwTniHZa_os/VGzz-k3otZI/AAAAAAADNuc/XZbHIDeXr4o/s1600/20141118_100555.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tpX4dp1a1Vw/VGzz-oIBz3I/AAAAAAADNug/CzharKwUq4U/s1600/20141118_101009.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SyvsjPhvFW0/U7gHHCHvgfI/AAAAAAAAPOs/TduACNfGZ7E/s72-c/5.jpg)
KONGAMANO LA TATHMINI YA MIAKA 13 YA UTEKELEZAJI WA SERA MPYA YA MAMBO YA NJE LAFANYIKA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-SyvsjPhvFW0/U7gHHCHvgfI/AAAAAAAAPOs/TduACNfGZ7E/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bO7HwGUQ5to/U7gHS5-WZdI/AAAAAAAAPO0/kYva9vBIyFM/s1600/12.jpg)